Maraisi wa Afrika toka 2008 mpaka 2024 walioenda Marekani walijipeleka Window Shopping?

Maraisi wa Afrika toka 2008 mpaka 2024 walioenda Marekani walijipeleka Window Shopping?

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776

vvvv.jpeg


Nasikiliza BBC, Wanasema Ruto Ndio Rais Wa Kwanza Kutoka Afrika Kufanya Ziara Rasmi ya Kiserikali Nchini Marekani Kwa Takribani Miaka 15, Nimebaki Najiuliza Hawa Marais Wa Afrika Wanaoenda Marekani Kila Siku Wanaenda Kufanya Nini? Kupumzika? Kutembea? Au Kushangaa? Window shopping?

Marekani inatumia state visit kama chocolate wakitakakitu kutoka kwako. Wanajua thamani ya Rose garden joint news conference, a picture in the oval, a state dinner with the POTUS. Lakini sio mbaya Kikwete alimpa Obama state visit hapa Tanzania.
Tangu 2008 alivyoenda Rais wa Ghana John Kuffor kwa State visit USA hakuna mwingine wa Afrika aliyeenda mpaka alivyoenda juzi Ruto..Wengi wanaoenda USA ni zaidi kwenye mikutano ya kimataifa na sio State Visit.

Kuna viongozi wamepigwa Ban kwenda USA kutoka Afrika, naskia Uganda na Congo.
 
Kwa jinsi nilivyoelewa Marais wengi wamekuwa na ziara ndani ya US ila waliopewa mwaliko wa kuzuru Ikulu ya White House siyo wote wanaotembelea Marekani.
 
Kwa jinsi nilivyoelewa Marais wengi wamekuwa na ziara ndani ya US ila waliopewa mwaliko wa kuzuru Ikulu ya White House siyo wote wanaotembelea Marekani.
Ziara , yani unaalikwa na Rais wa USA alafu akuache mtaani, sasa wanakutania wapi?
Rais wa Marekani nyumbani kwake ni Mitaa ya Rose Garden, White House, sasa anakualika alafu anakulaza Gesti house?
 
Aliwahi kuja GEORGE BUSH na BARACK OBAMA mpaka hapo ikulu na akala mpaka makande yetu ila maendeleo tuliyopata ni Net za bure, vitabu mashuleni na ARV, wao wakapewa BUZWAGI na SYMBION
3 (1).JPG


Muonyesheni RUTO hii aione, mimi niliiona mwqka 2013 BBC
 
Ziara , yani unaalikwa na Rais wa USA alafu akuache mtaani, sasa wanakutania wapi?
Rais wa Marekani nyumbani kwake ni Mitaa ya Rose Garden, White House, sasa anakualika alafu anakulaza Gesti house?
Siyo kila ziara ni ya kualikwa na Rais, rejea SSH hivi karibuni alikuwa huko ila hakuonana na JB na alikuwa nchini kwake.
 
Magufuli anayakulaumiwa ila wengine hao hawamfikii kuhusuSafari

Kwamba
Wengine wanaenda na wanapeleka mabint zao kuzaaa watoto huko ili wapate urai wa bwerere wanaboa sana

Wengine
Huenda kukazwa maarufu kukandwa na kukanda kuwakanda basi

Mwingine
Kuzindua tour na phase 2 yaja
 
Ukienda Kigoma kuhudhuria mkutano au jambo lolote lile la kiserikali,haimaanishi kwamba umeenda Kigoma rasmi kukutana/kumtembelea mjomba wako anayeishi hapo Kigoma hata kama yupo hapo Kigoma kwa muda huo,

Kwa mfano huo bila shaka utanielewa.
 
Chawa wa yule walitudanganya kuwa alialikwa na ikulu kumbe uongo mtupu. Walienda kununua chup....zao.kwenye mall za marekani
 
Back
Top Bottom