Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matokeo ya uchaguzi wa Tanzania unapoanza kutangazwa, huwa wanaanza kuonyesha kuongoza kwa upinzani! ngoja mpaka mwisho uone! tunachukua, tunaweka, waa! mshindi ni chama tawala! sasa hapa anaongoza Kenyata ni kweli lakini mwisho atapigwa knock out na Odinga! huyu ndie anatakiwa na nchi za Magaribi na Kenyatta sahauni!
Cdm na magufuli mnasemaje
Jipe moyo ndugu, ila Kenyatta ndo anachukua hivyo
CDM tunasema CCM waanze kufunga virago!
Magufuli atajijibia mwenyewe
Ni mapema sana kutabiri! Tuvute subira!
Baba yake Karume alikuwa raisi, baba yake Bush alikuwa raisi, baba yake Kabila alikuwa raisi-huko kote sijaona kama uraisi umefanywa wa ukoo!!!
sasa utabiri usipofanyika mapema huo hautakuwa utabiri bali simply stating the fact
sasa utabiri usipofanyika mapema huo hautakuwa utabiri bali simply stating the fact
Uhuru akishinda, Magufuli hatakanyaga Kenya.
Cdm na magufuli mnasemaje
Kwa udini...
Ni mapema sana kutabiri! Tuvute subira!