Waamuzi wetu nao ni binadamu. Angalia ulaya na teknolojia zote na maslahi yao afu angalia ugoro wanafanya. Njoo bongo angalia hali halisi. Posho kiduchu, mafunzo duni na siasa yetu kuingilia mpira.
Hiyo
a amekataa goli halali kabisa la singida big stars dhidi ya coastal union. TFF fungieni hawa marefa wanaharibu sana ligi.
Hiyo siyo Mara ya kwanza kwa coastal