Marejeo ya Historia: Mahatma Ghandi, Abraham Lincoln, Nelson Mandela na Mama Tereza waenziwe kwa utume kama Muhammad?

Marejeo ya Historia: Mahatma Ghandi, Abraham Lincoln, Nelson Mandela na Mama Tereza waenziwe kwa utume kama Muhammad?

Hivi unaelewa unachokieleza? Hii ndio tabu ya kutokuweni watafiti. Hata kama majibu haya ulipewa ingefaa basi nawe utafiti maana ya Namba 19. Namba 19 ni nini na inamaanisha nini kati ya namba zote ambazo ni indefinite? Hebu tueleze:

1. Namba 19 ndiye Mungu au nini hasa hata uwehuke kiasi hicho kwa kuona tu hesabu zako zinaleta hiyo namba?

2. Namba 19 ndio Dunia? Namba 19 ni hewa ya oxygen?

3. Namba 19 ni Ardhi?

4. Niambie namba 19 ni Moyo,mapafu,figo au miguu na mikono ya mwanadamu?
Duh! umeshindwa kuona hata hilo???? hakuna haja ya kuandika kitu....................
 
NYUMBA INA MADIRISHA YA VIOO HALAFU UNALETEA VURUGU VIBAKA!!! ITAKULA KWAKO.
HAKUNA HAJA KA KUKASHIFU DINI AU MTUME WA MWENZIO............
 
ndilo lengo lako.. kashfa....
@mod futa hii

1.Kuna hoja 20 zinazodai majibu ya uhakika na sio kashifa.

2. Kama kuna kashifa Wa kwanza kujikashifu Muhammad mwenyewe. Huwezi kuanzisha dini ambayo watu wanapohoji hawapati majibu yasiyoacha shaka. Mungu anajua mambo ya nyakati zote. Haiwezekani Kazi ya Muhammad kama ina mkoono wa Mungu ikakosa kufahamu kwamba vijazi vya baada yake vingalihitaji majibu yasiyo kuwa na kujichanganya au kuokoteza.

3. Muhammad alijikashifu yeye mwenyewe kwa kuvamia mambo yanayohitaji akili kubwa wakati yeye aliwategemea watu wengine wamuandikie Kurani.

4. Lawama zitokanazo na hoja zangu abebeshwe Muhammad mwenyewe na sio wale tunaodai majibu.
 
1.Kuna hoja 20 zinazodai majibu ya uhakika na sio kashifa.

2. Kama kuna kashifa Wa kwanza kujikashifu Muhammad mwenyewe. Huwezi kuanzisha dini ambayo watu wanapohiji hawapati majibu yasiyoacha shaka. Mungu anajua mambo ya nyakati zote. Haiwezekani Kazi ya Muhammad kama ina mkoono wa Mungu ikakosa kufahamu kwamba vijazi vya baada yake vingalihitaji majibu yasiyo na kujichanganya au kuokoteza.

3. Muhammad alijikashifu yeye mwenyewe kwa kuvamia mambo yanayohitaji akili kubwa wakati yeye aliwategemea watu wengine wamuandikie Kurani.

4. Lawama azibebe zitokanazo na hoja zangu abebeshwe Muhammad mwenyewe na sio wale tunaodai majibu.
😵
 
Verification code ya Mungu? Ndio code ambayo Muhammad aliitumia kuthibitisha kwamba Mungu alimtuma Malaika Gabrieli kwake au Verification code ya nini hasa?

Ndugu Quran ni muujiza wa karne. Tofauti na mitume wengine walitumia muujiza ile sawa na wakati wao. Mfano wakati wa mabii MUSA na Yesu waliamini ktk uchawi. Mtume wetu Muhammad hakuletwa ktk karne ya walioamini ktk uchawi, laa kaletwa ktk karne ya sayansi na teknolijia. Ambapo number ndizo zinazoleta fact.

