Unamaono ila sema umejaa siasa uchwara!Wanaiandaa kwaajili ya kuingia Tz kimkakati kwa visingizio vya kuwasaidia wananchi juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu na udictator
Si mchezo aisee , jana tu shababi wameonja joto la AIM sidewinder 114 missiles!Duh! Halafu haya mapicha yanaruhusiwa kupigwa na kuachiwa kihivi....
Poa waweke madubwasha ya kisasa hayo maeneo ili mashababi yawe yanaonekana kwa mbali kabla kufika.
Nipe mfano wa siasa uchwara niliyofanya mkuu
😂😂😂 Sasa jomo kenyatta na hao wazungu wana tofauti gani kwenye suala la ujambazi wa ardhi ya Wakenya?Hatutaki kuona hizi takataka nyeupe zinarudi huku Africa. Tuliwafukuza mara moja na wabaki huko kwao. These are war-mongers, all they know is to fight. Hawajui kusaidia nchi masikini kujenga barabara ama railway kama ambavyo China wanafanya. Chinese wamesaidia Kenya sana kwa kujenga infrastructure. Lakini these white f*ckers all they know is to bring war wherever they go. Any country they touch inakufa kifo cha mende. Angalia Libya saa hii vile inafanana. Angalia Yemen inapigwa bomb na Saudi Arabia kutumia bomb made in the U.S.A. Afghanistan wako vitani kwa miaka kumi na nane (since 2001). The middle east is a shit-hole right now because of these people. Waafrika tuwe makini, tusiwe tunakubali kila uchafu unaotoka kwa hawa majitu. Walianza kwa kutuletea bibilia takatifu, tukaishia kuwa watumwa katika nchi yetu. Jomo Kenyatta alisema "mzungu alikuja Africa akiwa na bibilia takatifu mkononi na akapata mwafrika akiwa anamiliki shamba. Mzungu akaambia mwafrika afunge macho ili waombe Mungu, maombi yalipoisha mwafrika akafungua macho. Mwafrika alishangaa kuona mzungu anamiliki shamba na mwafrika mwenyewe anamiliki bibilia takatifu"
Hahaa with authorised access, unapiga tu ila wanakuonyesha cha kupiga and what not tu...Mashababi bila shaka joto la Trump wameliskia! maana kwa ss ivi reaper drones aina ya mq 9 na mq1b zipo nchini , wanaonekana na kuskika toka angani na baadae wanapokea salamu..View attachment 986713View attachment 986715View attachment 986716
Sent using Jamii Forums mobile app
Plsee ambia ndugu zako wanaoshangilia humu Nanyuki pia kuna base ya Royal forces!Hatutaki kuona hizi takataka nyeupe zinarudi huku Africa. Tuliwafukuza mara moja na wabaki huko kwao. These are war-mongers, all they know is to fight. Hawajui kusaidia nchi masikini kujenga barabara ama railway kama ambavyo China wanafanya. Chinese wamesaidia Kenya sana kwa kujenga infrastructure. Lakini these white f*ckers all they know is to bring war wherever they go. Any country they touch inakufa kifo cha mende. Angalia Libya saa hii vile inafanana. Angalia Yemen inapigwa bomb na Saudi Arabia kutumia bomb made in the U.S.A. Afghanistan wako vitani kwa miaka kumi na nane (since 2001). The middle east is a shit-hole right now because of these people. Waafrika tuwe makini, tusiwe tunakubali kila uchafu unaotoka kwa hawa majitu. Walianza kwa kutuletea bibilia takatifu, tukaishia kuwa watumwa katika nchi yetu. Jomo Kenyatta alisema "mzungu alikuja Africa akiwa na bibilia takatifu mkononi na akapata mwafrika akiwa anamiliki shamba. Mzungu akaambia mwafrika afunge macho ili waombe Mungu, maombi yalipoisha mwafrika akafungua macho. Mwafrika alishangaa kuona mzungu anamiliki shamba na mwafrika mwenyewe anamiliki bibilia takatifu"
mkuu, hili sio jambo la kufurahia kwa nchi zetu za kiafrika, lakn tutafanyeje?.........Hii sio kitu ya kusherehekea. Hii ni ukoloni mambo leo. Marekani ni mashetani wakubwa sana katika hii dunia. Hapo Uhuru Kenyatta ametuangusha sana. Mbona anakubali hizi majitu kuleta uchafu yao huku. Kila mahali wanapokwenda wanaleta vita. Angalia Iraq, Afghanistan, Syria, Vietnam na kadhalika. Nadhania hii ni backward step tumechukua kama nchi. We have been colonised once, let us not be colonised again.
Usidhani hapa ni Kenya, weka title vizuri, we unaandika uzi ukiwa Kenya afu unasema hapa nchini.Toka mzee wa kazi Trump aingie madarakani tumeshudia upanuzi mkubwa wa kambi za kijeshi na foward operating bases.
