Marekani haamini macho yake: Mrusi anatumia missiles ambazo hazijulikani, zina uwezo wa ku-jam rada hivyo haziwezi kudunguliwa

Marekani haamini macho yake: Mrusi anatumia missiles ambazo hazijulikani, zina uwezo wa ku-jam rada hivyo haziwezi kudunguliwa

Hii vita kuna Taifa kubwa linawindwa....Urusi inataka kupimana nguvu na mbabe mwengine wa dunia.....kwa hiyo inasubiria tu.
 
Kwa hiyo hata r.p.g kwao hazina kazi.
Ila naionea sana huruma yukrein huko baada hao wananchi wanaochukua silaha watakuja sumbua sana ki nchi chao
 
Haya yalikuwa ni mazoezi ya Russian troops kule Belarus kabla ya uvamizi wao nchini Ukraine.
Kwa mujibu wako.........

Russian MoD shows capture of Ukrainian airfield (VIDEO) https://www.rt.com/russia/551762-ukrainian-airfield-assault-video/

Usisahau ku follow na kusabskraib
Screenshot_20220315-133614_RT News.jpg
 
Waukraine kwenye miji yao mbalimbali wameweka barricades (Vizuizi) vya kufa mtu kiasi kwamba kifaru kikikaribia lazima kisimame na hapo ndipo kinapokumbana na shambulizi la The US made Javelin anti tank missile na kuteketezwa kabisa.

Na wakisema waache vifaru waingie kwa miguu ndio kabisa wanaingia kwenye midomo ya mamba kwa kupokelewa kwa "Molotov Cocktails" zilizotapakaa kote nchini Ukraine.

Warussia wanapiga mahesabu yanagoma, watawakumbuka sana wale majenerali waliowashauri wasiende vitani.
 
Kilichowashtua sana Marekani na NATO kwa ujumla ni kushambuliwa kwa mafanikio makubwa kambi ya kijeshi ya Ukraine iliyopo karibu kabisa na mpaka wa Poland.

Hii kambi ilikuwa imewekewa ulinzi wote wa anga maana ilikuwa inatumika kupokelea silaha zinazoingizwa Ukraine toka nchi za magharibi. Na kipindi husika kulikuwa na shehena kubwa ya silaha zikiwa tayari kusafirishwa ili zikatumike.

Kambi hiyo pia ilikuwa inatumika kama chuo cha mafunzo ya kijeshi kwa kutumia wakufunzi wa Nato namnà ya kutumia hizo silaha wanazopewa na NATO.

Siku moja kabla ya shambulizi hilo Urusi ilitoa onyo kuwa misafara ya kupeleka silaha Ukraine tangu Sasa ni "legitimate war target"!

Onyo hilo lilisababisha wakufunzi wa Nato waondoke kwenye kambi hiyo vinginevyo wengi wangeuawa!

Marekani hatimaye wamegundua siri ya jeuri ya Mrusi kuwa makombora (missiles) yake yamefungiwa kifaa maaluma ya kuzizima rada ili yasionekane na hivyo kukwepa kudunguliwa na anti- missile systems!
Screenshot_20220315-134530_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20220315-134545_Samsung Internet.jpg

Wamelijua hilo baada ya kambi yao kutandikwa


Na bado kuna suprise nyingi mrusi anazo.......anamngoja kubwa jinga aingie kwenye 18 vizuri
 
Waukraine kwenye miji yao mbalimbali wameweka barricades (Vizuizi) vya kufa mtu kiasi kwamba kifaru kikikaribia lazima kisimame na hapo ndipo kinapokumbana na shambulizi la The US made Javelin anti tank missile na kuteketezwa kabisa.

Na wakisema waache vifaru waingie kwa miguu ndio kabisa wanaingia kwenye midomo ya mamba kwa kupokelewa kwa "Molotov Cocktail" zilizotapakaa kote nchini Ukraine.

Warussia wanapiga mahesabu yanagoma, watawakimbuka sana wale majenerali waliowashauri wasiende vitani.
Barricades ambazo ni wananchi? Kinachowalinda hadi sasa ni wanajeshi wa ukraine kutumia raia kama ngao zao ....isingekua hivyo wangeshafyekwa mapema kabisa
 
hahaha mnabadili gia angani,,,,,,,sie tumeshaanza kuona madhara kwa upande wa pili
Lazima iwe hivyo!

Ukrain lazima madhara yawe ya mapema sababu ndio inayoshambuliwa majengo na miundombinu yake ya kiuchumi, hakuna uzalishaji unaoendelea Ukrain kwa sasa!

Ila Urusi itaona kila rangi baada ya miezi 6 ijayo

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu tupe picha ya kifaa hicho ambacho kina uwezo wa kuzima rada!
 
Lazima iwe hivyo!

Ukrain lazima madhara yawe ya mapema sababu ndio inayoshambuliwa majengo na miundombinu yake ya kiuchumi, hakuna uzalishaji unaoendelea Ukrain kwa sasa!

Ila Urusi itaona kila rangi baada ya miezi 6 ijayo

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
madhara tunayaona kwa masapota wa ukraine...........hapo ukraine ni uwanja wa kutest mitambo ....effect zitaonekana kwa mashabiki zake
 
Back
Top Bottom