Marehemu Captain G Habash aliwahi sema binti yake ataolewa na tajiri tu

Kwan ww hutaki binti Yako aolewe na tajiri?

Kuzalia nyumbn kwa binti yake Kuna shida Gani?

.Acha ujinga yaani umekaa siku nzima umeona hichi ndio Cha kuja kuandika humu?
Wivu wa kike tu kutoka kwa huyu shoga watu sio wastaarabu kabisa humu kuna ndugu zake jamaa nk kwa nn uje na kauli chafu hivi kwa marehemu kama sio wivu?
 
Maneno kuntu kabisa.
 
Mimi pia sipendi umasikini, simpendi masikini hana heshima (kotekote pesa na kuheshimu watu)

Ana wivu, kisirani mvivu sasa kwanini nitake mtoto wangu aolewe na masikini?

Kosa la Gardina lipo wapi hapo? Na naiman wewe pia utakuwa masikini maana hiki ni kisirani
 
Unashangaa nini sasa?

Mbona wewe ni useless na Bado tunasoma posts zako

Hakuna ubwege Kama kuona wenzako hawafai

Jamaa alikua na upendo, mtu wa kujitoa na asiyenyanyua mabega

Tuje kwako sasa…. Hakuna hata pa kuanzia, useless
Gardner alikuwa mlevi na mpaka alikuwa balozi wa pombe kiufupi huyu alikuwa mtu wa hovyo hafai kuigwa katika jamii
 
Keshatangulia mbele ya haki; mwacheni apumuzike. Kama kuna ya kujifunza kutokana na maisha yake tujifunze ili yatusiadie tuliobaki lakini tusimlaumu marehemu akiwa kaburini kwani hawezi kujitetea.
Marehemu alikuwa balozi wa pombe kiufupi hafai kuigwa na matokeo ya ulevi wake ni pale alipotamka hadharani kuwa kamkojoza lady jay dee miaka 15
 
Wivu wa kike tu kutoka kwa huyu shoga watu sio wastaarabu kabisa humu kuna ndugu zake jamaa nk kwa nn uje na kauli chafu hivi kwa marehemu kama sio wivu?
Kauli chafu mbona ni zakawaida tu mbona hata yeye alishatamka kauli chafu hadharani kuwa kamkojoza jide kwa miaka 15 ? Je unadhani jide hana ndugu ambao waliumizwa na hiyo kauli?
 
HOnestly, mbali na picha zake, huyo jamaa sikuwah kumjua, sikuwah hata kusikia vipind vyake hata sauti Yake sikuwah kuijua hata clip ya video yake sikuwahig kuiona ndio saa hii namjua sasa
 
Ndio mna tunaambiwa tuwe na akiba ya maneno

Binti anakwenda kujifungua mtoto wa pili tena nyumbani bila ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…