Marekani awaomba NATO kuungana dhidi ya China

Marekani awaomba NATO kuungana dhidi ya China

Trump kumbe alikuwa sahihi kuhusu sera zake kali dhidi ya China?..Sasa mbona hawahawa ma liberali walikuwa wanamnanga!!.Leo imekuaje tena..?
Mkuu hawakumpinga kuhusu china kuchukiliwa hatua ndomaana hata Biden kipindi cha kampeni alisema hawezi kulegeza kamba kwa china na alienda mbali kumuita Rais Xi muhuni. Wanachotofautiana ni namna ya uwekaji wa vikwazo kwa china ila sio vikwazo visiwepo. Na kama mfatiliaji mzuri hivyo vyama huwa wanatofautiana kidogo sana kwenye sera za nje.
 
China tuko byzy na kuvumbua HUAWEI P50, hatuna habari na kelele za Marekani.

20210325_162600.jpg
 
Vita ya kiuchumi. Marekani ni mbabe kwa nn asipambane na ty mwenyewe mpk aombe msaada??? Au hamuwezi mchina?
 
Hii habari ina tija gani kwa Taifa?
Msuguano wowote kati ya washirika wa NATO na China unaathiri sana uchumi wa dunia kama sasa hivi washawekeana vikwazo kwa viongozi wa baadhi ya makampuni na hasa Huawei tutegemee bidhaa zao kuwa adimu au kupanda bei huko sokoni kwa matoleo mapya...
 
Mtu unajiita Jingalao unategemea ujue umuhimu wa hii habari hasa kwenye uchumi wa dunia!

Ni bora uishie kwenye uzi wa kula tunda kimasihara kuliko kutapakaza samadi yako kila sehemu.
Haaaahaaaa
Hii karne ya 21 tunashuhudia mengi but umetumia nyuklia badara ya grunade mkuu
 
Wabongo kweli noma kuna uzi niliona eti Huawei awana tena uwezo wa kitengeneza simu.wameanzisha biashara nyingine.kumbe jamaa wanapiga kazi kama kawa
Hii ndio bongo

Huawei ni kampuni kubwa inayo deal na uundaji wa vitu mbali mbali so walianzisha project ya kuuza chakula cha nguruwe ndio wabongo wakazusha kuwa wameishiwa hawana jipya mpaka wameacha kutengeneza smartphone [emoji3][emoji3][emoji3]

Wakati Sasa hivi wamepanua soko zaidi Wana tengenezea mpaka magari ya umeme
 
Vita ya kiuchumi. Marekani ni mbabe kwa nn asipambane na ty mwenyewe mpk aombe msaada??? Au hamuwezi mchina?
Amekwisha kata tamaa - Wachina NOMA sana - Chinese knows to hit where it hurts the most - juzi hapa nilishangaa Biden alipo tuma wajumbe kwenda kuonana na uongozi wa China eti "yaishe"- kutamba kwote na majigambo ya USA kulishia sakafuni baada ya kugunduwa kwamba bora kushirikiana na Uchina kwenye nyanja za sayansi, tekinilojia na utabibu kuliko kupoteza muda mwingi kwenye malumbano yasiyo na tija na hujuma za kiuchumi - USA imeanza kujirudi kwa kutambuwa kwamba if you cannot fight Chinese economically ni bora to join them - huo ni uhamuzi wa busara.
 
Back
Top Bottom