Marekani haamini macho yake: Mrusi anatumia missiles ambazo hazijulikani, zina uwezo wa ku-jam rada hivyo haziwezi kudunguliwa

Marekani haamini macho yake: Mrusi anatumia missiles ambazo hazijulikani, zina uwezo wa ku-jam rada hivyo haziwezi kudunguliwa

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Kilichowashtua sana Marekani na NATO kwa ujumla ni kushambuliwa kwa mafanikio makubwa kambi ya kijeshi ya Ukraine iliyopo karibu kabisa na mpaka wa Poland.

Hii kambi ilikuwa imewekewa ulinzi wote wa anga maana ilikuwa inatumika kupokelea silaha zinazoingizwa Ukraine toka nchi za magharibi. Na kipindi husika kulikuwa na shehena kubwa ya silaha zikiwa tayari kusafirishwa ili zikatumike.

Kambi hiyo pia ilikuwa inatumika kama chuo cha mafunzo ya kijeshi kwa kutumia wakufunzi wa Nato namnà ya kutumia hizo silaha wanazopewa na NATO.

Siku moja kabla ya shambulizi hilo Urusi ilitoa onyo kuwa misafara ya kupeleka silaha Ukraine tangu Sasa ni "legitimate war target"!

Onyo hilo lilisababisha wakufunzi wa Nato waondoke kwenye kambi hiyo vinginevyo wengi wangeuawa!

Marekani hatimaye wamegundua siri ya jeuri ya Mrusi kuwa makombora (missiles) yake yamefungiwa kifaa maaluma ya kuzizima rada ili yasionekane na hivyo kukwepa kudunguliwa na anti- missile systems!
 
Kuna ile drone iliyodondoka croatia na nyingine jana imedondoka nchi mwanachama wa nato....ni drone za zamani sana sema jamaa wanajiuliza zimepitaje anga la nato bila hata kushtukiwa hadi pale zilipoishiwa mafuta na kudondoka hakuna hata system ya usalama wa anga iliyoweza kuzi detect tokea zinaingia kwenye anga lao hadi zinadondoka na hawajui sasa kama ni drone za mrusi ama ni Ukraine maana ni drone za kipindi cha soviet kwa sasa zinamilikiwa na wote Ukraine na urusi
 
Mrusi ana hali mbaya sana!
Screenshot_20220315-084930_Chrome.jpg


Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom