Marais wa kiume picha zao ziko kwenye noti na kwenye sarafu, hebu tuwape wanawake sarafu moja ya Mama Samia, hii ni historia ya taifa

Marais wa kiume picha zao ziko kwenye noti na kwenye sarafu, hebu tuwape wanawake sarafu moja ya Mama Samia, hii ni historia ya taifa

Mkuu uhuru kumbuka unamipaka usimuoneshe kiongozi wako chuki za waziwazi kuwa nastaha
Siyo chuki ila huo ndiyo ukweli ambao wabishi kama wewe watakuja kunikumbuka kuwa nilisema mapema,mama anayo nyota ya mavii hii nyota ni mbaya sana kiongozi mwenye nyota hii anaweza kuliingiza taifa kwenye matukio ambayo ni mabaya ambayo hakuna mtu alitazamia ,shika haya maneno yangu
 
Kila taifa huwa Lina historia na tunu zake, tuna Rais wa kwanza mwanamama.

Tumpe kumbukumbu moja mujarabu ya hata sarafu yenye picha yake! Ni sisi tu afrika mashariki na kati
Raisi kuwaua wapinzani na kuwateka nayo ni historia ya pekee, lakini hatutamweka kwenye noti . Hivyo si kila jambo la kihistoria linafanya mtu awekwe kwenye noti. KUna namna nyingi za kumuenzi Samia kama raisi wa kwanza mwanamke Tanzania
 
Hapana kwakweli.
Wabakie tu hao waliotokana na mfumo wa chama kimoja.
Yaani sio tu noti, hata huu utaratibu wa kuwekwa picha yake kwenye mabango ya sensa hauna umuhimu. Waweke vivutio vya taifa
Atawekwa tu, wewe utakufa na roho mbaya yako, picha huwekwa pale panapokuwa
Ila akidemka mabo yanakuwa sawa!
Ndio
 
Unawazaga ujinga sana wewe chawa. Au umeshiba sana nguruwe!
 
Back
Top Bottom