US akiingia kwenye full fledge war dhidi ya Urusi, hakuna atakayepona hata nyie Waswahilo waoga itawakita tu.FACT kiufupi ni kuwa kama usa ataingia vitani na china,urusi,burundi au china kenya lazima iwe kwenye target za mahasimu
Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna kombora litakalotua tz,uganda na kwingineko ambapo hapatajihusisha na vita labda hilo kombora likosee njiaUS akiingia kwenye full fledge war dhidi ya Urusi, hakuna atakayepona hata nyie Waswahilo waoga itawakita tu.
hakuna kombora litakalotua tz,uganda na kwingineko ambapo hapatajihusisha na vita labda hilo kombora likosee njia
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani huyo jamaa ni nabii?Nenda katafute kitabu cha Nevil Shute kinachoitwa ‘On the beach’, utapata kuelewa jinsi wewe Mswahili yatakukuta kama ikitokea Marekani na Urusi wameamua kutupiana makombora ya kumalizana kabisa.
Kwa kifupi Northern Hemisphere wakimalizana kwa nyuklia, Southern Hemisphere hatasazwa mtu.
kwani huyo jamaa ni nabii?
vita ya usa na urusi itapiganiwa asia,ulaya na amerika
na baadhi ya maeneo ya africa ya base za hao mahasimu mfano kenya,gabon na kwingineko
nyie subirin eskander missile
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mjue waafrika wenzenu wanavyowaona mazezeta,huyo unayemquote wala si Mtz kwa taarifa yako,na anakupa fact tupu jinsi mlivyo mazwazwa!Niljua najadili na mtu mwenye uelewa na kwamba utachukua muda kutafiti na kutafakari nilichokisema hapo juu, jinsi umekimbilia kujibu ni wazi unayo kasoro. Vita vya kumalizana baina ya hao wakuu havitamuacha yeyote salama.....the world will never be the same again, iwe ulipigwa kombora au vinginevyo.
when they leave? do you expect that they will leave their bases?When they leave the Infrastructure will be left to us making it a win win situation. Geza Ulole itabudi ukubali we lead the so called leaders.
Ndio mjue waafrika wenzenu wanavyowaona mazezeta,huyo unayemquote wala si Mtz kwa taarifa yako,na anakupa fact tupu jinsi mlivyo mazwazwa!
Yan tuchukie kutusogezea vita za kigaidi nchini kwetu,vita ambavyo hata wao wenyewe vinawapa changamoto nyingi sana,km kutrain wanakuja sana kutrain na tpdf but khs kuweka military base yao hapa kwetu hatutakihttps://youtu.be/SRQt-QG3sB0So kwa yeye kutokua Mtz ndio inakubabaisha na kumuona kama anayejua kukuzidi.
Halafu Waafrika wagani wanatuona mazwazwa, hivi unajua presence ya US military Africa ipo kwenye nchi nyingi ndani ya bara hili, sio Kenya tu.
Ni kwamba hawajawachagua nyie kuwekeza chochote cha maana kijeshi, na nahisi ndicho kinachowauma na kuishia na kauli za sizitaki mbichi.
Yan tuchukie kutusogezea vita za kigaidi nchini kwetu,vita ambavyo hata wao wenyewe vinawapa changamoto nyingi sana,km kutrain wanakuja sana kutrain na tpdf but khs kuweka military base yao hapa kwetu hatutakihttps://youtu.be/SRQt-QG3sB0
nan kati ya hao usa na urusi mwenye kombora la kumaliza ulimwengu?Niljua najadili na mtu mwenye uelewa na kwamba utachukua muda kutafiti na kutafakari nilichokisema hapo juu, jinsi umekimbilia kujibu ni wazi unayo kasoro. Vita vya kumalizana baina ya hao wakuu havitamuacha yeyote salama.....the world will never be the same again, iwe ulipigwa kombora au vinginevyo.
usa waliwai kutaka kuweka base tzYan tuchukie kutusogezea vita za kigaidi nchini kwetu,vita ambavyo hata wao wenyewe vinawapa changamoto nyingi sana,km kutrain wanakuja sana kutrain na tpdf but khs kuweka military base yao hapa kwetu hatutakihttps://youtu.be/SRQt-QG3sB0
nan kati ya hao usa na urusi mwenye kombora la kumaliza ulimwengu?
endapo watapigana hao wawili basi ni mmoja wao atapigwa mapigo matakatifu kwa huaraka zaidi ili asijibu mapigo na ili hilo lifanikiwe lazima nyambizi na base zao ziwe targeted kwa wakati mmoja
na mpaka sasa mwenye makombora hatari zaidi ni urusi ambaye nyie mna base ya hasimu wake hivyo basi kama wataamua kumuangamiza usa na kenya lzm iwe kwenye shabaha yao
Sent using Jamii Forums mobile app
kama walikubariana kutokuunda makombora ya masafa marefu lkn leo wanayo bado tu anaamini hyo mikataba?Kasome kuhusu maelewano ya baina ya USA na Urusi yanayoitwa mutual assured destruction (MAD)
kama walikubariana kutokuunda makombora ya masafa marefu lkn leo wanayo bado tu anaamini hyo mikataba?
Nato now day to day wanamsogelea urusi bado tu unaamini mikataba?
vip mkataba wa usa na iran kuhusu nuke?
unakitazamaje kitendo cha urusi kupeleka TU-160 Venazuela?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nothing lasts for ever.when they leave? do you expect that they will leave their bases?
They will be there for their own missions forever!
stupid!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufanya hivyo unahutaji helicopter angalau Tatu kuangusha wanajeshi.... Hakuna black hawks hapo Lamu.Kuhusu ruhusa ya kuingilia ugomvi na alshabaab ni rules of engagement tu hapo wakiambiwa ingia wanaingia hata usiku wa manane...subiri siku US citizen atekwe hapo uone wanaovyoingilia shoo iwapo wanapewa amri ya kuingia bila kujali serikali ya Kenya inasemaje
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
duh wewe ni luten au brigedia ?Kufanya hivyo unahutaji helicopter angalau Tatu kuangusha wanajeshi.... Hakuna black hawks hapo Lamu.
Tena isitoshe USA iko na Kambi ndani ya Somalia na kazi yake no hio...