March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

unamsikia Shaka Salli na abdul shakur abood toka nairobi. fungua STAR TV. THEN UTAELEWA KUWA KENYATTA EARLY LEAD RESULTS ARE NO LONGER HELD AS OFFICIAL RESULT FROM IEBC. PERIOD . I CANT GO TO SLEEP UNTIL EVERYTHING IS ON THE OPEN

..Provisional results zinakoma pale kunapokuwa na official results, lakini hiyo haimaanishi kuwa official results zitakuwa tofauti na provisional results...
 
inaonekana odinga amesha jumlisha matokeo ya vituo vyote na anajua kuwa ameshinda coz bbc amesema anacofidensi kuwa atashinda
 
Mungu ni wa ajabu sana......atabaki kuwa Mungu: Baada ya tume ya uchaguzi kuamua kuhesabu kura manually sasa Odinga anaongoza ana kura 71% na Kenyatta kura 28.3%. Kenyatta na Ruto ni hatari........walipanga na programa wa komputa ili kura za Kenyatta ziongozeke na za Raila zipungue lakini Mungu amewaumbua, hii mbinu ilikuwa imefanikiwa kwa ajili ya pesa. Mungu tunakushukuru.

sasa hivi citizen wanaonyesha katika constituency 21 ambazo tume imetangaza ,Uhuru Kenyata anaongoza katika summary of prov. results, maeneo bunge mengi utofauti wa kura kati yao ni mkubwa ila katika aggregate bado uhuru anaongoza.
 
kuhesabu kura manually sasa Odinga anaongoza ana kura 71% na Kenyatta kura 28.3%. Kenyatta na Ruto ni hatari........
KENYATTA: 56.3%518,092 votesODINGA: 40.7%374,508 votes
This is what i got from your source.
 
Hazina tofauti matokeo ya mwisho yale yale. Mleta mada jipange upya ni sawa kuanza kuhesabu kura za chadema arusha halafu ukabadilisha ukaanza kuhesabia Zanzibar hudhani kama kutakuwa na tofauti kubwa? Afterall ni constituency chache. Anyways Uhuru is still leading.
 
Mkuu heshima mbele. Afazali gap ya laki mbili kuliko ile ya nusu milioni. Cheki hii graph niliopata sehemu kuonyesha 'arithmetic progression' ambayo ilikua inaendelea baada ya jamaa ku-hack system ya IEBC...
483848_10200776144916725_1154623076_%20n.jpg
duuu wasiwasi wangu ni Kinana tu, akikajua hako kamchezo ka ku-hack haki ya mama CDM hatuna chetu 2015
 
..Provisional results zinakoma pale kunapokuwa na official results, lakini hiyo haimaanishi kuwa official results zitakuwa tofauti na provisional results...

Unajua kinacholeta mtafaruku na anxiety amongs Kenyans ni kwamba walisema ohh mara sijui ngoma itakua
digital awamu hii....mara sijui results zitakua zinapatikana real time. That was the real plan lakini sijui jamaa
waliingia vipi katika system na kuanza kuharibu mambo.

Kwa hivyo to be fair hata zile provisional results sasa watu wanashauku nazo ndo maana usemi wote huu.

Liwe liwalo lakini mpaka kieleweke tu...(bila fujo by the way...:A S shade🙂
 
Hili ndilo tuliokuwa tunafuatilia matokeo tuliliona mapema kama kulikuwa na hali ya uchakachuaji.Ngoja na tuone huu utaratibu wa kuhesabu upya matokeo kwa kutumia ujumlishaji wa kawaida
 
inaonekana odinga amesha jumlisha matokeo ya vituo vyote na anajua kuwa ameshinda coz bbc amesema anacofidensi kuwa atashinda
It is a customary for every african presidential contestant boasting to win the poll even before the results are officially released.
Tusubiri tuone majibu, na utayari wa kuyakubali matokeo ya uchaguzi.
This goes kwa kila mgombea.
Sijui msimamo wa Paul Muite ambaye ali-concede defeat kwa matokeo ya awali ambayo hayakuwa halali.
 
Mungu ni wa ajabu sana......atabaki kuwa Mungu: Baada ya tume ya uchaguzi kuamua kuhesabu kura manually sasa Odinga anaongoza ana kura 71% na Kenyatta kura 28.3%. Kenyatta na Ruto ni hatari........walipanga na programa wa komputa ili kura za Kenyatta ziongozeke na za Raila zipungue lakini Mungu amewaumbua, hii mbinu ilikuwa imefanikiwa kwa ajili ya pesa. Mungu tunakushukuru.

Soma huu waraka, mengine baadae:

20052_125-200x150.jpg
image_shadow.png

[h=1]FORA Lobby Confident Raila Odinga Will Emerge Victorious[/h]March 5, 2013|Posted in: Politics

