Marehemu kutokwa na jasho !

Marehemu kutokwa na jasho !

Kuna wengine huwa wanatoka damu kwenye pua na masikio wakati ishapita siku moja tangu afariki.
 
Stori za kuchukuliwa msukule zipo siku nyingi,ila sijawahi kuona waliorudishwa,ina maana wagaga woooote hakuna anayeweza kurudisha msukule wanawezaje kutengeza msukule alafu washindwe kuludisha mtu aliyechukuliwa msukule? Majeshi hebu tusaidie ufafanuzi kwenye hili
 
Nijuavyo Mwanaume akifa then akawa stimulated uume wake unasimama.... sasa sijui kutoka jasho
 
Stori za kuchukuliwa msukule zipo siku nyingi,ila sijawahi kuona waliorudishwa,ina maana wagaga woooote hakuna anayeweza kurudisha msukule wanawezaje kutengeza msukule alafu washindwe kuludisha mtu aliyechukuliwa msukule? Majeshi hebu tusaidie ufafanuzi kwenye hili

nakusaidia kumuita majeshi tafadhali!
 
Last edited by a moderator:
Sababu kubwa ya kuonekana kutoa Jasho ni kwa sababu aliwekwa kwenye Jokofu na baadae kwenye Jeneza ambamo kuna Joto. Yale maji yaliyoganda kwenye mwili yananza kuyayuka na ndio maana unaona ni Jasho.
 
Mkuu hii mada uliyoleta ni very interesting!

Swali la kwanza la kujiuliza je kifo ni nini?

Bado hakuna definition iliyonyooka na kuridhisha kwa makundi yote ya kijamii.


Kifo ni nini basi....
Ni kuondokewa kwa uhai wa kile kilichokuwa kinaishi.

Kisayansi kifo sio tukio la ghafla bali ni safari ya kuondokewa kwa uhai.seli na tishu mbalimbali za mwili hupoteza uwezo wake wa kufanya kazi au kuishi katika spidi mbalimbali.

Hapa kuna utata unaotokea kuhusu ni wakati gani hasa kifo hutokea?

Na kupelekea kuwe na aina mbili za kifo

1-Kifo cha selihai(cellular level)
Hapa seli na tishu zinapoteza uwezo wa kufanya kazi ama kuishi na hivyo kushindwa kutumia oksijeni na hatimaye zinaanza kujivunjavunja na kuoza.ikiwa jambo hili litahusisha seli za mwili mzima basi hiki ni kifo.

selihai hufanya kazi tofauti na spidi ya kufa huwa tofauti labda kwenye tukio ambalo litaharibu seli zote kwa wakati mmoja kwa mfano mlipuko wa nyuklia.

selihai za ngozi au mifupa huweza kuishi masaa mengi kulinganisha na selihai za ubongo zinazochukua madakika tu baada ya mtu kuonekana "amekufa"


2-Kifo cha kimwili(somatic death)
Hapa mwili unapoteza uweza wa kuwasiliana na mazingira na pia unakuwa haujitambui na kupoteza sifa za uhai.


Hivyo kwa ufupi kumjibu mleta mada ni kuwa ni kweli inawezekana kuwa ndugu yako alikuwa yuko kwenye process ya kifo na hivyo kumuona akiendelea kutoka jasho(sisemi mlimzika akiwa hai)

Cha msingi ninachokiona ni kwamba daktari,ndugu,jamaa na marafiki wakikubali kuwa mtu huyu amefariki basi hakuna wa kupinga.

Nadhani nitakuwa nimekufungua kidogo kuhusu possibility ya kuona jasho au hata movement kwa mtu aliyehesabika 'amekufa'

Kwa hisani ya vitabu mbalimbali.

uko sawa. Hata mimi nimwewahi shuhudia mtu kafa kathibitishwa lakini mpaka anaagwa bado mapafu yake yalikuwa yanafanya kazi .na mwili ulikuwa na joto kama mzima.ilibidi kurudi hosp na madocta wakasema huwa inatokea kwa baadhi ya watu.yaani kesha kufa ila body function imechelewa kumalizika.
 
Mkuu hii mada uliyoleta ni very interesting!

Swali la kwanza la kujiuliza je kifo ni nini?

Bado hakuna definition iliyonyooka na kuridhisha kwa makundi yote ya kijamii.


Kifo ni nini basi....
Ni kuondokewa kwa uhai wa kile kilichokuwa kinaishi.

Kisayansi kifo sio tukio la ghafla bali ni safari ya kuondokewa kwa uhai.seli na tishu mbalimbali za mwili hupoteza uwezo wake wa kufanya kazi au kuishi katika spidi mbalimbali.

Hapa kuna utata unaotokea kuhusu ni wakati gani hasa kifo hutokea?

