Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,251
- 7,037
Up
Anyway, kuna Kambi ya Marekani kule Somalia iko eneo la baladogle, inajengwa runway ambayo inaweza kupokea ndege ya Aina yoyote, hio Kambi ndo Marekani hutumia kama staging ground ya mashambulizi ya Yao huko Somalia...alafu Kambi ya Bastion kule Dgibouti ndo drone base
New in 2019: Two new US air bases in Africa nearing completion
Mi hupenda city vya kijeshi na hua nafwatilia Sana maendeleo tofauti ya zana za kivita, mara nyingi najikuta Kwa forum tofauti tofauti nikijadiliana kuhusu Vita tofauti na ... Pia kuna wanajeshi kadhaa ninaowajua kutoka wakati flani nilikua naishi nao karibu na Kambi ya kijeshi Hadi wa Leo wakifika Nairobi lazima wanipigie tuzunguke Nairobi nzima tukijivinjari...
Anyway, kuna Kambi ya Marekani kule Somalia iko eneo la baladogle, inajengwa runway ambayo inaweza kupokea ndege ya Aina yoyote, hio Kambi ndo Marekani hutumia kama staging ground ya mashambulizi ya Yao huko Somalia...alafu Kambi ya Bastion kule Dgibouti ndo drone base
New in 2019: Two new US air bases in Africa nearing completion