Friends of Raila, a lobby group that has been leading Prime Minister Odinga's presidential campaigns is confident that Raila will emerge winner despite CORD candidate trailing in the tally so far.
Here below is the full statement:
FORA statement on the ongoing IEBC presidential vote tallying
1.The Friends of Raila (FORA) Secretariat thanks Kenyans for coming out in large numbers and conducting ourselves in a patriotic and orderly manner during the historic voting exercise yesterday, March 4, 2013.
2.We want to bring to your attention that we have our presidential tallying centre. We are receiving results from our Agents across the country as they are announced at the polling centres. The numbers we have look very good and we urge our supporters not to buy into the scare on TV screens. We have not released our in-house tallies because the Captain signed the IEBC code-of-conduct and he has urged us to be responsible and to wait on IEBC's results. We are continuing to monitor IEBC's provisional results and only making contact for clarification where there are any serious discrepancies with our in-house tallies. We reiterate that so far the numbers that we have are looking very good and our supporters should not be alarmed at all.
3.We remind Kenyans to note that so far IEBC has released only a fraction of the total votes cast across the country. Of importance to note is that the percentages of votes per county released by IEBC so far is not uniform. Different counties have different percentages of votes tallied so far. Statistically therefore, the national average, which is what TV screens are displaying, cannot and should not be used by our competitors or anyone to misinform and mislead the public that someone is cumulatively ahead. We urge our supporters and the public to look at the numbers being screened on TVs in context as well as in relation to statistics paradoxes. As of this morning IEBC had indicated they had provisional results from about 8000 polling centres. Across the country we have over 31000 polling centres.
4.We want our supporters to note that IEBC erred in beginning to release provisional results while voting was still going on in many polling centers. Also the initial provisional results that were released to the public were those from our competitor's strongholds. We wish to inform the public that at some point immediately thereafter the IEBC system went down, affecting the streaming of live results. In addition, our supporters should note that just a few tallies have been released by IEBC from our strongholds.
5.In closing, we want to say again that our in-house tallying numbers are looking very good and we are poised for a big win! We ask for calmness as IEBC continues to release the results. Always bear in mind that the numbers coming in are not uniform across the counties and therefore the average percentage cannot and should not be used as a national average. The results in so far are provisional. In fullness of time, we are headed for a big win.
For any further information please contact the undersigned.
Signed:
George Nyongesa |CEO, The Friends of Raila | Tel: +254 720 451 235 / 733 827 859 |Email: grnyongesa@yahoo.com
Cc: Hon. Kalonzo Musyoka
Hon. Anyang Nyong'o
Hon. Franklin Bett
Mr. Eliud Owallo
 
Ukienda kulala ukiamka jua imekula kwako mkuu!...Huyo Isaack mwenyewe nasikia kapiga 36hrs bila
usingizi. Zile kura za '07 watu walienda kulala walipoamka wakamkuta Kibaki tayari keshaapishwa!

Ogopa sana watu sampuli hii.
Hiyo ni Kumchinja Kobe stylish Ndugu Ab-Titchaz!!
 
Last edited by a moderator:
Kimsingi kuna kila dalili njema za Kenyata kushinda uchaguzi wa uraisi kenya, Isipokuwa Wazungu Hawataki ashinde na wakenya wasipoangalia matokeo haya yanaweza badilishwa muda wowote kuelekea upande wanaotaka wao (Raila). msiwaone hivi wazungu wana hila sana. mtashangaa wao ndiyo wanaotangaza matokeo na siyo tume tena.
Ukiangalia trend ya kampeni alizokuwa akipiga Kenyata na Ruto zilikuwa zimekaa vizuri kuliko za Raila, Kosa la Raila alijihakikishia ushindi mapema bila kujali kuwa kampeni zina mchango mkubwa katika kupata ushindi wa kweli. Uhuru alianzanza na washabiki wachache sana lakini kadiri siku zilivyokua zinasonga mbele idadi ya wapenzi ikawa inaongezeka kwa kasi naye hakuchoka kuendeleza kampeni za kimbunga.
 
Hata sasa tunakushukuru ee Muumba kwa utulivu ulioko Kenya na kuwaumbua wote wenye uchu wa damu za Wakenya.

Madaraka madaraka, wapenda madaraka kwa gharama yoyote ni Mashetani wanaokunywa damu za watu uili tu wapate madaraka.

Mungu tuepushie utapele na wizi wa kura Tanzania 2015, AMIN
 
Who is James Rege?
James Rege expert wa IT na nguli wa masuala ya Mawasiliano Africa. Alikuwa na ni mmoja wa waanzilishi na Mkurugenzi wa kwanza wa Vodacom Tanzania mwaka 2000. Pia alikuwa ni mmoja wa wanahisa wa Vodacom kabla ya kuuza hisa zake na kurudi Kenya na kuwa Super dealer wa Safaricom na biashara za Courier.

Baada ya kuondoka Tanzania alipata pia kuwa Permanent Secretary. Mwaka huu amegombea ubunge jimbo la Karachuonyo kwa tiketi ya ODM na kushinda.

Huyu ndiye aliyestukia mchezo wote uliofanywa na Safaricom of course kuna insiders wamempa hint na si suala la bahati mbaya.

Ni kweli mkuu actually alikuwa na share asilimia 5 kwenye Vodacom kabla hajaziuza na kurejea zake Kenya baada ya kuondolewa kwenye nafasi hiyo na badala yake akaja Dr. Idris Rashid.
 
Kenyan Hakika uko makini Kamanda wangu!

Tunashukuru sana!

Latest Presidential OFFICIAL Results (14,308,221 registered voters):

____________________________

10:00pm:
Uhuru Kenyatta - TNA: 445,810
Raila Odinga - ODM: 332,053

21 out of 291 Constituencies results
____________________________

09:35 pm:
Uhuru Kenyatta - TNA: 444,034
Raila Odinga - ODM: 209,578

18 out of 291 Constituencies results
____________________________

07:05 pm:
Uhuru Kenyatta - TNA: 42,966 (27.5%)
Raila Odinga - ODM: 108,805 (69.7%)

6 out of 291 Constituencies results
____________________________


For previous Presidential Provisional Results as of March 04-06, 2013, please READ THIS POST Live March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom