Sawa katika majina haya lipi ni jina dogo kwa umaarufuBhasi hufuatilii tu mkuu na yeye hakutokea kaole au kikundi kingine kikubwa katika ile golden era ya tamthilia. Yeye alianza ITV kipindi tamthilia zinaishia lakini kutokana na kipaji aliweza kupata roles nyingi sana toka enzi za films za ray na kanumba. Kwa hiyo kwa harakaharaka ana miaka zaidi ya 15 pasipo kutoka katika macho ya watu
Yeah kipindi cha mwanzo aliitwa mama kawele Ila baadae hakuwa na jina la kisanaa kubwa Ila watu wanahuzunika kwa sababu wanamjua ikiwemo mimi
Kanumba usimweke group moja na msanii yeyote wa bongo movie sababu yule ndio alikuwa kiongozi wao kuanzia influence mpaka bidii ya kazi na hata fame kwa ujumlaSawa katika majina haya lipi ni jina dogo kwa umaarufu
Kanumba
Jot
Mpoki
Mzee majuto
Mhogo mchungu
Grace mapunda
Grace mapundaSawa katika majina haya lipi ni jina dogo kwa umaarufu
Kanumba
Jot
Mpoki
Mzee majuto
Mhogo mchungu
Grace mapunda
Sijakubishia.. Ilikuwa ni conversation tu na kusema mtu mmoja ni mkubwa kuliko mwingine haimaanishi huyo mwingine si mkubwa pia katika namna yake kwa hiyo kuweka prominent names pasipo kuangalia point niliyoitoa ni sawa na kutafuta angle ya kutetea unachokisema.Sasa unanibishia nin ninapokuambia hana ukubwa aliopewa
Asee ukapimwe mkojo humjui vizur tessa wewNAmfaham kama msanii wa kawaida hajafika level ya king majuto kanumba ray johar gabo na mainda mai dota na nk levo yake ni kina love wa jua kali nyama yao coletha na nk
πππkila siku nasema humu kuwa 70% waliopo humu ndani ni watoto wetu mfano huyo dogoDaaah kipindi 2000 ulikua mtoto mkuu...
Kumbe we wa 2000
Usije jaribu...Daah
ππππ Alafu unakuta tunabishana nae et nae anajiita kataa ndoa..πππkila siku nasema humu kuwa 70% waliopo humu ndani ni watoto wetu mfano huyo dogo
Katahiriwa 2005 huogopi alikuwa anamiaka 2 chezea weweDaaah kipindi 2000 ulikua mtoto mkuu...
Kumbe we wa 2000
Mbali na sababu zozote ziwavyo, kwa ukubwa huo ulio uona ndio ukubwa wake na ni mtu wa watu, tuishie hapoSote tunafaham ni Muigizaji (Msanii) lakini sio big fish kama Kanumba katika sanaa ya maigizo. Samata katika sanaa ya mpira. Diamond katika sanaa ya mziki. Mbowe katika siasa
Msanii Grace Mapunda ni msanii mkongwe asiejulikana yaani kitaalam tunaita famous unkown lakin msiba wake umekuwa mkubwa kama wa msanii mkubwa Tanzania.
Pia, soma: TANZIA - Muigizaji Grace Mapunda (Tessa) amefariki dunia
Mara ya kwanza naiona picha yake nikajiuliza nani huyu baada ya kuvuta picha ikaja picha yake.
Je, naye alikua anavaa suti nyeusi kwa siri kama mtangazaji wa Wasafi Mau Kikanga.
Maana wamekufa wasanii wengi lakini hakuna aliepewa nguvu kubwa na masikitiko mengi kama huyu
Pia soma: Chalamila ahimiza mfuko wa kwa ajili ya wasanii wa maigizo, Ofisi yake kutoa milioni 15
ππππππ Sweet nikuambie tuu utakuja kupigwa...Katahiriwa 2005 huogopi alikuwa anamiaka 2 chezea wewe
Siukweli 2005 ndio alitahiriwaππππππ Sweet nikuambie tuu utakuja kupigwa...
Mi sitokutetea ujue
Alafu sikujua kwamba ni mkrofi hivi aiseee πππππππSiukweli 2005 ndio alitahiriwa
Muache utapigwa wewe π π πLucha kumbe wewe ni younk dah umezaliwa 2003 na ukatahiriwa na tano na husemi
Nafimbo ya jeje au aje niko sakina naogopaje sasa mie mmasaiMuache utapigwa wewe π π π
πππ Si hatuchekeshi ujueNafimbo ya jeje au aje niko sakina naogopaje sasa mie mmasai