Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 606
Kuna wengine huwa wanatoka damu kwenye pua na masikio wakati ishapita siku moja tangu afariki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stori za kuchukuliwa msukule zipo siku nyingi,ila sijawahi kuona waliorudishwa,ina maana wagaga woooote hakuna anayeweza kurudisha msukule wanawezaje kutengeza msukule alafu washindwe kuludisha mtu aliyechukuliwa msukule? Majeshi hebu tusaidie ufafanuzi kwenye hili
Mkuu hii mada uliyoleta ni very interesting!
Swali la kwanza la kujiuliza je kifo ni nini?
Bado hakuna definition iliyonyooka na kuridhisha kwa makundi yote ya kijamii.
Kifo ni nini basi....
Ni kuondokewa kwa uhai wa kile kilichokuwa kinaishi.
Kisayansi kifo sio tukio la ghafla bali ni safari ya kuondokewa kwa uhai.seli na tishu mbalimbali za mwili hupoteza uwezo wake wa kufanya kazi au kuishi katika spidi mbalimbali.
Hapa kuna utata unaotokea kuhusu ni wakati gani hasa kifo hutokea?
Na kupelekea kuwe na aina mbili za kifo
1-Kifo cha selihai(cellular level)
Hapa seli na tishu zinapoteza uwezo wa kufanya kazi ama kuishi na hivyo kushindwa kutumia oksijeni na hatimaye zinaanza kujivunjavunja na kuoza.ikiwa jambo hili litahusisha seli za mwili mzima basi hiki ni kifo.
selihai hufanya kazi tofauti na spidi ya kufa huwa tofauti labda kwenye tukio ambalo litaharibu seli zote kwa wakati mmoja kwa mfano mlipuko wa nyuklia.
selihai za ngozi au mifupa huweza kuishi masaa mengi kulinganisha na selihai za ubongo zinazochukua madakika tu baada ya mtu kuonekana "amekufa"
2-Kifo cha kimwili(somatic death)
Hapa mwili unapoteza uweza wa kuwasiliana na mazingira na pia unakuwa haujitambui na kupoteza sifa za uhai.
Hivyo kwa ufupi kumjibu mleta mada ni kuwa ni kweli inawezekana kuwa ndugu yako alikuwa yuko kwenye process ya kifo na hivyo kumuona akiendelea kutoka jasho(sisemi mlimzika akiwa hai)
Cha msingi ninachokiona ni kwamba daktari,ndugu,jamaa na marafiki wakikubali kuwa mtu huyu amefariki basi hakuna wa kupinga.
Nadhani nitakuwa nimekufungua kidogo kuhusu possibility ya kuona jasho au hata movement kwa mtu aliyehesabika 'amekufa'
Kwa hisani ya vitabu mbalimbali.
Mkuu hii mada uliyoleta ni very interesting!
Swali la kwanza la kujiuliza je kifo ni nini?
Bado hakuna definition iliyonyooka na kuridhisha kwa makundi yote ya kijamii.
Kifo ni nini basi....
Ni kuondokewa kwa uhai wa kile kilichokuwa kinaishi.
Kisayansi kifo sio tukio la ghafla bali ni safari ya kuondokewa kwa uhai.seli na tishu mbalimbali za mwili hupoteza uwezo wake wa kufanya kazi au kuishi katika spidi mbalimbali.
Hapa kuna utata unaotokea kuhusu ni wakati gani hasa kifo hutokea?
Na kupelekea kuwe na aina mbili za kifo
1-Kifo cha selihai(cellular level)
Hapa seli na tishu zinapoteza uwezo wa kufanya kazi ama kuishi na hivyo kushindwa kutumia oksijeni na hatimaye zinaanza kujivunjavunja na kuoza.ikiwa jambo hili litahusisha seli za mwili mzima basi hiki ni kifo.
selihai hufanya kazi tofauti na spidi ya kufa huwa tofauti labda kwenye tukio ambalo litaharibu seli zote kwa wakati mmoja kwa mfano mlipuko wa nyuklia.
selihai za ngozi au mifupa huweza kuishi masaa mengi kulinganisha na selihai za ubongo zinazochukua madakika tu baada ya mtu kuonekana "amekufa"
2-Kifo cha kimwili(somatic death)
Hapa mwili unapoteza uweza wa kuwasiliana na mazingira na pia unakuwa haujitambui na kupoteza sifa za uhai.
Hivyo kwa ufupi kumjibu mleta mada ni kuwa ni kweli inawezekana kuwa ndugu yako alikuwa yuko kwenye process ya kifo na hivyo kumuona akiendelea kutoka jasho(sisemi mlimzika akiwa hai)
Cha msingi ninachokiona ni kwamba daktari,ndugu,jamaa na marafiki wakikubali kuwa mtu huyu amefariki basi hakuna wa kupinga.
Nadhani nitakuwa nimekufungua kidogo kuhusu possibility ya kuona jasho au hata movement kwa mtu aliyehesabika 'amekufa'
Kwa hisani ya vitabu mbalimbali.
Stori za kuchukuliwa msukule zipo siku nyingi,ila sijawahi kuona waliorudishwa,ina maana wagaga woooote hakuna anayeweza kurudisha msukule wanawezaje kutengeza msukule alafu washindwe kuludisha mtu aliyechukuliwa msukule? Majeshi hebu tusaidie ufafanuzi kwenye hili
Jasho kabisa??!!!
Mie niki rip ntavuja jasho aisee. Nnavyoogopa kuzikwa! Mnizike na taa na ac
Andika wosia, ukizikwa uwekew umeme kaburin kwako na back up ya power.....
Hivi unamjua paw ama unamsikia? Atanisapraizi ngoja nisimfundishe. Hakawii teja mmoja kuhamia kuishi n mie kaburini
Ndugu yangu alifariki baada ya kusumbuliwa na malaria na shinikizo la damu kwa muda mfupi. Daktari alithibitisha kuwa amefariki dunia na akaandika death certificate. Lakini cha kushangaza, wakati wa kuagwa na ndugu na marafiki nyumbani kwake,
Marehemu alikuwa anatokwa jasho usoni. Hii maana yake nini wajuzi ?
Ndugu yangu alifariki baada ya kusumbuliwa na malaria na shinikizo la damu kwa muda mfupi. Daktari alithibitisha kuwa amefariki dunia na akaandika death certificate. Lakini cha kushangaza, wakati wa kuagwa na ndugu na marafiki nyumbani kwake,
Marehemu alikuwa anatokwa jasho usoni. Hii maana yake nini wajuzi ?
Amechukuliwa msukule ukowap nikusaidie namna ya kufanya
Ndugu, yaani kila nikiona comment zako, wewe ni;
Interesting........,
Anzisha uzi kisha uwe na maudhui ya neno moja tu, 'interesting' watu watiririke na mawazo! Just kiddin!!
Lol!