Verification code ni numba maalumu ktk hesabu. Na hesabu ndio lugha peka yake ambayo inaweza kutuwezesha dunia nzima tukawasiliana bila kujalisha utaifa wetu, ukabila wetu wala lugha tunazozungumza kwa sababu hesabu ndio ukweli unaothibutishika (provable facts)


SABABU ZA KUELEZEA HESABU NDANI YA QURAAN

1: Tunaeleza hesabu ndani ya quraan kwa kuthibitisha hifadhi ya quraan kwa maana kama ndani ya quraan hakuna kilichoongezeka wala kilichopungua hivyo kwa kutumia hesabu tunaweza kulithibitisha hili.
Hii inatufahamisha kwamba quraan yoote ni kama sentensi moja iliyobeba ujumbe mmoja kimaana na kimaandishi

Katika hili tunaweza kupata (balance perfection of words) uwiano uliotimia wa maneno yoote katika quraan

Hii ina maana kwamba kila kitu kiko mahali pake na hakuna kinachostahili kuongezwa wala kupunguzwa na kama itatokea kutaongezwa ama kupunguzwa chochote huu uwiano uliotimia wa kimahesabu katika quraan woote utaparaganyika.

Hii ina maana kama ile quraan iliyoshuka wakati wa mtume (sallah llahu alayhi wassalam) ndio quraan ambayo tuko nayo sisi leo hii.

Hivyo kwa wale ambao wataifuata quraan kikamilifu leo hii hawatakuwa na tafauti na wale waliokuwepo wakati wa mtume wetu (sallah llahu alayhi wassalam) sote tunapokea ujumbe mmoja kutoka kwa Allah.

2: verification code ndani ya quraan ni (intelectualy defence) ni hoja ya kiakili kwetu dhidi ya wapinzani wa quraan.

Leo tunashuhudia mashambulizi dhidi ya mtume wetu ( sallah llahu alayhi wassalam) uislam na quraan katika vyanzo mbali mbali vya habari, hivyo hesabu ndani ya quraan ni hoja nzito kwetu kwa wale wapinzani wa Uislam.

Uwiano wa kimahesabu katika quraan ni mwingi sana ni wa kushangaza na pia uko juu sana ya akili za kibinaadamu( muujiza).

Miaka 1400 iliyopita katika jangwa la arabuni ambapo hakukuwa na teknolojia yoyote ile hakuna ambae angeweze kutengeneza uwiano wa kimahesabu kama uliopo kwenye quraan.

Kama bado huiamini kwa ushahidi wa kisayansi Quran inakichallenge ktk
surah ya Baqarah 2:23
And if you are in doubt about what We have sent down upon Our Servant [Muhammad], then produce a surah the like thereof and call upon your witnesses other than Allah, if you should be truthful.

Ni ajabu mtu an a challenge kwa Nia ya ubishi ilhali hiyo Quran inamchallnge athibitishe hoja za kama kweli binadamu wa kawaida unaweza kuiandika basi tuandikie wewe aya moja. Sisi tutaitest kisayansi zaidi. Ukishinda hilo basi verify kama ukweli bibi lia ni kitabu toka kwa Mungu.

Karibu tena kama utahitaji ufahamu zaidi.
 
Hivi historia ya mtume Muhammad umeisoma wapi ? Malaika hakumkaba Muhammad.

Na usiwe na akili ndogo na ujifunze kuweka kila kitu mahala pake.

Mtume hakukabwa bali aliminywa na kupewa kashi kashi na kuonyeshwa umuhimu na haja ya kujifunza. Kwa maana alipewa au alikuwa anaonyeshwa muendelezo wa maandalizi ya kupewa utume kwani utume si jambo lelemama.

Inaonekana kwanza tabia za malaika huzijui. Unasema malaika ana kasirika ? Na vipi umlinganishe malaika na sifa za kibinadamu ?


1. Kuminywa hadi Muhammad kujihofia kufa muda wowote sio kukabwa ni nini? Umesahau alichofika na kumueleza Khadija anavyojisikia?

