econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Mwaka 1990 ITV ilikuwa Haijaanzishwa..
Tamthilia ya Tausi imeanza mwaka 1999 kuelekea 2000
haaaaaaaaa haaaaaaaaa! Umemkamata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka 1990 ITV ilikuwa Haijaanzishwa..
Tamthilia ya Tausi imeanza mwaka 1999 kuelekea 2000
watu mna vichwa vya kutunza kumbukumbu. mimi bichwa langu kb. halina memory kabisa. mkitaja kama hivi nami ndio nakumbuka.Nikucorrect Kidogo TVZ imeanza mwaka 1971..
Nakumbuka Mwaka 86 ndo mzee amenunua TV nyumbani bado tukiwa zenji na ilikuwa unatumia TV za Tunning kama Radio na Zilikuwa Rangi ya Black and white..
Ya Pili ilikuwa Ni ITV mwaka 1994, Na Baadae DTV mwaka 1995 kama sikosei sana mwishoni mwa 95..
Hiyo TVT unayotaja Imeanza mwaka 1999 Tena kipindi cha Msiba wa Mwalimu Nyerere..
Na TVT imekuwa Sana Kufahamika zaidi kwa ajilimya Kurusha matangazo ya Mwalimu..
Na Zaidi baada ya Lile igizo la Jumba La Dhahabu l kina Tuesday Kihangala..
Hapo kwenye Hoja zako ndo umeprove kweli Wewe Ni mdogo
Binafsi sijapata kumskiia wala kumuona popote kabla ya habari ya kifo chake
Amefanya yap makubwa kana kanumba mzee small au majuto
Sio weww wengi tu lakin kuna mijitu inasema alikua msanii mkubwa sanaaa tanzania level ya kanumba
Grace Mapunda na Mzee Pembe nani alikuwa maarufu zaidi?Ni msanii mkubwa sana, ni wewe tu ndio ulikua humjui.
Huna adabu!Misiba Mingi ya Wasanii inakuzwa kwa sababu walio hai hilo ndilo Eneo la kutafuta Kiki.
Hasa kuelekea Msimu wa Uchaguzi kama huu hata wasiomjua kama Chalamila na Shigongo nao watajitokeza kujizolea Umaarufu
Wote mkuu...Grace Mapunda na Mzee Pembe nani alikuwa maarufu zaidi?
Kwenye msiba wa pembe uliona hekaheka yoyote yq viongozi na wadau kupishana?Wote mkuu...
Kwenye msiba wa Membe wakati wanasoma historia yake walitaja kuhusu kuajiriwa na Idara na ni wazi kabisa Membe hakuwahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara.Fika leaders club ukiona V8 nyingi iwe point ya kwanza...... Na kule atakakozikwa ukiona ofisi ya DC inatoa Michele, maji na mahitaji mengine unajiongeza.
Sheria zao zinazuia kumtambukusha akuwa hai au mfu isipokuwa mkurugenzi mkuu.
Hata hivyo tunawatambua wake WA mikoa na wilaya na mara nyingine wawakikishi wao kwenye kazi mahususi za kitaifa.
Watu wanaoigiza kwenye nafasi za watu wazima ni ngumu kupata umaarufu mkubwa kwa sababu ni ngumu kwao kuwa casted kama main character sababu story nyingi huwafanya supporting actorsSio weww wengi tu lakin kuna mijitu inasema alikua msanii mkubwa sanaaa tanzania level ya kanumba
HayaHuna adabu!
🤣🤣🤣🤣Mmekuja mjini lini? Tuanzie hapo kwanza...
Inategemea uhusiano wake na wadau.Kwenye msiba wa pembe uliona hekaheka yoyote yq viongozi na wadau kupishana?
Oya dogo niamkie😎😄Anajulikana sana mzee labda wewe kwako hakua maarufu binafsi mimi nimeanza kumuona enzi hizo nikiwa mtoto miaka ya 2000s tulikua tunamuangalia kupitia ITV kila jumamosi saa 3 usiku, walikua wanaigiza na mzee mmoja anajiita Masinde, alikua anapendwa sana.
How come hata jina hana yaan jina la kumtambulisha kama wenzako wote hata kwa jina lake mpaka uulizie uelekezweWatu wanaoigiza kwenye nafasi za watu wazima ni ngumu kupata umaarufu mkubwa kwa sababu ni ngumu kwao kuwa casted kama main character sababu story nyingi huwafanya supporting actors
Ukiangalia mfano saloon ya mama kimbo ilimpa umaarufu mama kimbo kwa sababu alikuwa main character
Kwa hiyo Grace hakuwa level za kanumba kwa fame Ila kwa uwezo wa kufit roles zake, sidhani kama kanumba anamfikia.. Hivyo usishangae watu wanashtuka, katika waigizaji watu wazima huwezi weka top 5 jina lake likakosekana. She is a legend bro
Bhasi hufuatilii tu mkuu na yeye hakutokea kaole au kikundi kingine kikubwa katika ile golden era ya tamthilia. Yeye alianza ITV kipindi tamthilia zinaishia lakini kutokana na kipaji aliweza kupata roles nyingi sana toka enzi za films za ray na kanumba. Kwa hiyo kwa harakaharaka ana miaka zaidi ya 15 pasipo kutoka katika macho ya watuHow come hata jina hana yaan jina la kumtambulisha kama wenzako wote hata kwa jina lake mpaka uulizie uelekezwe