Butola
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 2,290
- 758
Raila rais mpya wa Kenya huyu Uhuru Selemani asubili
...hakuna tofauti, issue ni kuwa mwanzo ilikuwa ni matokeo ya awali kama walivyotumiwa toka vituoni, haya ya sasa wanaweka matokeo rasmi kama walivyoyapokea live, mpaka kesho baada ya kuwekwa vituo vingi tutarudi palepale tulipokuwa, Uhuru Kenyatta ameshinda...