Marekani azidisha upanuzi wa kambi yake ya kijeshi nchini!

Wanaiandaa kwaajili ya kuingia Tz kimkakati kwa visingizio vya kuwasaidia wananchi juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu na udictator
 
Duh! Halafu haya mapicha yanaruhusiwa kupigwa na kuachiwa kihivi....
Poa waweke madubwasha ya kisasa hayo maeneo ili mashababi yawe yanaonekana kwa mbali kabla kufika.
 
Hii sio kitu ya kusherehekea. Hii ni ukoloni mambo leo. Marekani ni mashetani wakubwa sana katika hii dunia. Hapo Uhuru Kenyatta ametuangusha sana. Mbona anakubali hizi majitu kuleta uchafu yao huku. Kila mahali wanapokwenda wanaleta vita. Angalia Iraq, Afghanistan, Syria, Vietnam na kadhalika. Nadhania hii ni backward step tumechukua kama nchi. We have been colonised once, let us not be colonised again.
 
Wakimaliza wataka wafanye practice kama yanafanya kazi sawa sawa ndio kisanga kitaanzia hapo.
 
Duh! Halafu haya mapicha yanaruhusiwa kupigwa na kuachiwa kihivi....
Poa waweke madubwasha ya kisasa hayo maeneo ili mashababi yawe yanaonekana kwa mbali kabla kufika.
Hahaa with authorised access, unapiga tu ila wanakuonyesha cha kupiga and what not tu...Mashababi bila shaka joto la Trump wameliskia! maana kwa ss ivi reaper drones aina ya mq 9 na mq1b zipo nchini , wanaonekana na kuskika toka angani na baadae wanapokea salamu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • FB_IMG_1546680795635.jpg
    41.2 KB · Views: 44
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…