Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

This guy ana kwenda ku win uchaguzi.
 
Hao watu wamepigwa risasi maeneo gn ya mwili? Mtu amepigwa risasi za taco, mapajani, taya, sikioni unataka wafe wakat sio maeneo sensitive? Huyo Lissu angepigwa ya kichwan na angepona ndio nngesema lengo lilikuwa kuuawa
kama unaamini mtu anaweza nusurika basi risu na trump wamenusurika sikuzao zakufa hazijafika na hawakupangiwa kufa kifohicho.

elewa hivyo tuu kwakuanzia
 
samahani mleta mada nipo nje ya mada kidogo,mimi ni fundi wa kufunga cctv camera,electric fence,gate motor pamoja na video door bell,kwa mwenye kuhitaji huduma naomba tuwasiliane kwa namba 0622667749 au 0674376787 nipo Dar es Salaam
 
ulinzi mkali ni kuzuia kabla, i mean amewezaje kufika eneo hilo akiwa na siraha ya udunguaji
Siku zote mdunguaji hutafuta utulivu na na namna ya kutoonekana, pia huwa na taarifa za eneo la tukio, hali ya hewa, na some security details za target yake.
pia kabla trump hajainama yani ku take action ye mwenyewe zimepita risasi kadhaa mpaka iliyompata sikio na walinzi walikuwa hawajafika!.
Hapo ndiyo unapoleta utata kuwalaumu walinzi ukitaka washindane na kasi ya risasi
pia inasemekana kuna mtu aliwaambia kwenye hilo jengo alikuwepo mtu anasiraha na hawakutake action huoni kuna upungufu hapo!..
Hili nakuunga mkono, ingawa inawezekana walichukua hatua ndiyo maana mdunguaji aliuawa promptly. Inawezekana baada ya taarifa walishaanza kufanya scanning pia kumuweka standby sniper wao aliyem terminate yule sniper mwingine. Au ni kweli kuna uzembe.
totally kilichotokea ni bahati tu kwa trump kupona na sio kwamba ulinzi ulifanya kitu!,
Of course, Bahati ina sehemu yake kubwa katika hili
 
dah! mkuu hivi unafikiri unachokiandika kweli lissu kamiminiwa risasi 38 akiwa ndani ya gari na akiwa amelala inamaana tayari alikuwa ameshatake cover na washambuliaji hawakushuka! risasi 38 ! na useme halikuwa tukio la mauwaji... unahabari kuna risasi moja imebaki mgongoni mwake maana ni too risk kuitoa kuliko kuiacha!.. kutoka na status ya lissu ikawa ni rahisi kwake kupatiwa matibabu ya hali ya juu na akasafilishwa chap!

trump apigwe sikio useme sio eneo sensitive hivi unahabari katika sehemu inayohitaji umakini kuilenga ni kichwa maana any time kichwa kina shake ndio maana wadunguaji wengi hulenga kifua maana unaweza kuhamisha movement ya kichwa ila kifua kitakuwa palepale!.. babu mbona hivi ni vitu vya kawaida sana kuvijua unakwama wapi! kumbuka pia zimechomoka risasi zaidi ya moja sijui hata kama unaelewa dhana ya udunguaji...😃
 
hoja yako ya mwisho imeshathibitisha nilichokiandika hivyo tu nikutakie siku njema mkuu...😀
 
Kweli kabisa mkuu uzoefu pia inaweza kuwa sababu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…