Marajibio au mitego ya kumpa mwanamke kabla ya kufikia maamuzi ya kumuoa

Marajibio au mitego ya kumpa mwanamke kabla ya kufikia maamuzi ya kumuoa

1. wakati unatoa hiyo mitihani, wewe umejiadaa vipi kama na yeye akitoa mitihani yake? waza mbali.

2. hiyo mitihani haikupi uhakika wa 100%, inakuridhisha tu.

mfano umempima kwa kigezo cha kukosa kazi muda wa miezi 2(labda umechukua likizo ukamdanganya), sawa anaweza akakuvumilia, ukajiridhisha.

lakini unajuaje kama atakuvumilia ukikosa kazi miaka 2?
 
Achana na mambo yakumuangalia Ili umuoe Hilo litapita ila Sasa mkishaingia Kwa ndoa Kuna kitu kinaitwa MaZoEa hapo ndo Kila mtu atajua tabia ya mwenzake

Yaan unaenda ishi na mtu miaka ya shetan halafu unataka mpa mtego mmoja wa kuingia kwenye ndoa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] haloooo unautan
 
Mtego mzuri ni Pesa tu, Mjali sana, Mpende sana.
Hiyo mitego yenu ya kujifanya hamtaki kuhudumia hutapata mtu labda pretender.
Karne Dadakidoti Lamomy Melancholic Poor Brain Mzee wa kupambania Extrovert realMamy

Kwangu mm, moja ya mitego yangu ambayo ipo simpo sana na nimeigundua hivi karibuni, nikiona mdada mzuri, nina mpango wa kumtongoza na kufanya nae mahusiano ya mda mrefu, tukifahamiana ile kidogo, mimi nitamuomba kitu kidogo sana na nakua nahakikisha kua hela anayo, kikawaida kabisa mm nitakua wa kwanza kumuomba aninunulie kitu kidogo tu k.v biskuti ya tsh 500, andazi moja, soda, maji ya tsh 500 halafu naangalia reaction yake na maneno yake, reaction yake ndo itanipa mwanga kua yeye ni mwanamke wa aina gani, atakua ni mke wa aina gani kwa ndugu, na ananichukuliaje.

Kwa wanaume mnaweza ona huo ni mtego mdogo/simple, ila ewe mwanaume, wanawake wengi sana walio kwenye circle yako ambao sio nduguzo, ukiwapa huo mtego watafeli, logic ya huo mtego nimeitoa kwa Mungu alivomuomba Abraham ampe sadaka ya mwanae, kumpima Abraham

NB: mtego wangu hauna maana ya mm kua marioo, au kumfanyia mdada ndo aje kunihudumia kipesa, ni psychological move tu ambayo nai-employ kwa hawa parasitic females ambao kwa sasa ndo wako wengi kwenye dating market
 
Mpe hela nyingi mwambie ni zawadi yako akipokea sio mtu sahihi,pitia na Naye mitaani uwe unaona vitu anavyotolea macho,,
Mpelekee sehemu za Bata Kama ni mme ama mke atakuuliza mbona unaharibu hela , yaani try to spend OVYO OVYO hela yako ukiona ana uchungu na hale yako basi ujue umepata mtu sahihi.
Hahahahaha hii mtego utakosa mke,
May be iwe on long run, ila kwa siku moja au week, mtu anaweza hisi labda umeamua kujipa pole ya mwili utumbue pesa,
Au labda uwe huna hela, ila kama anakuona una vipesa vipesa atajua hizi chenji tu
 
Sio mtego wa kumpata, tunazungumzia mtego wakujua mtu sahihi,
Ukipenda mtu mjali tu vizuri, akiwa anahangaika hangaika sio sahihi. Wadada wengi tunapenda kusikilizwa na kupendwa vizuri.

Lakini sikubaliani na mtu anayenitega kwa kuniambia sijui sina kitu, nimefukuzwa kazi sijui nini ukiniambia hivo mimi nifanyeje sasa.
 
Ukipenda mtu mjali tu vizuri, akiwa anahangaika hangaika sio sahihi. Wadada wengi tunapenda kusikilizwa na kupendwa vizuri.

