Raila rais mpya wa Kenya huyu Uhuru Selemani asubili
wamemdhulumu tena.Wakikuyu hawataki waongozwe na kabila tofauti
wamekoseaHi DAILY POST,
I saw these 2013 projected election results somewhere and thought that I share.
We are assuming 100% turnout though it may be lower but the ratios still remain. This is the worst case scenario and still UHURU beats RAILA.
Look at the results above
Chaguzi za kiafrika zina mambo mengi unaweza ukachaguliwa lakini usitangazwe kuwa mshindi!
naangalia kwenye ntv wanasema wanarudia kuhesabu kwa mkono.walivyotumia vifaa imeonekana watu walioandikishwa ni wachache kuliko waliopiga kurajamani mbona raila anaongoza kwa sasa ana 69.7% na kenyatta ana 27.5%
source: citizen tv
Ni jimbo moja labda!!!!Uhuru 27.5 kura 42,966 raila 69.7 kura 108,805 source citizen tv na bado ipo hewani
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
MOD msiondoe kule jukwaa la Kenya halipendwi someni alama za nyakati
Uhuru kenyatta 27.5 %
raila odinga 69.7 %
SOURCE - KBC < CITIZEN < NTV
.......
wamekosea
TUTAZAME KWA MAKINI HIZI KURA; RAILA ODINGA_ VOTES 108,805=69.7% NA KENYATTA VOTES 42,966 = 27.5% wana maana gani hawa CITIZEN TV? wakati mchana walitamka kura zaidi mil 2, kwa kenyatta na kuwa ana 53% na Raila 42%.... au LUGHA kwa sisi wa tz inakuwa ngumu kutafsiri.
......