Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaHio hela itakuwa haitulii kwenye account mkuu.
Yaan kuituliza mfukon n ishu coz mama kama mama hatulii nyumban kwake. Kutwa abroadKama una tabia za ulevi Hela yoyote haitulii
Unatafuta matusi kwa watu, acha mambo ya kiwaki aiseeKila taifa huwa Lina historia na tunu zake, tuna Rais wa kwanza mwanamama.
Tumpe kumbukumbu moja mujarabu ya hata sarafu yenye picha yake! Ni sisi tu afrika mashariki na kati
Akili za ccm mnajijua wenyewe.Kila taifa huwa Lina historia na tunu zake, tuna Rais wa kwanza mwanamama.
Tumpe kumbukumbu moja mujarabu ya hata sarafu yenye picha yake! Ni sisi tu afrika mashariki na kati
JF imekua ya ovyo kuwa na watu kama weweHapana, BOT wadedicate memory moja matata sana, hata kama ni toleo maalum la fedha yenye picha ya SSH
Mkuu uhuru kumbuka unamipaka usimuoneshe kiongozi wako chuki za waziwazi kuwa nastahaHUYO SURA YAKE IKIWEKWA KWENYE PESA NCHI ITAPATA MIKOSI .....kwani ujui kuwa ana NYOTA YA MAVI NA SIFA ZA NYOTA YA MAVIII NI KUTOKUBEBEKA.
Hela sio albamu ya picha za watu, tuna weka picha ya mtu kutokana na mambo mazito aliyoyafanyia nchi, sasa huyu mama kafanya jambo gani la maana, we siunaona wakina benjamini franklin hajawai kuwa rais lakini yupo kwenye USD.Kila taifa huwa Lina historia na tunu zake, tuna Rais wa kwanza mwanamama.
Tumpe kumbukumbu moja mujarabu ya hata sarafu yenye picha yake! Ni sisi tu afrika mashariki na kati
Naunga hoja na pia tuwe na noti yenye background ya ngorongoro crater au wale Simba wapanda miti kama wapo kwenye Royal TourKila taifa huwa Lina historia na tunu zake, tuna Rais wa kwanza mwanamama.
Tumpe kumbukumbu moja mujarabu ya hata sarafu yenye picha yake! Ni sisi tu afrika mashariki na kati