Lakini sikubaliani na mtu anayenitega kwa kuniambia sijui sina kitu, nimefukuzwa kazi sijui nini ukiniambia hivo mimi nifanyeje sasa.
Umjali kawa mkeo???, wabongo mna mindset za ajabu Sana.

Uhusiano ni kujuana zaidi, na una ngazi zake.
Sasa nyie phase 1 tu mna kuja na mzigo wa matatizo, as if ali tangaza yeye ni service provider 😂 😂 .

kila mtu ana matatizo, but mkiwa nguzo Moja mna weza solve vizuri.
 
Umjali kawa mkeo???, wabongo mna mindset za ajabu Sana.

Uhusiano ni kujuana zaidi, na una ngazi zake.
Sasa nyie phase 1 tu mna kuja na mzigo wa matatizo, as if ali tangaza yeye ni service provider 😂 😂 .

kila mtu ana matatizo, but mkubwa nguzo Moja mna weza solve vizuri.
Kuna wenye hela wanajali sana Bro. Halafu shida ni ile ya kujihami mnahofia sana kuombwa Pesa ila nyie mpewe Chakula chenu 😅😅😅😅. Endeleeni kujuana vizuri huku akipewa vocha na nauli na mwingine.

We endeleza stori kama kuna shughuli ya kitaifa 😜
 
Kuna wenye hela wanajali sana Bro. Halafu shida ni ile ya kujihami mnahofia sana kuombwa Pesa ila nyie mpewe Chakula chenu 😅😅😅😅. Endeleeni kujuana vizuri huku akipewa vocha na nauli na mwingine.

We endeleza stori kama kuna shughuli ya kitaifa 😜
shida msha kariri kila mmoja yuko interested na body zenu, apart from sex una kipi kingine Cha ku offer??
 
Wakubwa, wabobezi, nguli, waandamizi, wataalamu na majina mengine nimetanguliza heshima kwenu ili niweze kupata busara zenu.

Je, Kuna ukweli kwamba kabla ya kuoa mwanamke inabidi kuna mitego (test) umpitishe ili ujiridhishe nae?

Kama upo tupe mfano uliotumia au nikitaka kutego nitumie mbinu gani, na kama hakuna pia tujilishane.

Ahsante
Mpe namba jamaa mwenye maisha mazuri amtongoze ampe gari la maana akawape wazazi wake au uyo jamaa atake kuwajengea wazazi wake akikubali kumpa tendo.
 
Mwanamke yeyote anaeweza kufanya hata biashara yenye mtaji mdogo na akapata faida na biashara ikadumu hata kwa mwaka mzima huyo ndo wakuoa
 
Mie niliwaambia nime disco chuo kikuu walikuwa wanachi wenzangu.
Fanya kutuma hela umekosea like ,2-5 laki kutumia namba ya mtu then huyo mtu abembeleze anaombwa arudishiwe amekosea, mtu mmoja ajifanye ana shida amlilie amsaidie kitu ,hapa ni Kama unapima utu wake,.
Kama unayo kazi chukua likizo mwambie umefukuzwa kazi, na ikiwekezekana umefungwa kuwa umeibia kampuni fake deal uone response yake, muangalie Kama anakomaa kusalimia mama yako and ndugu wengine,yaani kwa kiufupi Yule mtu anajisikia kuwa bonded kwenu kabisa Tena electrovalent bond na sio covalent bond
Mbona haya mateso sasa 😀😃😃, kama hujaridhika nae muache tu
 
Mpe hela nyingi mwambie ni zawadi yako akipokea sio mtu sahihi,pitia na Naye mitaani uwe unaona vitu anavyotolea macho,,
Mpelekee sehemu za Bata Kama ni mme ama mke atakuuliza mbona unaharibu hela , yaani try to spend OVYO OVYO hela yako ukiona ana uchungu na hale yako basi ujue umepata mtu sahihi.
Sikuhizi wanajua kuigiza balaaa 😀😃😄, Hakuna formula
 
Back
Top Bottom