Snowden E
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,668
- 2,908
Haisaidiii kitu....ukimsema marehemu kwa ubaya unajichosha tu.Anasemwa tu. Hadi leo hii tunamsema Yuda Iscariot
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haisaidiii kitu....ukimsema marehemu kwa ubaya unajichosha tu.Anasemwa tu. Hadi leo hii tunamsema Yuda Iscariot
Kazi ya kujenga kwao ni ya baba yake.Mtoto wa kike sio wa kumuwekea dhamana, atakuaibisha. Wewe hope for the best from her ila ukiweka 100% expectation utaishia kupata sifuri.
Marehemu hakua na hela yoyote jana ndugu yake mmoja alikua anamponda kwamba hata kwao hakujenga.
Mwanaume yoyote unaejielewa ukipata pesa cha kwanza ni kujenga kwenu.
Apumzike kwa amani.
🤣 🤣 🤣 🤣 haya bebeni naona mmemkamia sanaTutayabebe yote yote hata hil la kumsema jide kuwa alimkojaza for
good 15yrs hatuwezi kuliacha 🤣🤣🤣
Alizungumza matamanio yake. Wewe hapo unatamani kuolewa na tajiri hata usiposema tunajua.Ni ujinga kwa mzazi kutoka hadharani na kujibaragua kuwa mtoto wangu ataolewa na tajiri
Mnang'ang'ana na anamkojoza anamkojoza mnasahau wale walikuwa wapenzi na sio kwamba hakuwa provoked na huyo X wake. Jide mwenyewe kalia hadharani kumpoteza Gadna.Aliwahi kusema anamkojoza jide
Hata UKIMWI ( Dally Kimoko ) nao hautakiwi Kuigwa?Ukiachalia mbali saut mengine marehemu hafai kuigwa kwa lolote
Hutoki hadharani sababu ipo wazi.Nss
Ndio lkn siwezi kutoka hadharani
Ni ndoto zake binti yake aolewe tajiri, mbona huku kitaa wababa wengi wanapenda mabinti zao waolewe na matajiri sema wanajifanya kutoongea, hata kwenye familia wanaoheshimika ni walioolewa na matajiri. Marehemu amekuwa muaziHi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe tajiri
Mara ya mwisho nilisikia binti yake amezalia nyumbani kwake
Kwa kifupi marehemu alikuwa na maneno ya kashfa Sana na hili CMG hawalisemi
Weka nawewe jina lako halisi tukague matendo yako jinsi ulivyo Malaika.Kwani si aliyatamka lkn
Kawasaidia tu kuusema ukweli wenu wa moyoni.Ni ujinga kwa mzazi kutoka hadharani na kujibaragua kuwa mtoto wangu ataolewa na tajiri
Oooh kumbe hutaki unafiki!! Sasa mbona alipoacha unafiki na kuusema ukweli kuwa anataka mwanae aolewe na tajiri bado tena unamnanga!! Binadamu!!!Hapan uo Ni unafiki mkuu ,marehemu hakuwa mtu wa kujali kaulinzake za hadharani Hili hakitapoteaa kamwe
Tayari Ana mimba nyingine au inatarajiwa?Ndio mna tunaambiwa tuwe na akiba ya maneno
Binti anakwenda kujifungua mtoto wa pili tena nyumbani bila ndoa
Anayo hujamuona hapo akimlilia babaake tumbo kubwa kabisaTayari Ana mimba nyingine au inatarajiwa?
Unajenga vipi sehemu ambayo hauishi?Mtoto wa kike sio wa kumuwekea dhamana, atakuaibisha. Wewe hope for the best from her ila ukiweka 100% expectation utaishia kupata sifuri.
Marehemu hakua na hela yoyote jana ndugu yake mmoja alikua anamponda kwamba hata kwao hakujenga.
Mwanaume yoyote unaejielewa ukipata pesa cha kwanza ni kujenga kwenu.
Apumzike kwa amani.