Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswa uzi bila picha batiliPicha mkuu na wengine tumfahamu marihemu wa dasalama... Bila kapicha uzi haujakamilika
Labda wewe peke yako ndio ulikuwa haumfahamu.Sote tunafaham ni Muigizaji (Msanii) lakini sio big fish kama Kanumba katika sanaa ya maigizo. Samata katika sanaa ya mpira. Diamond katika sanaa ya mziki. Mbowe katika siasa
Msanii Grace Mapunda ni msanii mkongwe asiejulikana yaani kitaalam tunaita famous unkown lakin msiba wake umekuwa mkubwa kama wa msanii mkubwa Tanzania.
Pia, soma: TANZIA - Muigizaji Grace Mapunda (Tessa) amefariki dunia
Mara ya kwanza naiona picha yake nikajiuliza nani huyu baada ya kuvuta picha ikaja picha yake.
Je, naye alikua anavaa suti nyeusi kwa siri kama mtangazaji wa Wasafi Mau Kikanga.
Maana wamekufa wasanii wengi lakini hakuna aliepewa nguvu kubwa na masikitiko mengi kama huyu
Pia soma: Chalamila ahimiza mfuko wa kwa ajili ya wasanii wa maigizo, Ofisi yake kutoa milioni 15
Ukiacha Majuto na Kanumba wengine kawaacha mbaliNAmfaham kama msanii wa kawaida hajafika level ya king majuto kanumba ray johar gabo na mainda mai dota na nk levo yake ni kina love wa jua kali nyama yao coletha na nk
Vyote navijua mzee ukubwa au udogo sio ishu hatuwez kuwa sawa kila kitu lakin jua kwa upande wa sanaa ya burudan ilipoanza niliishudia mwanzon hakuna kitu utanidanganya boka na sumbi walikaa mda mfupi lakin kaz zao za sanaa zilikua kubwa kuliko dada gNikucorrect Kidogo TVZ imeanza mwaka 1971..
Nakumbuka Mwaka 86 ndo mzee amenunua TV nyumbani bado tukiwa zenji na ilikuwa unatumia TV za Tunning kama Radio na Zilikuwa Rangi ya Black and white..
Ya Pili ilikuwa Ni ITV mwaka 1994, Na Baadae DTV mwaka 1995 kama sikosei sana mwishoni mwa 95..
Hiyo TVT unayotaja Imeanza mwaka 1999 Tena kipindi cha Msiba wa Mwalimu Nyerere..
Na TVT imekuwa Sana Kufahamika zaidi kwakwa upande wa ajilimya Kurusha matangazo ya Mwalimu..
Na Zaidi baada ya Lile igizo la Jumba La Dhahabu l kina Tuesday Kihangala..
Hapo kwenye Hoja zako ndo umeprove kweli Wewe Ni mdogo
DaahUache kula mchele mbichi
NAmfaham kama msanii wa kawaida hajafika level ya king majuto kanumba ray johar gabo na mainda mai dota na nk levo yake ni kina love wa jua kali nyama yao coletha na nk
Hapana sio kweli labda kama alilia anapewa character ndogp ndogp level ya mhogo mchungu bi mwenda hakufika uko ila alikuepo kuepo kwenye usanii kama average artis
Sijawadharau nimewaheshim kama alama ya tansia kina bishanga bichau pwagu na pwaguz rich na nk ndio wasanii wakubwa na wakongwe tumeiziona kaz zao ila kwa huyu milage aliyopewa na kaz aliyofanya haziendani
Una uhakika Shigongo "hamjui"? Baba wa watoto wake wawili sijamwona.
Nimezaliwa na kuish kabla ya tv hazijaanza tv ya kwanza ilikua tvt na tvz
Nikucorrect Kidogo TVZ imeanza mwaka 1971..
Nakumbuka Mwaka 86 ndo mzee amenunua TV nyumbani bado tukiwa zenji na ilikuwa unatumia TV za Tunning kama Radio na Zilikuwa Rangi ya Black and white..
Ya Pili ilikuwa Ni ITV mwaka 1994, Na Baadae DTV mwaka 1995 kama sikosei sana mwishoni mwa 95..
Hiyo TVT unayotaja Imeanza mwaka 1999 Tena kipindi cha Msiba wa Mwalimu Nyerere..
Na TVT imekuwa Sana Kufahamika zaidi kwa ajilimya Kurusha matangazo ya Mwalimu..
Na Zaidi baada ya Lile igizo la Jumba La Dhahabu l kina Tuesday Kihangala..
Hapo kwenye Hoja zako ndo umeprove kweli Wewe Ni mdogo