sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Ndicho nachokiona, Marekani anatumia misaada kidogo kidogo lengo ni Ukraine asishinde wala asipigwe, yani vita iwe neutral wawe wanatwangana na mrusi, Nipe nikupe, Marekani akiona Ukraine anazidiwa anamtumia silaha , akiona anakaribia kupata ahueni anazima data rais wa Ukraine anaanza kulalamika, Marekani anatuma misaada kidogo kidogo kwa maksudi kabisa, mpaka sasa imefikia dola bilioni 60 ambazo tunaweza kuzioma nyingi ila kwa marekani ambaye bajeti yake pekee ni dola bilioni elf 4 hii misaada ni KIDUCHU.
lengo kuu la mmarekani kutuma misaada kidogo kidogo ni kuirefusha vita iwe ndefu ili akusanye intelejensia , Mmarekani saizi yupo na daftari lake anamfanyia urusi utafiti anakusanya intelejensia kuhusu mabadiliko ya mbinu za kivita za kisasa anazotumia urusi, kumlazimisha urusi atumie teknolojia alizoficha ili azichunguze, kupima loyalty ya wanajeshi, kujua mbinu anazotumia urusi anapobanwa na vikwazo, reaction za Putin, n.k. kwa sasa kaenda mbali zaidi hata katika tafiti zake anawapa silaha Ukraine ila yeye ndie anaeminya rimoti ya kumtungua urusi huku wakifatilia kwa makini urusi huwa anajibu vipi mapigo.
Hii vita hadi iishe ni mpaka Marekan awe kachukua notes za kutosha kajaza counter books za quire 4 za intelejensia kumhusu Urusi. kiufupi Urusi anatumika, asahau kabisa kuhusu ushindi.
Pesa ikigoma kununua kitu tumia currency nyingine, wengine hutumia zawadi, wengine hutumia urafiki, wengine hutumia connection, n.k. Marekani inanunua utiifu kutoka Ukraine kwa njia ya kuilimbikizia madeni, vita ikiisha tutarajie Ukraine ikiwa moja ya ally mpya za Marekani katika kiwango cha juu cha utiifu.
Kuhusu Putin aliingia vitani kibabe sana na ni aibu kwake kuondoka hata akipigwa ataendelea hivyo hivyo na haitakiwa kitu cha ajabu kwa Putin kuanza kuwakamua wananchi wa nchi yake ili kuilipia vita na ndipo hapa warusi watachafukwa kutakuwa na maandamano kibao na majaribio ya kumpindua Putin, na muda huo ndipo Marekani nae ataongeza zaidi misaada kwa Ukraine, sasa sijui itakuwaje hapo, ukiweka nguvu ya kuzima maandamano na mapinduzi kule Ukraine anapeleka moto sio mchezo, ikiwekwa nguvu zaidi vitani basi humo nchini maandamano na majaribio ya mapinduzi yanashika kasi, Chagua moja
lengo kuu la mmarekani kutuma misaada kidogo kidogo ni kuirefusha vita iwe ndefu ili akusanye intelejensia , Mmarekani saizi yupo na daftari lake anamfanyia urusi utafiti anakusanya intelejensia kuhusu mabadiliko ya mbinu za kivita za kisasa anazotumia urusi, kumlazimisha urusi atumie teknolojia alizoficha ili azichunguze, kupima loyalty ya wanajeshi, kujua mbinu anazotumia urusi anapobanwa na vikwazo, reaction za Putin, n.k. kwa sasa kaenda mbali zaidi hata katika tafiti zake anawapa silaha Ukraine ila yeye ndie anaeminya rimoti ya kumtungua urusi huku wakifatilia kwa makini urusi huwa anajibu vipi mapigo.
Hii vita hadi iishe ni mpaka Marekan awe kachukua notes za kutosha kajaza counter books za quire 4 za intelejensia kumhusu Urusi. kiufupi Urusi anatumika, asahau kabisa kuhusu ushindi.
Pesa ikigoma kununua kitu tumia currency nyingine, wengine hutumia zawadi, wengine hutumia urafiki, wengine hutumia connection, n.k. Marekani inanunua utiifu kutoka Ukraine kwa njia ya kuilimbikizia madeni, vita ikiisha tutarajie Ukraine ikiwa moja ya ally mpya za Marekani katika kiwango cha juu cha utiifu.
Kuhusu Putin aliingia vitani kibabe sana na ni aibu kwake kuondoka hata akipigwa ataendelea hivyo hivyo na haitakiwa kitu cha ajabu kwa Putin kuanza kuwakamua wananchi wa nchi yake ili kuilipia vita na ndipo hapa warusi watachafukwa kutakuwa na maandamano kibao na majaribio ya kumpindua Putin, na muda huo ndipo Marekani nae ataongeza zaidi misaada kwa Ukraine, sasa sijui itakuwaje hapo, ukiweka nguvu ya kuzima maandamano na mapinduzi kule Ukraine anapeleka moto sio mchezo, ikiwekwa nguvu zaidi vitani basi humo nchini maandamano na majaribio ya mapinduzi yanashika kasi, Chagua moja