Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Apumzike kwa amani umbeya atutaki amjasema akiwa hai awajibu mnaropoka hana pa kujiteteeeaaa stopppHi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe tajiri
Mara ya mwisho nilisikia binti yake amezalia nyumbani kwake
Kwa kifupi marehemu alikuwa na maneno ya kashfa Sana na hili CMG hawalisemi