basi kama huu ndio ukweli. .. USA na washirika wake watakuwa wanajitekenya na kucheka wao wenyeweMwezi uliopita huawei imeipiku samsung kama ndio no 1 largest smartphone maker in the world,ila unasahau kwamba huawei ana patent nyingi mno kwenye 5G tech na ndiye anayeongoza.
😃😃😃Halafu ukute umeandika hizi hate messages kwa kutumia tecno mobile 🤣 🤣 🤣 👆
😃😃hatariUSA wako overrated kwa maoni yangu hivi sasa. Technology imekuwa sana na mataifa mengi yanaweza kuishi bila kutegemea USA. Tatizo kubwa walimweka Trump kufikiri kwamba dunia ni ile ile ya zamani. Angalia mataifa yanayopiga hatua hivi sasa yako mengi tu na hakuna taifa linalopiga hatua ambalo halipingwi na USA na washiriki wake. Kuanzia the tigers group, India, Nigeria, Ethiopia, Tanzania, na Southern American Countries (Mexico, Brazil, Uruguay etc.)
USA na washiriki wake wanajidanganya, miaka 10 ijayo ulimwengu unarudi kutumia Gold kama exchange mechanism ya pesa kwenye mataifa kuondokana na ulaghai wa nchi za magharibi.
Soma elewa, kusema kuwa kama techno namanisha cheapest, itaanza kubaki Huawei's za third world countryKwan NOKIA ilikufa kwafigisu ?!
TECHNO imekufa ama inakufa kakwambia nani ?!
Mnaota ama mnaumwa ?![emoji23][emoji23][emoji23]
Shida sikua mie MKUU shida ilikua kwako muandikaji sababu hukufafanua ila hatahapa pia ulipofafanua nahisi ukiachana namimi kutokukuelewa nahisi pia kuna wengne hawajakuelewa pia MKUU hem fafanua vyema asee tuende sawaSoma elewa, kusema kuwa kama techno namanisha cheapest, itaanza kubaki Huawei's za third world country
Acha unaa wewe. Magufuli na CCM hawaja wandindia Waamerika, Rais Magufuli amedai zu kuwa kama makampuni ya nje wakija kuchukua rasilimali zetu basi na sisi tufaidike. Kwani kudai haki yako ndiyo ni shida? Mbona unakuwa mfu namna hiyo? Yaani tuwaogope mabeberu kwa kudai haki ya mali zetu kwa ajili ya ngano yao? Aisee inasikitisha sana.Nikiona haya mambo ya ubabe wa USA,harafu kuna wajinga wanovaa za kijani,wanafikiri unaweza kuivimbia USA na wenzake wa magharibi,kama China anakimbizwa mchakamchaka,sembuse sie,ambao licha ya kuwa na maji ya kutosha,hatujaweza hata kuzalisha ngano ya kututosha,
Hio simu sijawah hata iweka kiganjan kwangu licha ya matumiz, hapa lazima tufikie hatua tukubali kiranja aheshimiwe, kale ka usemi kasemao marekan akikohoa ulimwengu mzima unapata mafua lazima kakubalike, wewe Huawei matumiz yake yanakuaje wakat 90% ya comp zake sio za china, saasa hiiv cmu ununue haina Google, haina playstore, haina wifi, hata chip tuu hana tech...tangu kaka mkubwa amepiga mkwara ni miez mingap leo? Nipe tu just a single step ambayo wamepiga hao macho ndogoHalafu ukute umeandika hizi hate messages kwa kutumia tecno mobile [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji115]
Hii reli inachangia sh. Ngapi kwenye pato la taifa.Jamani mkumbuke kua hata mwl Julius nyerere na keneth kaunda walipoenda kuipa china tenda ya kujenga reli ndugu zetu wamagharibi walisema kuwa China haina pesa ya kujenga reli kubwa kiasi hichi labda itajenga reli ya mianzi lakini nowdays tunayo reli ya tazara haya mambo
Nyie simlitaka kujengewa kuchangia ama kutokuchangia is up to Ninyi wenyewe...Hii reli inachangia sh. Ngapi kwenye pato la taifa.
siwezi endelea kubishana na ww nimeshakuona wewe ni mpinzani wamaendeleo. Maana ulivyocomment umeona kama walijenga walikua hawajielewe Nini wa nafanyaHii reli inachangia sh. Ngapi kwenye pato la taifa.
hafu tatizo hoja zenu zinatoka mdomoni ila sio kichwani. Yaani mnaongozwa na mdomo unapepeteka bila kujua unauliza nn?Hii reli inachangia sh. Ngapi kwenye pato la taifa.
