BABA BOMBASTIC
Senior Member
- Jul 10, 2024
- 146
- 246
Kumbe zile cartoon za Simpson zinatabiri kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
📌🔨Just login to wish Mr. Donald Trump a quick recovery
Me and my family praying for you
Ndiye anayepanga vifo vya watu? Basi atakuwa ni noma sana.qemalammmmk
Sio vitisho tu?This was a clear assassination attempt!!
Kumbe zile cartoon za Simpson zinatabiri kweli
Poa Poa.God bless and forgive you freely![]()
Kwa mtazamo wangu ni Industrial military complex at work.Hawawezi kumshinda kwa kura!
Wamejaribu lawfare, nayo imeshindikana.
Sasa wanataka kumuua!
Democraps.
Alichokisema kilikuwa kwel Sema hukutaka kuushughulisha ubongo wake. Wewe ukadhani ni tusiBinadamu ni mnafiki sana aseeh. Huyu Trump aliyewatukana wa Africa ikawa asilimia kubwa ya watu hawampendi na kumtolea maneno ya shombo kibao. Leo watu wanampenda na kumuombea arudi tena madarakani.
Mnavoongelea hizo risasi 38 utadhani n zote zimempata, ongelea risasi zilizompata na sio zilizopigwa.dah! mkuu hivi unafikiri unachokiandika kweli lissu kamiminiwa risasi 38 akiwa ndani ya gari na akiwa amelala inamaana tayari alikuwa ameshatake cover na washambuliaji hawakushuka! risasi 38 ! na useme halikuwa tukio la mauwaji... unahabari kuna risasi moja imebaki mgongoni mwake maana ni too risk kuitoa kuliko kuiacha!.. kutoka na status ya lissu ikawa ni rahisi kwake kupatiwa matibabu ya hali ya juu na akasafilishwa chap!
trump apigwe sikio useme sio eneo sensitive hivi unahabari katika sehemu inayohitaji umakini kuilenga ni kichwa maana any time kichwa kina shake ndio maana wadunguaji wengi hulenga kifua maana unaweza kuhamisha movement ya kichwa ila kifua kitakuwa palepale!.. babu mbona hivi ni vitu vya kawaida sana kuvijua unakwama wapi! kumbuka pia zimechomoka risasi zaidi ya moja sijui hata kama unaelewa dhana ya udunguaji...😃
13 July 2024
Butler, Pennsylvania
Marekani
MILIO IPATAYO TISA YA SILAHA YASIKIKA KATIKA MKUTANO WA TRUMP, AJERUHIWA SIKIO KWA RISASI KATIKA JARIBIO LA KUONDOKA UHAI WA MGOMBEA URAIS
View: https://m.youtube.com/watch?v=szm4fJLaQUU
Trump akikunja ngumi hewani baada ya shambulio lililotaka kuondoa uhai wake kushindwa, huku akibebwa mzobe mzobe na walinzi wake baada ya milio ya silaha ya moto kusikika katika mkutano huko Butler, Pennsylvania Marekani.
Umati ulipoona Trump akinyoosha ngumi angani kuwa amenusirika ukaimba wimbo wa kizalendo wa USA! USA! kuashiria umma uliohudhuria mkutano wapo naye bega kwa bega Trump
Shots are fired at former President Trump's campaign rally in Butler, Pennsylvania, and the former President is rushed off stage.
View: https://m.youtube.com/watch?v=XL3D0h5j0Lo
Mara baada ya milio kadhaa ya silaha ya moto kusikika, rais Trump alishika sikio lake kuashiria kitu kimempiga, walinzi wake haraka walimzingira na kumueka katika sakafu ya jukwaa kumlinda huku wakikagua hali ya jeraha lake pia kupanga mipango ya jinsi ya kutoka naye kwa usalama kutoka ktk jukwaa la mkutano alilokuwa amesima akihutubia huko Butler, Pennsylvania Marekani
View attachment 3041818
Msemaji wa Kikosi cha Usalama (Secret Service) alisema Bw. Trump alikuwa "salama." Msemaji wa kampeni ya Trump, Steven Cheung, alisema katika taarifa kwamba rais huyo wa zamani "anaendelea vizuri na anachunguzwa katika kituo cha matibabu cha eneo la karibu ."
View attachment 3041835
Ni funzo kubwa sana kwenye maisha…kwa tukio Hilo ashashinda uchaguzi
Ila on another side ni aibu kwa security mpaka mtu anashambulia ndio mnamgundua nyinyi mmekuja kulinda au mmekuja kumsikiliza Trump? Ilibidi wamkamate kablaOf course, Bahati ina sehemu yake kubwa katika hili
aah?Matusi ndio kimbilio lenu mkishindwa kujibu maswali

Anayekwambia kwamba anatafuta huruma za wananchi ni nani?Huyo ni Trump mwenyewe kajitia kidole cha jicho machozi yanamtoka ili apate huruma za wananchi,
Siasa ni ujinga
Trump style yake ya kuongea huku amepindisha SHINGO imemuokoaWatu walewale waliofurahia Lissu kupigwa risasi na kutaka kuuawa ndo hawahwa wanaosikitika na kilaani Trump kupigwa risasi
You can't stage your death 8n a country like USA tusidanganyane hapa. USA Kila kitu kitajulikana tu ni suala la muda tu. Hayo mambo unaweza fanya Burundi siyo usa. Huyo wamemkosa.It’s a planned game mtakuja kuniambia nini kilitokea.
sasa mkuu wingi wa mapigo haujui unatoa tafsiri gani..? hata hizo zilizompata 7 unafikiri zilimtaka zimponye..?? kaka hebu usijifungie kwenye dimbwi hilo la giza toka huko mtu akufate na kisu na akuchomechome hovyo useme hakuwa nadhamira yakukuua basi we utakuwa ni zwazwa sana!Mnavoongelea hizo risasi 38 utadhani n zote zimempata, ongelea risasi zilizompata na sio zilizopigwa.
Risasi imepigwa, watu wamebonyea chini. nchi ya asali ingekua mbioooo yaaani kimbi kimbiView attachment 3041816
View attachment 3041819
Trump, ambaye ni mgombea urais mtarajiwa kwa tikiti ya chama cha Republikan, alionekana akinyoosha mkono wa kulia kuelekea shingoni mwake kabla ya shambulizi hilo kutokea.
Kulionekana kuwa na damu usoni mwake, hususan karibu na sikio la upande wa kulia.
Trump tayari ameonesha nia ya kugombea tena Urais wa Marekani na hivi karibuni alifanya mdahalo na Rais wa sasa Joe Biden, mdahalo ambao Wachambuzi wengi wamesema haukwenda sawa kwa upande wa Biden kwakuwa alizidiwa uwezo wa kujieleza na kujibu maswali na Trump.
Tofautisha ukweli usioupenda na chuki, taja kauli aliyowatukana watu weusi mkuu.Binadamu ni mnafiki sana aseeh. Huyu Trump aliyewatukana wa Africa ikawa asilimia kubwa ya watu hawampendi na kumtolea maneno ya shombo kibao. Leo watu wanampenda na kumuombea arudi tena madarakani.