Marajibio au mitego ya kumpa mwanamke kabla ya kufikia maamuzi ya kumuoa

Marajibio au mitego ya kumpa mwanamke kabla ya kufikia maamuzi ya kumuoa

Kachu_28

Member
Joined
May 31, 2019
Posts
14
Reaction score
14
Wakubwa, wabobezi, nguli, waandamizi, wataalamu na majina mengine nimetanguliza heshima kwenu ili niweze kupata busara zenu.

Je, Kuna ukweli kwamba kabla ya kuoa mwanamke inabidi kuna mitego (test) umpitishe ili ujiridhishe nae?

Kama upo tupe mfano uliotumia au nikitaka kutego nitumie mbinu gani, na kama hakuna pia tujilishane.

Ahsante
 
Mie niliwaambia nime disco chuo kikuu walikuwa wanachi wenzangu.
Fanya kutuma hela umekosea like ,2-5 laki kutumia namba ya mtu then huyo mtu abembeleze anaombwa arudishiwe amekosea, mtu mmoja ajifanye ana shida amlilie amsaidie kitu ,hapa ni Kama unapima utu wake,.
Kama unayo kazi chukua likizo mwambie umefukuzwa kazi, na ikiwekezekana umefungwa kuwa umeibia kampuni fake deal uone response yake, muangalie Kama anakomaa kusalimia mama yako and ndugu wengine,yaani kwa kiufupi Yule mtu anajisikia kuwa bonded kwenu kabisa Tena electrovalent bond na sio covalent bond
 
Mpe hela nyingi mwambie ni zawadi yako akipokea sio mtu sahihi,pitia na Naye mitaani uwe unaona vitu anavyotolea macho,,
Mpelekee sehemu za Bata Kama ni mme ama mke atakuuliza mbona unaharibu hela , yaani try to spend OVYO OVYO hela yako ukiona ana uchungu na hale yako basi ujue umepata mtu sahihi.
 
Watu wanabadilika, ( kwenye ndoa ingia na hiyo attitude). Ndio maana kuna kuvumiliana. Anaweza akawa mzuri sana before ndoa akaja kuchachuka uzeeni au baada ya kuzaa.. mambo tafrani sana.. na anaweza akawa anaonekana wa hovyoo . Akisha ingia kwenye ndoa akawa mzuri sana kuliko kablaa.. mambo haya hayasomeki sarakasi tuu
 
Wakubwa, wabobezi, nguli, waandamizi, wataalamu na majina mengine... nimetanguliza heshima kwenu ili niweze kupata busara zenu. je? Kuna ukweli kwamba kabla ya kuoa mwanamke inabidi kuna mitego (test) umpitishe ili ujiridhishe nae.... kama upo tupe mfano uliotumia au nikitaka kutego nitumie mbinu gani...na kama hakuna pia tujilishane..Ahsante
Mtego mzuri ni Pesa tu, Mjali sana, Mpende sana.
Hiyo mitego yenu ya kujifanya hamtaki kuhudumia hutapata mtu labda pretender.
 
Mtego mzuri ni Pesa tu, Mjali sana, Mpende sana.
Hiyo mitego yenu ya kujifanya hamtaki kuhudumia hutapata mtu labda pretender.
Pesa inaweza kutumika kama kipimo kuangalia nidhamu yako kwenye fedha unayopewa.Mke lazima awe na nidhamu ya fedha.Ndio maana jamaa amesema mpe fedha then angalia nidhamu yake ya matumizi kama anafanya matumizi ya maana au ya kipuuzi.
 
Niliwahi nunua kondomu pakiti moja (si huwa zinakuwa 3), sasa mimi nikatupa zile mbili nakuacha moja, lengo nione riakisheni yake ilivyo, je ndiyo wale wa kudhanidhani kuwa mme siyo mwaminifu pasipo hata kujiridhisha kisa labda kaona meseji kutoka kwa mwanamke n.k

Alipokutana na kondomu moja badala ya tatu....
 
Kwa msaada zaidi wasiliana na watu wanaitwa TEAM KATAA NDOA uwenda ukapata msaada.
Hio stage atajikuta mtakatifu mpaka utakapo sema YES I DO ndo utaona tabia zake. Cha msingi zingatia millage
 
Wakubwa, wabobezi, nguli, waandamizi, wataalamu na majina mengine... nimetanguliza heshima kwenu ili niweze kupata busara zenu. je? Kuna ukweli kwamba kabla ya kuoa mwanamke inabidi kuna mitego (test) umpitishe ili ujiridhishe nae.... kama upo tupe mfano uliotumia au nikitaka kutego nitumie mbinu gani...na kama hakuna pia tujilishane..Ahsante
Hutokujà kuoa ukimtega mwanamke, mwambie rafiki yako amhonge 1m tu aiàmgegede kwa siri. Hakunà wa kukwepa.
 
Wakubwa, wabobezi, nguli, waandamizi, wataalamu na majina mengine... nimetanguliza heshima kwenu ili niweze kupata busara zenu. je? Kuna ukweli kwamba kabla ya kuoa mwanamke inabidi kuna mitego (test) umpitishe ili ujiridhishe nae.... kama upo tupe mfano uliotumia au nikitaka kutego nitumie mbinu gani...na kama hakuna pia tujilishane..Ahsante
Usioe kwanza ndoa itakushinda.
 
Mpe hela nyingi mwambie ni zawadi yako akipokea sio mtu sahihi,pitia na Naye mitaani uwe unaona vitu anavyotolea macho,,
Mpelekee sehemu za Bata Kama ni mme ama mke atakuuliza mbona unaharibu hela , yaani try to spend OVYO OVYO hela yako ukiona ana uchungu na hale yako basi ujue umepata mtu sahihi.
Hii sio test sasa khaaa 😄😄😄
 
Wakubwa, wabobezi, nguli, waandamizi, wataalamu na majina mengine... nimetanguliza heshima kwenu ili niweze kupata busara zenu. je? Kuna ukweli kwamba kabla ya kuoa mwanamke inabidi kuna mitego (test) umpitishe ili ujiridhishe nae.... kama upo tupe mfano uliotumia au nikitaka kutego nitumie mbinu gani...na kama hakuna pia tujilishane..Ahsante
Hakuna mahusiano ya milele au ya kudumu hasa ukifunga ndoa!
Mambo hubadilika wakati wowote!

Msikivu huweza kuwa na kiburi n.k

Pa tu mradi anauwezo was kuzaa mkishimdwana unapiga chini hata kama no mkristo!!
 
Back
Top Bottom