Wivu wa kike tu kutoka kwa huyu shoga watu sio wastaarabu kabisa humu kuna ndugu zake jamaa nk kwa nn uje na kauli chafu hivi kwa marehemu kama sio wivu?Kwan ww hutaki binti Yako aolewe na tajiri?
Kuzalia nyumbn kwa binti yake Kuna shida Gani?
.Acha ujinga yaani umekaa siku nzima umeona hichi ndio Cha kuja kuandika humu?
Maneno kuntu kabisa.Mtoto wa kike sio wa kumuwekea dhamana, atakuaibisha. Wewe hope for the best from her ila ukiweka 100% expectation utaishia kupata sifuri.
Marehemu hakua na hela yoyote jana ndugu yake mmoja alikua anamponda kwamba hata kwao hakujenga.
Mwanaume yoyote unaejielewa ukipata pesa cha kwanza ni kujenga kwenu.
Apumzike kwa amani.
singo maza na tajiri wapi na wapi .Kwani chance ya kuolewa na tajiri ishafutika?
Gardner alikuwa mlevi na mpaka alikuwa balozi wa pombe kiufupi huyu alikuwa mtu wa hovyo hafai kuigwa katika jamiiUnashangaa nini sasa?
Mbona wewe ni useless na Bado tunasoma posts zako
Hakuna ubwege Kama kuona wenzako hawafai
Jamaa alikua na upendo, mtu wa kujitoa na asiyenyanyua mabega
Tuje kwako sasa…. Hakuna hata pa kuanzia, useless
Wewe unafaa?Nashngaaa mijittu inamsifia na kumpa sifa kedekede mtu asiye fah kwenye jamii
Marehemu alikuwa balozi wa pombe kiufupi hafai kuigwa na matokeo ya ulevi wake ni pale alipotamka hadharani kuwa kamkojoza lady jay dee miaka 15Keshatangulia mbele ya haki; mwacheni apumuzike. Kama kuna ya kujifunza kutokana na maisha yake tujifunze ili yatusiadie tuliobaki lakini tusimlaumu marehemu akiwa kaburini kwani hawezi kujitetea.
Mpaka hapa sijauona huo uovyo wewe ndio unaonekana wa ovyoGardner alikuwa mlevi na mpaka alikuwa balozi wa pombe kiufupi huyu alikuwa mtu wa hovyo hafai kuigwa katika jamii
Kauli chafu mbona ni zakawaida tu mbona hata yeye alishatamka kauli chafu hadharani kuwa kamkojoza jide kwa miaka 15 ? Je unadhani jide hana ndugu ambao waliumizwa na hiyo kauli?Wivu wa kike tu kutoka kwa huyu shoga watu sio wastaarabu kabisa humu kuna ndugu zake jamaa nk kwa nn uje na kauli chafu hivi kwa marehemu kama sio wivu?
Wewe ni dini gani?Mpaka hapa sijauona huo uovyo wewe ndio unaonekana wa ovyo
BuddhaWewe ni dini gani?
We unamjua naniHOnestly, mbali na picha zake, huyo jamaa sikuwah kumjua, sikuwah hata kusikia vipind vyake hata sauti Yake sikuwah kuijua hata clip ya video yake sikuwahig kuiona ndio saa hii namjua sasa
Pombe ni haramBuddha
KitengeWe unamjua nani
Nakazia hapaUkiachalia mbali saut mengine marehemu hafai kuigwa kwa lolote
Allah ndio kakukaririsha hivyoPombe ni haram