2. Ina maana Mungu hana njia nyingine ya kumuelewesha binadamu pale anapokuwa na Kichwa kigumu hadi atumie nguvu?

3. Je,Mungu wakati anamtuma Malaika kwa Muhammad hakuwa anafahamu kwamba Muhammad ana Kichwa kigumu cha kuelewa hata asubirie kwenda kumdhalilisha hivyo MTU mzima na watoto na familia? Wewe unafikiria akina Kassimu walijisikiaje kumuona baba yao anarudi nyumbani amelowa majasho?
 
Ndugu Quran ni muujiza wa karne. Tofauti na mitume wengine walitumia muujiza ile sawa na wakati wao. Mfano wakati wa mabii MUSA na Yesu waliamini ktk uchawi. Mtume wetu Muhammad hakuletwa ktk karne ya walioamini ktk uchawi, laa kaletwa ktk karne ya sayansi na teknolijia. Ambapo number ndizo zinazoleta fact.

Verification code ni numba maalumu ktk hesabu. Na hesabu ndio lugha peka yake ambayo inaweza kutuwezesha dunia nzima tukawasiliana bila kujalisha utaifa wetu, ukabila wetu wala lugha tunazozungumza kwa sababu hesabu ndio ukweli unaothibutishika (provable facts)


SABABU ZA KUELEZEA HESABU NDANI YA QURAAN

1: Tunaeleza hesabu ndani ya quraan kwa kuthibitisha hifadhi ya quraan kwa maana kama ndani ya quraan hakuna kilichoongezeka wala kilichopungua hivyo kwa kutumia hesabu tunaweza kulithibitisha hili.
Hii inatufahamisha kwamba quraan yoote ni kama sentensi moja iliyobeba ujumbe mmoja kimaana na kimaandishi

Katika hili tunaweza kupata (balance perfection of words) uwiano uliotimia wa maneno yoote katika quraan

Hii ina maana kwamba kila kitu kiko mahali pake na hakuna kinachostahili kuongezwa wala kupunguzwa na kama itatokea kutaongezwa ama kupunguzwa chochote huu uwiano uliotimia wa kimahesabu katika quraan woote utaparaganyika.

Hii ina maana kama ile quraan iliyoshuka wakati wa mtume (sallah llahu alayhi wassalam) ndio quraan ambayo tuko nayo sisi leo hii.

Hivyo kwa wale ambao wataifuata quraan kikamilifu leo hii hawatakuwa na tafauti na wale waliokuwepo wakati wa mtume wetu (sallah llahu alayhi wassalam) sote tunapokea ujumbe mmoja kutoka kwa Allah.

2: verification code ndani ya quraan ni (intelectualy defence) ni hoja ya kiakili kwetu dhidi ya wapinzani wa quraan.

Leo tunashuhudia mashambulizi dhidi ya mtume wetu ( sallah llahu alayhi wassalam) uislam na quraan katika vyanzo mbali mbali vya habari, hivyo hesabu ndani ya quraan ni hoja nzito kwetu kwa wale wapinzani wa Uislam.

Uwiano wa kimahesabu katika quraan ni mwingi sana ni wa kushangaza na pia uko juu sana ya akili za kibinaadamu( muujiza).

Miaka 1400 iliyopita katika jangwa la arabuni ambapo hakukuwa na teknolojia yoyote ile hakuna ambae angeweze kutengeneza uwiano wa kimahesabu kama uliopo kwenye quraan.

Kama bado huiamini kwa ushahidi wa kisayansi Quran inakichallenge ktk
surah ya Baqarah 2:23
And if you are in doubt about what We have sent down upon Our Servant [Muhammad], then produce a surah the like thereof and call upon your witnesses other than Allah, if you should be truthful.

Ni ajabu mtu an a challenge kwa Nia ya ubishi ilhali hiyo Quran inamchallnge athibitishe hoja za kama kweli binadamu wa kawaida unaweza kuiandika basi tuandikie wewe aya moja. Sisi tutaitest kisayansi zaidi. Ukishinda hilo basi verify kama ukweli bibi lia ni kitabu toka kwa Mungu.