Huawei overtakes Samsung as top global smartphone maker – reportbasi kama huu ndio ukweli. .. USA na washirika wake watakuwa wanajitekenya na kucheka wao wenyewe
Ilikua zamani sio sasa MKUU wameukwepa INDIA wakaukwepa SOUTH KOREA wakaukwepa CHINA wakaukwepa RUSSIA kupitia kunua mafuta ya IRAN licha yavikwazo walivyoekewa IRAN juzi hapa tukaona VENEZUELA wamepokea mafuta toka IRAN licha yavikwazo walonavyo IRAN.....
Nahili lakumuamulia ndio suala ambalo haliwezekaniki sasa mkuu sababu wangekua waamuaji wangeisha amuaTofautisha kutii masharti ya vikwazo na kumiliki patent na kno-how. Hayo uyasemayo wewe ni siasa tu za chadema na ccm, mwenzio anaongelea ujuzi na umiliki wa technologia.
Usipolipia patent ya mwenzio hutaweza kuuza products zako maana wewe ni mwizi, yaani mchina anaweza tengeneza kupitia ujuzi wa mwingine lakini hatouza sokoni labda atumie na watu wake, ila hataweza pata huduma toka kwa partners wengine.
Yaani wakimuamulia kwa mfano wa smartphone atabakia na smartphone ambayo huwezitumia facebook, twitter, google, whatsapp n.k kwa sababu hakuna mtu atafanya biashara na mwizi. Sasa watu wake wanaweza tumia social media kama weiboo...ila sasa mimi na wewe wa ulimwengu wa tatu hiyo smartphone itakuwa kama mkebe au game toy kwa watoto
Mmarekani unayemsema huyu ambae ana makampuni haya ambayo maisha yako yote unatumia bidhaaa zake kama
Google, Android, IOS, coca cola, Vaccines (Chanjo za binadamu na mifugo), Wikipedia, Instagram, Snapchat, Facebook, ATM machines, visa na master card
Au Mmarekani gani ambae unayemsema Wewe. Nakuhakikishia bila huyo Mmarekani usingekuwa hai
Aman tu apa, mengine tuwachie wenyeweShida sikua mie MKUU shida ilikua kwako muandikaji sababu hukufafanua ila hatahapa pia ulipofafanua nahisi ukiachana namimi kutokukuelewa nahisi pia kuna wengne hawajakuelewa pia MKUU hem fafanua vyema asee tuende sawa
Licha yayote hapa tunaelekezana tu MKUU ila pia kama nlikukwaza sehemu nakama ntakukwaza huko mbeleni amini sijadhamiria hivyo tusameheane tu utakapohisi nimekukwaza ama nimekujibu vibaya.....
Huawei ilikua inakuja vizuri sana kwa miaka 3 iliyopita. Ghafla bin vuu mwaka jana ikawekwa kwenye black list ya serikali ya Marekani ikaanza kupambana na vikwazo.
Sasa Huawei imeanza kupoteza hata ile miradi na mikataba iliyokua imepata ya kufunga mitambo ya 5G. Uingereza iliipa Huawei ila sasa imebadilisha msimamo, inategemewa hivyo hivyo kwa Hispania, na nchi kadhaa kubwa Ulaya kujiondoa kwenye mikataba na Huawei.
Uingereza inasema ni kwa sababu ya vikwazo vipya vinavyotegemewa kutangazwa September, Huawei haitakua na uwezo wowote wa hata kuzalisha vifaa vinavyohitajika sio kwa 5G wala kwa simu zake zote kwa sababu haitakua na uwezo wa kutengeneza chip yake ya Krin.
Sababu ni moja kubwa, teknolojia ya kisasa zaidi inayotumika kuzalisha vifaa vya 5G au chip za simu 90% ina mkono wa Marekani. Kwa sasa Huawei hupata baadhi ya teknolojia kwa kibali maalumu cha serikali ya Marekani. Inategemewa kuanzia September hali inaweza kua mbaya zaidi kwa Huawei.
Marekani imebadilisha tuhuma kwa Huawei kua ni tawi la jeshi la China hivyo itakabiliwa na vikwazo vyote vinavyohusu jeshi la China.
Why Huawei's days in the UK could be numbered
Ni rahisi tu. Subiri utaona majibu yake.Mkuu too late too little
Huawei is here tyo stay
Just look:-
wao wapo Busy na 5G kuuza, marekani yuko busy anafanya research ya 5G.
China yuko lab anamalizia research ya 6G.
Hivi unampotezaje huyu ?