Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Hapa ndipo lilipo kaburi la Huawei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vikwazo vya Marekani,sababu kubwa ni issue ya Iran.hivi ile ZTE chanzo ni nini hadi kufa kwake
Huawei's trump card: Firm owns most 5G patents, despite US banRoyalties za kutokana kwenye taasisi gani?
Anataka kuitoa lini wakati ndio wanaiongezea vikwazo.
Unaweza kutoa chanzo cha hii habari yako?
Dah,. Mkuu biashara ya simu ni sehem ndogo tu ya mapato ya huawei, na tsmc ya taiwan imesema itaendelea kutengeneza chip kwa ajili ya huaweiHapa ndipo lilipo kaburi la HuaweiView attachment 1489170View attachment 1489171
Na kwasababu ya hii, ndo maana inaspend almost ya 40% kwenye Rnd.Hapa ndipo lilipo kaburi la HuaweiView attachment 1489170View attachment 1489171
Umesoma vizuri hayo maelezo,hizo chips za simu, computer na mitambo ya 5G atazipata wapi?. Pia unajua Taiwan ana uhusiano gani na Marekani mpaka akubali kurisk huo uhusiano eti kwa sababu ya Huawei.Dah,. Mkuu biashara ya simu ni sehem ndogo tu ya mapato ya huawei, na tsmc ya taiwan imesema itaendelea kutengeneza chip kwa ajili ya huawei
pole [emoji23][emoji23][emoji23]China teknolojia ndogo,maneno tu na ujanja mwingi
ARM Will Continue To Supply Huawei With Chip Tech | Silicon UK Tech NewsUmesoma vizuri hayo maelezo,hizo chips za simu, computer na mitambo ya 5G atazipata wapi?. Pia unajua Taiwan ana uhusiano gani na Marekani mpaka akubali kurisk huo uhusiano eti kwa sababu ya Huawei.
Hii ni Sauti ya Radio TehranHUAWEI Haiwezi kufa kwasababu zakipuuzi kama hizi muache mkubwa aruke ruke tu soon ataachia...[emoji12][emoji14][emoji12]
US ilikua zamani kama kijitaifa kidogo tu kama IRAN anaweza kusurvive mbele yavikwazo vyake seuze UCHINA
Akubali tu kaishachelewa mfamaji[emoji12][emoji14][emoji12]
Hiyo ni habari ya lini?embu soma hiyo tarehe na Mwaka wa hiyo habari yako. Umeambiwa full ban ya sanctions inaanza September.
Nyie hangaikeni tu siku mkiliona anguko la HUAWEI kama ntakua sijafa mtanitagHii ni Sauti ya Radio Tehran
Teh teh teh kwani wao hawana Bosi wa Huawei wanaemshikilia?Nyie hangaikeni tu siku mkiliona anguko la HUAWEI kama ntakua sijafa mtanitag
Ila nikukumbushe tu wamekuja na hizi tuhuma baada ya wale WACANADA wawili kukamatwa kule UCHINA wanahofia wasije wakapigwa kitanzi kwatuhuma za ujasusi
UCHINA anamchezesha US ngoma moja tamu sanaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi ile ZTE ipo wapi siki hizi?Nyie hangaikeni tu siku mkiliona anguko la HUAWEI kama ntakua sijafa mtanitag
Ila nikukumbushe tu wamekuja na hizi tuhuma baada ya wale WACANADA wawili kukamatwa kule UCHINA wanahofia wasije wakapigwa kitanzi kwatuhuma za ujasusi
UCHINA anamchezesha US ngoma moja tamu sanaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Boss sio JASUSI hana lamaana zaidi yabiashara kama wale MAJASUSITeh teh teh kwani wao hawana Bosi wa Huawei wanaemshikilia?
Hv ZTE ilikua kampuni ya simu yakuifananisha kimafanikio nailippfika HUAWEI ?!Vipi ile ZTE ipo wapi siki hizi?
Embu rudia tenaBoss sio JASUSI hana lamaana zaidi yabiashara kama wale MAJASUSI
Mm au wewe US kawa cry baby [emoji23][emoji23][emoji23]Embu rudia tena
Arm sio US based, ni Uk base takeHiyo ni habari ya lini?embu soma hiyo tarehe na Mwaka wa hiyo habari yako. Umeambiwa full ban ya sanctions inaanza September.
Hivi mkuu unasoma article na kuelewa yote, au unatoa kipengele cha kujustify hoja zako,Hiyo ni habari ya lini?embu soma hiyo tarehe na Mwaka wa hiyo habari yako. Umeambiwa full ban ya sanctions inaanza September.