mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Kuna watu wana vichwa vigumu utadhani vimetiwa mchanga
(source joti).
*Ili kushinda unatakiwa kupata 50% 1 vote(kura ya mtu mmoja)
*Uhuru yeye ana 50% + 4099 votes(badala ya kuzidisha moja kwenye 50% yeye amezidisha 4099)
*ambazo hizo zilizozidi (4099) ndo zina make 0.03% of all votes casted
so ana 50% 0.03% so ndo mshindi
hapa hakuna atakayebisha zaidi ya wale 60% ambao ni wahanga wa CSEE 2012
Mkuu Tangopori sio vichwa vigumu bali ni tafsiri sahihi ya +1