Katika kambi ya simba iliyo kaunti ya lamu nchini, upanuzi umekuwa ni wa kasi mno along with more millitary hardware.View attachment 986655
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu, hili sio jambo la kufurahia kwa nchi zetu za kiafrika, lakn tutafanyeje?.........
ieleweke wazi hawa jamaa kama kututawala wanatutawala tu bila ridhaa yetu.........
swali, hivi kenya ni ally wa US?....... kama zilivo korea ya kusin?
nevertheless, bado hio sio nzuri sana kwetu sisi waafrika!.........Afrika hatuna jeuri za kujiita ally wala nini, ukizingatia hata makombora tunanunua kutoka kwao, angalia nchi zenye uwezo wa kutunisha misuli, kwa mfano Iran na Korea Kaskazni, wao wana viwanda vya kujitengezea makombora. Sisi tunaagiza kila aina ya zana za kivita. Hamna chochote kinachouniwa huku Afrika, hata simu anayotumia Magufuli wenu kule ikulu imeagizwa kutoka kwa hawa jamaa, mifumo yote ya mawasiliano, anachosema hata kwa siri anatumia vyombo vyao....hehehe
Vifaa tunavyonunua kutoka kwao huwa vya kutishia nyau wenzetu Afrika lakini sio wale, au unajidanganya hizo ndege chache za JWTZ zinaweza kumkuna sehemu yoyote Mmarekani akiamua kutembeza kibano Tanzania. Yaani ndege moja ya kisasa ya Marekani imetosha kuwapiga kichapo jeshi lenu na mshindwe kuidungua, itakua inashusha mabomu kwenu na kurudi kwenye aircraft carrier kuongeza mafuta na makombora na kurudi kuendeleza kichapo.
Kwa hivyo kupiga makelele eti hatutaki waweke hayo mavitu yao kwetu ni ujuha, wayalete tu.....hizo drones.
Kaka unapandwa na hasira bure. America wako na military base pembe zote za Dunia. Including Germany, UK, Poland, New Zealand, Australia, Japan, France basically any point in the world utawapata. This is just a tag of superpower. Hata china sasa wameanza foreign bases.Hatutaki kuona hizi takataka nyeupe zinarudi huku Africa. Tuliwafukuza mara moja na wabaki huko kwao. These are war-mongers, all they know is to fight. Hawajui kusaidia nchi masikini kujenga barabara ama railway kama ambavyo China wanafanya. Chinese wamesaidia Kenya sana kwa kujenga infrastructure. Lakini these white f*ckers all they know is to bring war wherever they go. Any country they touch inakufa kifo cha mende. Angalia Libya saa hii vile inafanana. Angalia Yemen inapigwa bomb na Saudi Arabia kutumia bomb made in the U.S.A. Afghanistan wako vitani kwa miaka kumi na nane (since 2001). The middle east is a shit-hole right now because of these people. Waafrika tuwe makini, tusiwe tunakubali kila uchafu unaotoka kwa hawa majitu. Walianza kwa kutuletea bibilia takatifu, tukaishia kuwa watumwa katika nchi yetu. Jomo Kenyatta alisema "mzungu alikuja Africa akiwa na bibilia takatifu mkononi na akapata mwafrika akiwa anamiliki shamba. Mzungu akaambia mwafrika afunge macho ili waombe Mungu, maombi yalipoisha mwafrika akafungua macho. Mwafrika alishangaa kuona mzungu anamiliki shamba na mwafrika mwenyewe anamiliki bibilia takatifu"
Ng'ombe wa maziwa wa kizunguAfrika hatuna jeuri za kujiita ally wala nini, ukizingatia hata makombora tunanunua kutoka kwao, angalia nchi zenye uwezo wa kutunisha misuli, kwa mfano Iran na Korea Kaskazni, wao wana viwanda vya kujitengezea makombora. Sisi tunaagiza kila aina ya zana za kivita. Hamna chochote kinachouniwa huku Afrika, hata simu anayotumia Magufuli wenu kule ikulu imeagizwa kutoka kwa hawa jamaa, mifumo yote ya mawasiliano, anachosema hata kwa siri anatumia vyombo vyao....hehehe
Vifaa tunavyonunua kutoka kwao huwa vya kutishia nyau wenzetu Afrika lakini sio wale, au unajidanganya hizo ndege chache za JWTZ zinaweza kumkuna sehemu yoyote Mmarekani akiamua kutembeza kibano Tanzania. Yaani ndege moja ya kisasa ya Marekani imetosha kuwapiga kichapo jeshi lenu na mshindwe kuidungua, itakua inashusha mabomu kwenu na kurudi kwenye aircraft carrier kuongeza mafuta na makombora na kurudi kuendeleza kichapo.
Kwa hivyo kupiga makelele eti hatutaki waweke hayo mavitu yao kwetu ni ujuha, wayalete tu.....hizo drones.
Walitaka kuweka military base yao zanzibar lakini tulikataaKaka unapandwa na hasira bure. America wako na military base pembe zote za Dunia. Including Germany, UK, Poland, New Zealand, Australia, Japan, France basically any point in the world utawapata. This is just a tag of superpower. Hata china sasa wameanza foreign bases.
The main reason for this bases is training and getting soldiers acclimated to the terrain and environment in that region ndio vita ikitokea anywhere, they have a ready force that is already acclimated to the weather, terrain and environment of that specific region.
Hii mambo ya ukoloni is misleading. Am sure Germans, French, Japanese are not being colonized, tuwache inferior complex. Sisi pia ndio tumewapa lease, wanalipa mabilioni ya pesa yearly.
Secondly hii Manda bay is just a camp, the only USA military base in Africa iko Djibouti. This camp has been around since the 80’s but was only formally recognized in 2004. it has nothing to do with Uhuru.
3rdly hii Camp Simba provides Kenya a lot of alshabab insurgency intelligence information. Drones are flown from here daily, alafu hio data is passed to KDF in Somalia, hapo ndio tunashinda hii vita na alshabab. We get the exact coordinates of the shabab groups advancing to Kenya’s border alafu KDF wana angusha bomb. This is the reason we have not had any attacks recently.