March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

Siyo kweli Mkuu Arushaone, nakataa. Kindly look at kenyan politics in a multi dimensional way. Hapa mshindi ni kabila la kikuyu+kalenjin ambao kwa pamoja they make a significant voteing block kwa siasa za kenya against makabila mengine

1. once again tunashuhudia katika africa yetu ukabila ukitukuzwa na siyo sera ya candidate.

2. Ndio, Ukabila unatukuzwa na siyo personal integrity na uchapakazi wa mtu,

3. The list is looooong........

kwa maana nyingine as long as Kenya lives, kabila la kikuyu na kalenjin litaendelea kuwa na haki ya kutawala kenya simply kwa faida ya uwingi wao na siyo sera za watu watokao kwao.

No matter how much mjaluo au kabila lingine lina sera nzuri hawawezi kuchaguliwa kwa mantiki hii.

Kwangu mimi hii siyo siasa ya ushindani yenye tija, bali ni kukamiana na kusindana kikabila..

Sina uhakika sana kama uhuru ataweza kuongoza kwa ufanisi na kuleta mshikamano kitaifa watu ambao kwa karibu nusu hawamkubali na wanahisi kwamba wanatawaliwa kikabila zaidi. Mhh mimi naona kenya bado ngoma nzito kuelekea demokrasia ya kweli........

kwahiyo wakikuyu wako mil 6,173,433?.
 
Last edited by a moderator:
kwahiyo wakikuyu wako mil 6,173,433?.

Sidhani kama Wakikuyu wanafikisha hiyo namba. Hizo kura ni muungano wa wakikuyu na wakalenjini (anakotoka Ruto) bila kusahau kwamba hata makabila mengine on indvidual basis walimpigia kura Uhuru.

Tiba
 
Mkuu, mshindi lazima awe amepata 50% + 1 vote, sasa huyu bwana rais mteule kapata 50.03% which means ni 50% + 0.03%, ukikokotoa hesabu za darasa la tano au sita au la saba utagundua kuwa 0.03% ya kura zote ni zaidi ya kura moja, hivyo, Uhuru Kenyata aanakuwa ameshinda uchaguzi kiulaini.

Subiri tuone!!!

Mnataka ku-round 0.03% to 1%

Hiyo ni kali, labda ingekuwa 0.6% ingeleta 1%

But Kenya Decides
 
Inaonekana hujaelewa hiyo 50% + 1 vote, Mbona amefikisha vizuri tu. Ieleweke vizuri hiyo 1 ni vote siyo %, hivyo ukitafuta percentage ya 1 vote (% inatoka kwenye total vote cast = 12m) ukaongeza hapo kwenye 50% utaona amefikisha vizuri sana. Ukifanya mahesabu vizuri ana 4,099 votes zaidi ya nusu ya votes ambayo maana yake ni (50% + 4,099 votes) which is far away from (50% + 1vote).


Tumia akili wewe!! Hakuna 50% + 1 vote, haaaaaaa, haaaaa.

Itakuwa walioandika katiba ni majuha
 
tumsubiri mchu wa madaraka raila sijui atachochea tena vurugu ili aonewe huruma awe waziri mkuu au la!

Wakenya wanaamini Uhuru alipelekwa ICC kwa kuonewa, watuhumiwa halali ni Kibaki na Raila, ICC iliwabeba kwa vile walikuwa ikulu. Uhuru kapelekwa ikulu ili Kibaki na Raila wapelekwe ICC. Hongera Kenya kwa maamuzi ya haki na haki iteremke kama maji, amen.
 
Subiri tuone!!!

Mnataka ku-round 0.03% to 1%

Hiyo ni kali, labda ingekuwa 0.6% ingeleta 1%

But Kenya Decides

Total cast votes - 12,338,667.

50% of total cast votes - 6,169,333.5.

Uhuru Kenyatta amepata - 6,173,433.0.

Tofauti ya kura za Uhuru na zile 50% (6,173,433.0 - 6,169,333.5) = 4,099.5.

Uhuru ana 4,099 votes above 50%, i.e (50% + 4,099 votes), he only needed (50% + 1vote)

Therefore, he is the winner.

Naamini utakua umenipata vizuri.
 
Hivi odinga ataambulia hata uwaziri wa michezo kweli?jinsi alivyomfukuza Ruto lazima ana hasira nae
 
Subiri tuone!!!

Mnataka ku-round 0.03% to 1%

Hiyo ni kali, labda ingekuwa 0.6% ingeleta 1%

But Kenya Decides

Kuna tofauti kubwa sana kati ya 51% na 50% + 1. Hapa kinachosemwa ni 50% + 1 vote. Hii ina maana mshindi alipashwa apate 50% ya kura zote zilizopigwa na angalau kura moja zaidi.

Tiba
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya 51% na 50% + 1. Hapa kinachosemwa ni 50% + 1 vote. Hii ina maana mshindi alipashwa apate 50% ya kura zote zilizopigwa na angalau kura moja zaidi.

Tiba


mkuuTiba kwani 50%+1 bado kufika?
maana watu tushanunua sare za siku kuu ya kiapo hapa
 
mkuuTiba kwani 50%+1 bado kufika?
maana watu tushanunua sare za siku kuu ya kiapo hapa

Hiyo sasa ni historia. Uhuru amepata hiyo 50% tena si plus 1 bali plus 4,099 votes. Endelea kuweka sare zako sawa!!!!

Tiba
 
mkuuTiba kwani 50%+1 bado kufika?
maana watu tushanunua sare za siku kuu ya kiapo hapa
Mbona zamani ameshafikisha hiyo kitu, hizo sare zivae kabisa usisubiri hata siku ya kuapishwa maana Raila hachelewi kwenda mahakamani akasimamisha shererhe za kuapishwa.
 
Mbona zamani ameshafikisha hiyo kitu, hizo sare zivae kabisa usisubiri hata siku ya kuapishwa maana Raila hachelewi kwenda mahakamani akasimamisha shererhe za kuapishwa.
kama hana ushahidi wa kutosha kutoridhishwa na matokeo akae kimya ila kama ana uhakika aende maana ni haki yake
vinginevyo aache tu maana akishindwa huko tena heshma yake itashuka
 
Kuna watu wana vichwa vigumu utadhani vimetiwa mchanga
(source joti).
*Ili kushinda unatakiwa kupata 50% 1 vote(kura ya mtu mmoja)
*Uhuru yeye ana 50% + 4099 votes(badala ya kuzidisha moja kwenye 50% yeye amezidisha 4099)
*ambazo hizo zilizozidi (4099) ndo zina make 0.03% of all votes casted
so ana 50% + 0.03% so ndo mshindi
hapa hakuna atakayebisha zaidi ya wale 60% ambao ni wahanga wa CSEE 2012
 
Back
Top Bottom