Marehemu Captain G Habash aliwahi sema binti yake ataolewa na tajiri tu

Marehemu Captain G Habash aliwahi sema binti yake ataolewa na tajiri tu

Mimi nilikua nafuatilia kipindi cha reality show yake yeye na jide Eatv
Alikua ni mkimya na msikivu, sio mwanaume mkorofi
Naona alikua anaishi kama vile hakuna kesho yeye nikuenjoy tu

Kitu kikubwa nilichojifunza kwake ni kufurahi muda wote..!
Hivi yule mtoto Jide alim'adopt alikuwa anamuonesha sana kwenye kipindi chake iliendaje?
 
Maisha ya wabongo bana!! Sasa yule ni binti yake yaani ni mali yake. Kama alisema ataolewwa na tajiri, fresh tu, ni mali yake hapangiwi na mtu.

Kama mambo hayajaenda kama yalivyopangwa ni poa tu na ni kamwaida sana kupanga mipango yako na maisha yakakupangia yenyewe.

Sasa wabongo tusipende kuhangaika na maisha ya watu, hangaika na yako maisha yasonge
Amefariki lini Gardener?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Apumzike Kwa Amani.

Wakati anatoa kauli Ile ilileta mjadala mkubwa saana. Wengine walisema kamdhalilisha jide wakisahau kuwa jide kila wimbo alikuwa anamuimba wengine walimsifu
Lakini mbona baadhi ya nyimbo inasemekana Gadner mwenyewe ndiyo alikuwa anamtungia...

Hata mambo matano Gadner amehusika..
 
Mtoto wa kike sio wa kumuwekea dhamana, atakuaibisha. Wewe hope for the best from her ila ukiweka 100% expectation utaishia kupata sifuri.

Marehemu hakua na hela yoyote jana ndugu yake mmoja alikua anamponda kwamba hata kwao hakujenga.

Mwanaume yoyote unaejielewa ukipata pesa cha kwanza ni kujenga kwenu.

Apumzike kwa amani.
Ile nyumba iliyokuwa inaonekana wakati anazikwa mbona ni nzuri tu.. Au angejenga nini?

Pengine amejenga sehemu nyingine siyo hapo alipozikwa...Wale wa Kaskazini wanaelewa..Kuna Watu wana nyumba wanazikiwa pengine..Sababu unakuta hakupewa "Kiamba"

Rejea Mzee Mengi.
 
Hi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe tajiri

Mara ya mwisho nilisikia binti yake amezalia nyumbani kwake

Kwa kifupi marehemu alikuwa na maneno ya kashfa Sana na hili CMG hawalisemi
Hizo zilikuwa wishes mzee,ulitaka asema anataka mwanae aolewe na maskini
 
Ila tukienda nacho tukarudi aliongea ukwl hata Mimi sitapenda binti yangu kuolewa na kapuku ...ila ikitokea ndo ishakuwa.
 
Back
Top Bottom