Karibu tena kama utahitaji ufahamu zaidi.

"Uwiano wa kimahesabu katika quraan ni mwingi sana ni wa kushangaza na pia uko juu sana ya akili za kibinaadamu( muujiza"

Kama uwiano Wa kihesabu katika Kurani ni mwingi sana na unazidi akili zenu ina maana ni mambo ambayo hayaelezeki. Sasa kama hayaelezeki wewe unajifunza nini na unafaidikaje?
 
Siwezi kughafirika kwa hoja mufilisi kama yako ya kuwaonea wivu waislamu na wao kumpachika utume Muhammad wakati na wewe dhehebu lako linafanya hivyohivyo

Yaani mnakaa kikao mnajadili huyu kwa jinsi alivyoishi anafaa kuwa mtakatifu ha ha binadamu mdhambi anampa utakatifu binadamu mwenzie halafu wenzako kumpa utume mtu wao wewe imekuuma kwelikweli

Wote mna makosa kwa kuingilia kazi inayopaswa kufanywa na Mungu pekee, ni Mungu peke yake anayechagua mitume kwa ajili ya kazi hiyo na pia ndiye anayewajua watakatifu wake waliopo duniani na mamlaka hayo hakuyakasimisha kwa kikundi cha wakatoliki


1. Nimekuonyesha yanakotoka mamlaka ya kutangaza watakatifu.

2. Watakatifu unaowasikia hawajitangazi wenyewe bali wanatangazwa. Je, Muhammad alitangazwa Mtume au alijitangaza mwenyewe?
 
nmba 14.[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
 
"Uwiano wa kimahesabu katika quraan ni mwingi sana ni wa kushangaza na pia uko juu sana ya akili za kibinaadamu( muujiza"

Kama uwiano Wa kihesabu katika Kurani ni mwingi sana na unazidi akili zenu ina maana ni mambo ambayo hayaelezeki. Sasa kama hayaelezeki wewe unajifunza nini na unafaidikaje?

Uwiano wa kimahesabu katika quraan ni mwingi sana ni wa kushangaza na pia uko juu sana ya akili za kibinaadamu kwa lugha rahisi ndio huitwa MUUJIZA. Na huo ndio muujiza wa Qur'an. Kama vile nabii Musa alivyotenda Yale mambo ambayo kwa wakati huo kwa akili ya yaliwashangaza kwa kugeuza fimbo kuwa nyoka ikaonekana ni MUUJIZA sawa na karne Yake waliyoamini uchawi, na kama nabii ISSA Yesu alivyonponya kipofu Mmoja ikaonekana ni muujiza sawa na karne walioamini ktk uchawi, ndio vivyo hivyo Nabii Muhammad kaleta muujiza wa kisayansi sawa na karne yetu.
 
Unadhani kwa nini Wayahudi kabila la Yesu hawamtambui wala kumkubali Yesu na matamshi yake
Josephus mwana historia wa Kiyahudi alyeandika yote yaliyo tokes Uyahudini karne ya kwanza kwanini hakuandika lolote kuhusu miujiza ya mtoto wa Fundi seremala wa miaka themanini na tano na mke wake wa miaka kumi na tatu?
Tuanzie hapo kwanza?
 