Na kupelekea kuwe na aina mbili za kifo

1-Kifo cha selihai(cellular level)
Hapa seli na tishu zinapoteza uwezo wa kufanya kazi ama kuishi na hivyo kushindwa kutumia oksijeni na hatimaye zinaanza kujivunjavunja na kuoza.ikiwa jambo hili litahusisha seli za mwili mzima basi hiki ni kifo.

selihai hufanya kazi tofauti na spidi ya kufa huwa tofauti labda kwenye tukio ambalo litaharibu seli zote kwa wakati mmoja kwa mfano mlipuko wa nyuklia.

selihai za ngozi au mifupa huweza kuishi masaa mengi kulinganisha na selihai za ubongo zinazochukua madakika tu baada ya mtu kuonekana "amekufa"


2-Kifo cha kimwili(somatic death)
Hapa mwili unapoteza uweza wa kuwasiliana na mazingira na pia unakuwa haujitambui na kupoteza sifa za uhai.


Hivyo kwa ufupi kumjibu mleta mada ni kuwa ni kweli inawezekana kuwa ndugu yako alikuwa yuko kwenye process ya kifo na hivyo kumuona akiendelea kutoka jasho(sisemi mlimzika akiwa hai)

Cha msingi ninachokiona ni kwamba daktari,ndugu,jamaa na marafiki wakikubali kuwa mtu huyu amefariki basi hakuna wa kupinga.

Nadhani nitakuwa nimekufungua kidogo kuhusu possibility ya kuona jasho au hata movement kwa mtu aliyehesabika 'amekufa'

Kwa hisani ya vitabu mbalimbali.

Nakumbuka marehemu babu yangu alivyofariki alikuwa amenyolewa mustachi siku moja kabla. Siku ya kuaga mustachi ulikuwa umeanza kuota(ule weusi juu ya mdomo ulikolea). Na siku ya kuzika(siku 2 mbili maana tulisafirisha) wakati wa kuaga tena kijijini nilishuhudia kabisa mustachi ukiwa umeongezeka zaidi.

Hapo nilifanya jitihada kuuliza na nikafahamishwa hayo uliyoyaelezea
 
Stori za kuchukuliwa msukule zipo siku nyingi,ila sijawahi kuona waliorudishwa,ina maana wagaga woooote hakuna anayeweza kurudisha msukule wanawezaje kutengeza msukule alafu washindwe kuludisha mtu aliyechukuliwa msukule? Majeshi hebu tusaidie ufafanuzi kwenye hili

ukirudi form1 kusoma chemistry utakutana na vitu kama physical change and chemical change
kuna baadhi ya vitu ukivibadili state moja kwenda nyingine hauwezi kuvirudisha na ndio maana wapiga ramri wanapwaya kwenye hii kitu kwani tayari wanakuwa wamekutana na chemical change
.jus jockin.

.made in mby city.
 
Hivi unamjua paw ama unamsikia? Atanisapraizi ngoja nisimfundishe. Hakawii teja mmoja kuhamia kuishi n mie kaburini
Andika wosia, ukizikwa uwekew umeme kaburin kwako na back up ya power.....
 
Kama aliwekwa kwenye Friji la mochwari basi jibu ni hili: chukua soda au maji ya barid yaliondani ya friji,yaweke sehemu yoyote kwa muda(nje ya friji). Utaona maji nayo yanatoa jasho!
Ndugu yangu alifariki baada ya kusumbuliwa na malaria na shinikizo la damu kwa muda mfupi. Daktari alithibitisha kuwa amefariki dunia na akaandika death certificate. Lakini cha kushangaza, wakati wa kuagwa na ndugu na marafiki nyumbani kwake,

Marehemu alikuwa anatokwa jasho usoni. Hii maana yake nini wajuzi ?
 
Ndugu yangu alifariki baada ya kusumbuliwa na malaria na shinikizo la damu kwa muda mfupi. Daktari alithibitisha kuwa amefariki dunia na akaandika death certificate. Lakini cha kushangaza, wakati wa kuagwa na ndugu na marafiki nyumbani kwake,

Marehemu alikuwa anatokwa jasho usoni. Hii maana yake nini wajuzi ?

tz madaktari huthibitisha vifo bila hata kutumia vipimo. mtu anaweza asiwe anatoikisika lakini moyo wake unataka kushtuliwa kidogo tu....si ajabu alipothibitishwa kuwa amekufa alikuwa bado hajafa.
 
Ndugu, yaani kila nikiona comment zako, wewe ni;
Interesting........,
Anzisha uzi kisha uwe na maudhui ya neno moja tu, 'interesting' watu watiririke na mawazo! Just kiddin!!
Lol!

Mkuu; nafuu ata huyu kuliko akina nanihii wanaokuja kuchora vitu vya ovyo humu au "vapour"
 
Back
Top Bottom