Kuna watu wana vichwa vigumu utadhani vimetiwa mchanga
(source joti).
*Ili kushinda unatakiwa kupata 50% 1 vote(kura ya mtu mmoja)
*Uhuru yeye ana 50% + 4099 votes(badala ya kuzidisha moja kwenye 50% yeye amezidisha 4099)
*ambazo hizo zilizozidi (4099) ndo zina make 0.03% of all votes casted
so ana 50% 0.03% so ndo mshindi
hapa hakuna atakayebisha zaidi ya wale 60% ambao ni wahanga wa CSEE 2012
Subiri tuone!!!
Mnataka ku-round 0.03% to 1%
Hiyo ni kali, labda ingekuwa 0.6% ingeleta 1%
But Kenya Decides
Tatizo hawa watu hawajui tofauti ya absolute value na relative value, usiwalaumu hesabu zilikuwa zinakimbiza watu wengi sana madarasani, kwa nini hawajiulizi kama hiyo 1 ni %age kwa nini zisiandikwe pamoja yaani 51% badala ya 50%+1.Kuna watu wana vichwa vigumu utadhani vimetiwa mchanga
(source joti).
*Ili kushinda unatakiwa kupata 50% 1 vote(kura ya mtu mmoja)
*Uhuru yeye ana 50% + 4099 votes(badala ya kuzidisha moja kwenye 50% yeye amezidisha 4099)
*ambazo hizo zilizozidi (4099) ndo zina make 0.03% of all votes casted
so ana 50% + 0.03% so ndo mshindi
hapa hakuna atakayebisha zaidi ya wale 60% ambao ni wahanga wa CSEE 2012
Mkuu Tangopori sio vichwa vigumu bali ni tafsiri sahihi ya +1
Tumia akili wewe!! Hakuna 50% + 1 vote, haaaaaaa, haaaaa.
Itakuwa walioandika katiba ni majuha
Wakenya wanaamini Uhuru alipelekwa ICC kwa kuonewa, watuhumiwa halali ni Kibaki na Raila, ICC iliwabeba kwa vile walikuwa ikulu. Uhuru kapelekwa ikulu ili Kibaki na Raila wapelekwe ICC. Hongera Kenya kwa maamuzi ya haki na haki iteremke kama maji, amen.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya 51% na 50% + 1. Hapa kinachosemwa ni 50% + 1 vote. Hii ina maana mshindi alipashwa apate 50% ya kura zote zilizopigwa na angalau kura moja zaidi.
Tiba
....Urais wa Odinga ulikuwa umeshikiliwa na William Samoe Ruto, bahati mbaya kwa kujiamini kizembe akautema mti wa kupandia kwenda kileleni na matokeo yake kama wahenga walivyosema majuto ni mjukuu, round one, kwisha habari yake....
Nakubaliana na wewe asilimia mia, kosa kubwa lililopoteza ndoto za RAO ni hilo na kama kuna watu wanatakiwa kumshauri wangemshauri asiangaike kwenda mahakamani badala yake atumie mda huo kujutia makosa yake.
Dah huyo Ruto ni mtu makini anaejuwa siasa za Kenya vilivyo.
Inaaminika pia ndie aliemshawishi Uhuru kugombea na kutengua ahadi yake alomuahidi Musalia Mudavadi kuwa hatogombea uraisi ili amsapoti.
Ruto kamanda kutoka Eldoret ni mtu makini ambaye anajuwa kucheza na hisia za wakenya na ndio maana ana uwezo wa kupenya kwenye ngome ya mtu yeyote yule na kupata Kura.
Tumia akili wewe!! Hakuna 50% + 1 vote, haaaaaaa, haaaaa.
Itakuwa walioandika katiba ni majuha
mkuuTiba kwani 50%+1 bado kufika?
maana watu tushanunua sare za siku kuu ya kiapo hapa
Hiyo sasa ni historia. Uhuru amepata hiyo 50% tena si plus 1 bali plus 4,099 votes. Endelea kuweka sare zako sawa!!!!
Tiba
uhuru ana 49.9%
total votes zime exceed 12m na uhuru ameshindwa kufikisha nusu, labda wachakachue tena
Uhuru amepata 50% plus 3,600. So, yuko well above the threshold!We also need our own Uhuru (a certain Nyerere ambaye si mwana CCM). Hivi huyu anayeitwa Madaraka Nyerere vipi?