Kindeena JF-Expert Member Joined Sep 27, 2017 Posts 11,462 Reaction score 21,124 Dec 7, 2023 #101 min -me said: Nchi ni mjumuiko wa vipande vidogo vidogo vya shamba . Click to expand... Sawa
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Dec 7, 2023 #102 Ahsante Kwa taarifa...
B bugzbunny JF-Expert Member Joined Mar 9, 2013 Posts 839 Reaction score 755 Dec 7, 2023 #103 Accumen Mo said: Hao jamaa na kupenda kurithi 😅😅,sijawahi kuona jamii inayopenda mali za urithi kama hiyo na kuna wazee wa kupenda kesi huko Same. Click to expand... Same na hao kuna uhusiano gani? Different, very different. Hujui kitu.
Accumen Mo said: Hao jamaa na kupenda kurithi 😅😅,sijawahi kuona jamii inayopenda mali za urithi kama hiyo na kuna wazee wa kupenda kesi huko Same. Click to expand... Same na hao kuna uhusiano gani? Different, very different. Hujui kitu.
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 23,322 Reaction score 64,738 Dec 7, 2023 #104 Kindeena said: Sehemu gani hiyo? Siyo kweli, nikiilinganisha ardhi ya Moshi na sehemu nyingine, bado hiyo ya Moshi inashika mkia. Ardhi ya Moshi kwangu haina maajabu. Click to expand... Kimbuzi kidogo utakua umekatiwa kipande kidgo huko uchagn[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kindeena said: Sehemu gani hiyo? Siyo kweli, nikiilinganisha ardhi ya Moshi na sehemu nyingine, bado hiyo ya Moshi inashika mkia. Ardhi ya Moshi kwangu haina maajabu. Click to expand... Kimbuzi kidogo utakua umekatiwa kipande kidgo huko uchagn[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kindeena JF-Expert Member Joined Sep 27, 2017 Posts 11,462 Reaction score 21,124 Dec 7, 2023 #105 min -me said: Kimbuzi kidogo utakua umekatiwa kipande kidgo huko uchagn[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Click to expand... Halafu mimi siyo size ya kiwanja cha 10 kwa 12 ukirudha jiwe linaenda nyumba ya 7
min -me said: Kimbuzi kidogo utakua umekatiwa kipande kidgo huko uchagn[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Click to expand... Halafu mimi siyo size ya kiwanja cha 10 kwa 12 ukirudha jiwe linaenda nyumba ya 7
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 23,322 Reaction score 64,738 Dec 7, 2023 #106 Kindeena said: Halafu mimi siyo size ya kiwanja cha 10 kwa 12 ukirudha jiwe linaenda nyumba ya 7 Click to expand... 🤣🤣🤣
Kindeena said: Halafu mimi siyo size ya kiwanja cha 10 kwa 12 ukirudha jiwe linaenda nyumba ya 7 Click to expand... 🤣🤣🤣
K kipumbwi JF-Expert Member Joined Feb 3, 2015 Posts 3,162 Reaction score 9,073 Dec 7, 2023 #107 Kindeena said: Nipo km 30 kutoka eneo ambalo linauzwa laki moja na elfu kumi (110,000/=) kwa ekari moja. Bei sawa na bure. Mtu akizozania vihamba vya Moshi huwa ninamdharau sana. Click to expand... Mkuu upo mkoa gani?!! Wilaya gani?!!
Kindeena said: Nipo km 30 kutoka eneo ambalo linauzwa laki moja na elfu kumi (110,000/=) kwa ekari moja. Bei sawa na bure. Mtu akizozania vihamba vya Moshi huwa ninamdharau sana. Click to expand... Mkuu upo mkoa gani?!! Wilaya gani?!!