Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapna. Bhna gadner wenu hakuwa mtu sahih Kama wqtu wanavyo Seema jamaa alionesha ujinga wake hadaharani bila kujali na akashikilia msimamo wakeWeka nawewe jina lako halisi tukague matendo yako jinsi ulivyo Malaika.
Umekaa hapo na Fake ID huna Aibu unaanza kumsakama marehemu!!!?
Waliokulea Mungu awasamehe.
Hapo ndipo wachaga tupo tofauti na makabila mengine, ukiendq uchagani kuna hadi magorofa na hatuishi humo. Tuna kauli nyumbani kwanzaUnajenga vipi sehemu ambayo hauishi?
Mwanaume huwezi kwenda kwenu likizo ama kusalimia ukaingia nyumba ya mwanamume mwingine mfano kaka yako ama baba yako ambae amejenga huko. Mwanaume lazima uweke alama ya kudumu kwenye ardhi ya kwenu.Unajenga vipi sehemu ambayo hauishi?
Sio kosa lako natabiri wewe ni mkristoAlikuwa anakunywa kwa pesa yake mwenyewe bwana..pesa aliyokuwa anatengeneza sio ya kuisha kwa pombe.
Unajua uharamu wa pombe? Huko aliko anajuta sasaKwani alikuwa hamkojozi?? Hujui ubalozi wa pombe analipwa na Ile ni kazi? Pale alitumiwa tafsida na ni baada ya Jide kumchokoza sana, akajibu yeye hana kinyongo nae na akumbuke alimkojoza for 15yrs, which is true... Baada ya pale jide akili ilimkaa na mpaka anafariki walikuwa marafiki wazuri
Catpin wa jeshi lipiHi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe tajiri
Mara ya mwisho nilisikia binti yake amezalia nyumbani kwake
Kwa kifupi marehemu alikuwa na maneno ya kashfa Sana na hili CMG hawalisemi
Kujenga ni kupoteza helaHapo ndipo wachaga tupo tofauti na makabila mengine, ukiendq uchagani kuna hadi magorofa na hatuishi humo. Tuna kauli nyumbani kwanza
Kwangu ni ninapoishi,huko ni kw wazazi nitaenda kuwasalimia ,tajenga napoishi mimi,wao tawapa Msaada wa kifedha ni mingine wakihitaji,Mwanaume huwezi kwenda kwenu likizo ama kusalimia ukaingia nyumba ya mwanamume mwingine mfano kaka yako ama baba yako ambae amejenga huko. Mwanaume lazima uweke alama ya kudumu kwenye ardhi ya kwenu.
Unadhani kwa nini wahindi wanaishi hapa Dar na kufia hapa hapa Bongo lakini maendeleo wanafanya kwao India na hawajengi Bongo?
Acja uchawoi mzee babaHi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe tajiri
Mara ya mwisho nilisikia binti yake amezalia nyumbani kwake
Kwa kifupi marehemu alikuwa na maneno ya kashfa Sana na hili CMG hawalisemi
sioni ubaya kumnenea mazuri mwanao! hata mimi nasema mwanangu ataolewa na tajiri! mengine mipango ya Mungu. Kwa hiyo we unapenda kusema kuwa mwanao ataolewa na jangiri/jambazi? mmnenee mema mwanao.Hi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe tajiri
Mara ya mwisho nilisikia binti yake amezalia nyumbani kwake
Kwa kifupi marehemu alikuwa na maneno ya kashfa Sana na hili CMG hawalisemi
NyerereKeshatangulia mbele ya haki; mwacheni apumuzike. Kama kuna ya kujifunza kutokana na maisha yake tujifunze ili yatusiadie tuliobaki lakini tusimlaumu marehemu akiwa kaburini kwani hawezi kujitetea.
World 🌎 corruptedHi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe tajiri
Mara ya mwisho nilisikia binti yake amezalia nyumbani kwake
Kwa kifupi marehemu alikuwa na maneno ya kashfa Sana na hili CMG hawalisemi
Mkuu kuwa maarufu haikutenganishi na kuwa na tabia kama za watu wengine ,tabia zake kama binadamu wengine hazimfanyi kuwa mtu boraa kama ambavyo kila kada wamemzungumzia mkuu,Suala la kuolewa kwa Binti yake anaamua Mungu,so si swala lake ,naa mambo mengi aliyofanya kwenye jamii yanafunika mapungufu yake kama ambavyo ,mimi na wewe tulivyoHi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe tajiri
Mara ya mwisho nilisikia binti yake amezalia nyumbani kwake
Kwa kifupi marehemu alikuwa na maneno ya kashfa Sana na hili CMG hawalisemi