uzi wako mzuri sana umejitahidi kwa kiwango chako ila kuna machache nataka nikujuze kuhusu Mungu, Uislam na binadamu kama ifuatavyo;
1) M/Mungu ndio anaetoa utume na unabii sio binadamu, kwa hiyo hao kina Madiba na Mahatma hawawezi pewa utume na watu na tukaupa sifa ya utume.
2) utume na unabii unatokana na wahayi (kupewa ujumbe na Mungu kupitia malaika), kama unakaa na mkeo ukajipa utume huo ni wako sio wa M/Mungu.
3) M/Mungu hana mtoto wala hajazaa(biological)
4) tunaposema Masihi ni mwana wa Mungu tuna maana ni mtoto Mchamungu aliye mbali na matendo ya kishetani sio mtoto aliezaliwa na mungu. tukisema msikiti ji jumba la mungu tuna maana ni jengo la ibada takatifu ya Mungu na sio kwamba limejengwa na Mungu.
5) ulimwengu ulianzia kwa waarabu ila dunia ilianza pamoja hivyo machafu mengi yakifanywa na watu hao ndio maana mitume wengi walishushwa huko, kama leo hii mashoga tunawalaani na kumpongeza Makonda lakini tambua huko watu walibashiana mchana kweupe, enzi hizo kulikuwa na ubabe sana na madanguro kibao etc kwa hiyo ujio wa Mtume Muhammad ndio ulikuwa suluhisho. leo hii mwarabu na ukatili huu aliokuwa nao je kabla ya dini alikuwaje?
6)utatu mtakatifu ni wa kufoji tuu kama lilivyo jina lenyewe la ukristo. UKRISTO sio dini ni chama kama kilivyo vyama vingine.
7)umeorodhesha yaliyofanywa na Yesu kama vile kufufua ila yaliyofanywa na Mtume hujayaonesha huenda hujuwi au unajuwa ila ni kusudi.
8)Nyerere, Mandela na Gandh hawana sifa za kuitwa mitume kwa sababu utume hautolewi na binadamu kulingana na Imani ya Kiislamu ila kwa kuwa Ukristo unagawa tu utume basi wapeni.
Mkuu umenza vizuri mwisho umeboronga nadhani umekosa maana sahihi .Ukristo ni Jina au kielelezi Kama uislam .
 
Bwege tu huyo.
Tukianza kuwaweka watupu hapa, wataanza kupiga kelele.
WAtu gani wasioweza kutumia aliki zao katika kutafakari.
Watu wanaowasujudia watu wenzao, na kibaya zaidi ni watu mapunguani wanaosujudia masanamu.
Eti hili la Yesu, eti hili la Bikira Maria.

Watu wanaamini ya Paulo, badala ya kuamini ya kutoka kwa Yesu mwenyewe.

"Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma"
Yohana 17:3
Mbna ww unamin ya muhamadi kuliko ya mungu.
 
Bwege tu huyo.
Tukianza kuwaweka watupu hapa, wataanza kupiga kelele.
WAtu gani wasioweza kutumia aliki zao katika kutafakari.
Watu wanaowasujudia watu wenzao, na kibaya zaidi ni watu mapunguani wanaosujudia masanamu.
Eti hili la Yesu, eti hili la Bikira Maria.

Watu wanaamini ya Paulo, badala ya kuamini ya kutoka kwa Yesu mwenyewe.

"Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma"
Yohana 17:3
Mkuu unaweza kulaumu kwamba wakritu tuna vichwa vigumu kuelewa hata sis tunawaona ninyi hivyo. Mfano 'MALAIKA GABLIeli alivyo mkaba Muhammad kulazimisha asome .
 
Umepoteza muda mwingi kwa porojo porojo alafu unasema bila kupoteza muda.


Kweli upeo unatofautiana kati ya mtu na binadamu
 
Hivi historia ya mtume Muhammad umeisoma wapi ? Malaika hakumkaba Muhammad.

Na usiwe na akili ndogo na ujifunze kuweka kila kitu mahala pake.

Mtume hakukabwa bali aliminywa na kupewa kashi kashi na kuonyeshwa umuhimu na haja ya kujifunza. Kwa maana alipewa au alikuwa anaonyeshwa muendelezo wa maandalizi ya kupewa utume kwani utume si jambo lelemama.

Inaonekana kwanza tabia za malaika huzijui. Unasema malaika ana kasirika ? Na vipi umlinganishe malaika na sifa za kibinadamu ?
Mkuu unaonekana unajua mengi.Ujio wa mitume ulikuwa unatabiliwa je kwenye kurwan Kuna details zozote juu ya ujio muhamad.
 
Back
Top Bottom