Marehemu Grace Mapunda ni nani? Mbona Msiba wake umekuwa mkubwa sana

Marehemu Grace Mapunda ni nani? Mbona Msiba wake umekuwa mkubwa sana

Bhasi hufuatilii tu mkuu na yeye hakutokea kaole au kikundi kingine kikubwa katika ile golden era ya tamthilia. Yeye alianza ITV kipindi tamthilia zinaishia lakini kutokana na kipaji aliweza kupata roles nyingi sana toka enzi za films za ray na kanumba. Kwa hiyo kwa harakaharaka ana miaka zaidi ya 15 pasipo kutoka katika macho ya watu

Yeah kipindi cha mwanzo aliitwa mama kawele Ila baadae hakuwa na jina la kisanaa kubwa Ila watu wanahuzunika kwa sababu wanamjua ikiwemo mimi
Sawa katika majina haya lipi ni jina dogo kwa umaarufu
Kanumba
Jot
Mpoki
Mzee majuto

Mhogo mchungu
Grace mapunda
 
Sawa katika majina haya lipi ni jina dogo kwa umaarufu
Kanumba
Jot
Mpoki
Mzee majuto

Mhogo mchungu
Grace mapunda
Kanumba usimweke group moja na msanii yeyote wa bongo movie sababu yule ndio alikuwa kiongozi wao kuanzia influence mpaka bidii ya kazi na hata fame kwa ujumla
 
Sasa unanibishia nin ninapokuambia hana ukubwa aliopewa
Sijakubishia.. Ilikuwa ni conversation tu na kusema mtu mmoja ni mkubwa kuliko mwingine haimaanishi huyo mwingine si mkubwa pia katika namna yake kwa hiyo kuweka prominent names pasipo kuangalia point niliyoitoa ni sawa na kutafuta angle ya kutetea unachokisema.

Hata hivyo, Good morning mkuu
 
NAmfaham kama msanii wa kawaida hajafika level ya king majuto kanumba ray johar gabo na mainda mai dota na nk levo yake ni kina love wa jua kali nyama yao coletha na nk
Asee ukapimwe mkojo humjui vizur tessa wew
 
Naungana na mtoa mada hata mimi imenichukua muda kukumbuka nimemuona wapi,sanasana nilichanganya na Wasanii wa injili,,ni tofauti kabisa na namna msiba wake ulivyobebwa.Hawa wanaojaribu kutetea mnaleta utapeli tu.Mimi leo nitamkumbuka kea urahisi Nina,Sita,Nora,Johari,Mainda n.k. Hivyo swali la mota mada lina mashiko msilete blah blah.
 
Sote tunafaham ni Muigizaji (Msanii) lakini sio big fish kama Kanumba katika sanaa ya maigizo. Samata katika sanaa ya mpira. Diamond katika sanaa ya mziki. Mbowe katika siasa

Msanii Grace Mapunda ni msanii mkongwe asiejulikana yaani kitaalam tunaita famous unkown lakin msiba wake umekuwa mkubwa kama wa msanii mkubwa Tanzania.

Pia, soma: TANZIA - Muigizaji Grace Mapunda (Tessa) amefariki dunia

Mara ya kwanza naiona picha yake nikajiuliza nani huyu baada ya kuvuta picha ikaja picha yake.

Je, naye alikua anavaa suti nyeusi kwa siri kama mtangazaji wa Wasafi Mau Kikanga.

Maana wamekufa wasanii wengi lakini hakuna aliepewa nguvu kubwa na masikitiko mengi kama huyu

Pia soma: Chalamila ahimiza mfuko wa kwa ajili ya wasanii wa maigizo, Ofisi yake kutoa milioni 15
Mbali na sababu zozote ziwavyo, kwa ukubwa huo ulio uona ndio ukubwa wake na ni mtu wa watu, tuishie hapo
 
Alikuwa mpenzi wangu mara nyingi alikuja hata kwangu na watu weng hil hamlifaham,, et na hawa watoto ntawasomesha mm,, KWELI SHIGONGO WE DARASA LA 7
 
Back
Top Bottom