Wajenge na ya Meko haraka bado week 1 tu na siku kadhaa...
Sent from my Infinix X5514D using JamiiForums mobile app
Nyumba iliyopo Butiama alijengewa na jeshi kama zawadi tu, ingawa mwenyewe hakutakaButiama ilishajengwa kitambo sana
Kwanini kaanza na Mwinyi badala ya Familia ya Mwl?View attachment 1604009
View attachment 1604014
Rais Magufuli leo amemkabidhi Rais mstaafu wa awamu ya pili mzee Ali Hassan Mwinyi nyumba aliyojengewa na serikali masaki jijini Dsm.
Mzee Mwinyi amekuwa akiishi katika nyumba yake mwenyewe pale Mikocheni/ Msasani karibu na nyumbani kwa mwalimu Nyerere.
=====
Sheria inasema:
9.-(1) A leader who held the office of the President of the United Republic, shall upon ceasing to hold office, be granted:
(d) a furnished house containing not less than four bed rooms of which two rooms shall be self contained and shall contain-
(i) a furnished office;
(ii) a servant quarter;
THE POLITICAL SERVICE RETIREMENT
BENEFITS ACT, 1999
Nchi moja wengine malaika, wengine mizoga tu.View attachment 1603958
Raisi mstaafu awamu ya pili akikabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali Masaki Dar Es Salaam
View attachment 1603960
Muheshimiwa Magufuli akikagua ujenzi wa nyumba ya raisi mstaafu awamu ya nne anayojengewa na serikali Kawe beach Dar Es Salaam
Anaeafiki aseme ndiyo, " NDIYOOO"..matunzo ya viongozi wakuu wastaafu ni MZIGO kwa walipakodi.
..kuwatunza mpaka mwisho wa maisha yao siyo sahihi.
..ni afadhali watunzwe kwa miaka 10 tangu wastaafu, baada ya hapo wajitegemee.
View attachment 1603958
Raisi mstaafu awamu ya pili akikabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali Masaki Dar Es Salaam
View attachment 1603960
Muheshimiwa Magufuli akikagua ujenzi wa nyumba ya raisi mstaafu awamu ya nne anayojengewa na serikali Kawe beach Dar Es Salaam
Mwalimu amejengewa Butiama kabla ya kufarikiKwanini kaanza na Mwinyi badala ya Familia ya Mwl?
Ni sheria mkuu
Wawe wana tukumbuka na sisi walala hoi wasijipendelee wenyewe kwa wenyewe sisi pia ni raia wa Tz tunafaa pia kula mema ya nchi japo watuajili tuanze kulipa madeni ya familia zetu zilizokopa kwa ndugu zao ili tusomeshweView attachment 1603958
Raisi mstaafu awamu ya pili akikabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali Masaki Dar Es Salaam
View attachment 1603960
Muheshimiwa Magufuli akikagua ujenzi wa nyumba ya raisi mstaafu awamu ya nne anayojengewa na serikali Kawe beach Dar Es Salaam
Huu ni uporaji. Wawe na hakika watatakiwa kujibu haya siku wakifa.
Namhurumia mkapa.
Hii pesa tokea kwenye kasma ipi?View attachment 1603958
Raisi mstaafu awamu ya pili akikabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali Masaki Dar Es Salaam
View attachment 1603960
Muheshimiwa Magufuli akikagua ujenzi wa nyumba ya raisi mstaafu awamu ya nne anayojengewa na serikali Kawe beach Dar Es Salaam
Tumalizane nao tarehe 28, hawa ni mumiani hawana huruma.Hii pesa tokea kwenye kasma ipi?
Dah, jamaa anatafuta justification ya mambo fulani fulani kwa kila njia.
Ndio maana kwa jeuri alimtuma JK kwenye kampeni yake mbagala jana.
Eti ni Rais wa wanyonge, Hivi marais wastaafu wenye ukwasi na marupurupu kibao ni wa kujengewa nyumba na serikali wakati kuna watu wanateseka kwa njaa mitaani, watu hawana maji ya kunywa mijini na vijijini? JK na Mwinyi wana shida hiyo kweli?
Tumalizane nao tarehe 28, hawa ni mumiani hawana huruma.
Ipo kisheria kama wengine wanavyopewa magari baada ya kustaafu
Mwinyi ana nyumba Oysterbay. Wamemjenhea nyingine?Nyumba za serikali walizojiuzia prime area hazijawatosha tu..
..aliuziwa nyumba ya serikali kwa bei poa maeneo ya sea view.
..nyumba ambayo msiba wake ulikuwepo haikuwa nyumba ya serikali?