Hivi yule mtoto Jide alim'adopt alikuwa anamuonesha sana kwenye kipindi chake iliendaje?Mimi nilikua nafuatilia kipindi cha reality show yake yeye na jide Eatv
Alikua ni mkimya na msikivu, sio mwanaume mkorofi
Naona alikua anaishi kama vile hakuna kesho yeye nikuenjoy tu
Kitu kikubwa nilichojifunza kwake ni kufurahi muda wote..!
Amefariki lini Gardener?Maisha ya wabongo bana!! Sasa yule ni binti yake yaani ni mali yake. Kama alisema ataolewwa na tajiri, fresh tu, ni mali yake hapangiwi na mtu.
Kama mambo hayajaenda kama yalivyopangwa ni poa tu na ni kamwaida sana kupanga mipango yako na maisha yakakupangia yenyewe.
Sasa wabongo tusipende kuhangaika na maisha ya watu, hangaika na yako maisha yasonge
Anaonekana ana mimba Tena mbona!??....Ipo tu akijituliza
Sijajua lakini yule mtoto namkumbukaHivi yule mtoto Jide alim'adopt alikuwa anamuonesha sana kwenye kipindi chake iliendaje?
Lakini mbona baadhi ya nyimbo inasemekana Gadner mwenyewe ndiyo alikuwa anamtungia...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Apumzike Kwa Amani.
Wakati anatoa kauli Ile ilileta mjadala mkubwa saana. Wengine walisema kamdhalilisha jide wakisahau kuwa jide kila wimbo alikuwa anamuimba wengine walimsifu
Ile nyumba iliyokuwa inaonekana wakati anazikwa mbona ni nzuri tu.. Au angejenga nini?Mtoto wa kike sio wa kumuwekea dhamana, atakuaibisha. Wewe hope for the best from her ila ukiweka 100% expectation utaishia kupata sifuri.
Marehemu hakua na hela yoyote jana ndugu yake mmoja alikua anamponda kwamba hata kwao hakujenga.
Mwanaume yoyote unaejielewa ukipata pesa cha kwanza ni kujenga kwenu.
Apumzike kwa amani.
Pombe ni haram
Hizo zilikuwa wishes mzee,ulitaka asema anataka mwanae aolewe na maskiniHi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe tajiri
Mara ya mwisho nilisikia binti yake amezalia nyumbani kwake
Kwa kifupi marehemu alikuwa na maneno ya kashfa Sana na hili CMG hawalisemi