Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 6,607
- 14,076
Huyo jamaa kaua kwa kukusudia. George alikuwa analalamika kabisa kuwa hawezi kupumua ndiyo kwanza jamaa anaongeza pressure! Raia wanamuambia utamuua jamaa hajali ndiyo kwanza anaongeza pressure! Hata baada ya George kukata moto jamaa hajaonyesha kushituka anaonekana yupo kawaida tu!
Halafu anashitakiwa kwa 3rd degree murder? Hii ndiyo Amerika. Mara nyingi raia wanalalamika polisi wanaua raia halafu hawachukuliwi hatua yoyote! Wana resign halafu mafao yao wanapata kama kawaida! Wengine wanahamishwa wanapelekwa jimbo jengine.
Polisi wa Amerika wametofautiana sehemu ndogo sana na wa-kibongo!
Halafu anashitakiwa kwa 3rd degree murder? Hii ndiyo Amerika. Mara nyingi raia wanalalamika polisi wanaua raia halafu hawachukuliwi hatua yoyote! Wana resign halafu mafao yao wanapata kama kawaida! Wengine wanahamishwa wanapelekwa jimbo jengine.
Polisi wa Amerika wametofautiana sehemu ndogo sana na wa-kibongo!