Marekani imetuma Wanajeshi 4,000 nchini Israel

Marekani imetuma Wanajeshi 4,000 nchini Israel

Ushapata pakupiga maokoto utoke uende wapi..? Na wanatoka coz kaz zao tuna tumia bidhaa zao.
Basi mkuu tuseme kuwa hao matajiri watasikilizana na serikali ya USA ila sio KUIENDESHA KIULAZIMA serikali ya USA.
Unamkumbuka John Rockefeller!?
Alikua tajiri mkubwa wa kiyahudi pale USA kiasi anashindana na serikali,ila serikali ya Washington ilivyomshusha na kumpukutisha hakuamini.
Kuna pesa na kuna mamlaka kaka ni vitu viwili tofauti.
 
Basi mkuu tuseme kuwa hao matajiri watasikilizana na serikali ya USA ila sio KUIENDESHA KIULAZIMA serikali ya USA.
Unamkumbuka John Rockefeller!?
Alikua tajiri mkubwa wa kiyahudi pale USA kiasi anashindana na serikali,ila serikali ya Washington ilivyomshusha na kumpukutisha hakuamini.
Kuna pesa na kuna mamlaka kaka ni vitu viwili tofauti.
Kweli. Sema matajiri sometimes wakisimamia lao mzee kwa pamoja wanatuongoza. Ila namlaka n mwisho
 
Hivi nyie hamueleweki si mnasemaga iran anamuweza marekani sa wasiwasi uko wapi si ndo iran akawabonde wote Israel marekani na nato wake wote au vp...
Iran angekuwa na huo uwezo asingekuwa analilia vikwazo alivyowekewa na Marekani.
 
Ndio maana nasema NAONGEA NA TUTUSA WA STORI ZA VIJIWENI.
-Malaysia na Indonesia uwekezaji wao mkubwa ni ushirika wa China na Qatar.Nimezifuatilia vema hizi nchi.
Wachina na Qatar pale wamefanya massive investments tena sio mchezo.
-China uchumi wake ni closed economy nikimaanisha sekta nyingi za uchumi zinamilikiwa na serikali.
90% ya viwanda vya China ni government owned ama government subsidies.Mwaka 1992 China inafanya mageuzi ya uchumi ilijenga viwanda takriban elfu 45 vyote ni state owned industries.Ndio maana HAKUNA kitu USA atafanya cha kumuangusha China.Refer trade war ya 2018,hivi unajua malipizo ya US kui ban Google isitumike na Huawei kuliiletea sana madhara USA ya kiuchumi!?
Rare earth metals 80% zinazalishwa China,China alipiga ban zisiingie USA,vipuli na ghafi nyingi za boti na vyuma USA anatoa China kwa cheap price,China alipiga ban visiende USA.Viwanda vingi vilipunguza uzalishaji hapo USA kwa kukosa malighafi kutoka China.
Na USA amewekeza China kwasababu China kuna soko kubwa kulingana na population ya China pia kubwa zaidi China kuna highly skilled labours ambao ni cheap in salary.
USA akijifanya afunge uwekezaji wake China hivyo viwanda na uwekezaji mwingine vyote vitahodhiwa na serikali ya China na kumletea yeye ushindani zaidi.
Mbona hatukuwaona hao Rothschild family kuiokoa USA na Kuikandamiza China!?
Hivi unajua kama China ana deni kwa USA la zaidi ya $3.6 trillions la treasury bill!??
Unajua hiyo ina nguvu gani kiuchumi kwa China na hasara gani kiuchumi kwa USA!!??
Mbona hiyo Rothschild family haikuja na kuiokoa USA dhidi ya hilo deni na kuiacha salama!?

Muda mwingine ndugu zanguni mukae muchunguze mambo kabla hamjamezeshana vichekesho huko vijiweni.
Bro uwe unaongea haya Mambo na watu wa kijiweni kwenu mkuu. Nitakutolea mfano mdogo tu labda utaelewa. Mi nauza viatu na vitu vingi kama aina tano tofauti so ukienda viwandan china acha madukan wanadeal na quantity sio aina na unakuta mzungu mmoja aweka order za pea million 40 ana duka kila mtaa kwenye miji mikubwa huko dunian. So unakuta mchina ukiacha kuiba teknolojia wanawategemea sana wamarekan kununua bidhaa zao. so mwaka 2007 kuelekea uchaguz Benki ya nyumba ya marekani ilifilisika iibid mchina awakopeshe Bure ili waje kuchukua mizigo viwandan mwake ili viwanda viendelee kufanya kaz ili kulinda ajira. So ninachoweza kukusaidia mchina anamtegemea sana mzungu kwenye biashara kuliko jamii yeyote. Ukienda viwandan ndio utajua. Mi uwezo wangu pcs elfu 40 mchina kwake wewe ni chinga.
 
Bro uwe unaongea haya Mambo na watu wa kijiweni kwenu mkuu. Nitakutolea mfano mdogo tu labda utaelewa. Mi nauza viatu na vitu vingi kama aina tano tofauti so ukienda viwandan china acha madukan wanadeal na quantity sio aina na unakuta mzungu mmoja aweka order za pea million 40 ana duka kila mtaa kwenye miji mikubwa huko dunian. So unakuta mchina ukiacha kuiba teknolojia wanawategemea sana wamarekan kununua bidhaa zao. so mwaka 2007 kuelekea uchaguz Benki ya nyumba ya marekani ilifilisika iibid mchina awakopeshe Bure ili waje kuchukua mizigo viwandan mwake ili viwanda viendelee kufanya kaz ili kulinda ajira. So ninachoweza kukusaidia mchina anamtegemea sana mzungu kwenye biashara kuliko jamii yeyote. Ukienda viwandan ndio utajua. Mi uwezo wangu pcs elfu 40 mchina kwake wewe ni chinga.
Umeongea kiwepesi sana.
Ingelikua mchina anategemea mzungu basi trade war ingem favor USA ila sio China.
China imeshapanuka kisoko haitegemei mzungu peke yake.
Umetoa mfano hafifu dhaifu sana ambao hauna hata mantiki.
Toa mifano hai.
Kwasababu wateja wa juu wa China sio Westerners tu hata waarabu pia ni wateja wakubwa wa bidhaa za aina zote za China.
 
Ndio maana nasema NAONGEA NA TUTUSA WA STORI ZA VIJIWENI.
-Malaysia na Indonesia uwekezaji wao mkubwa ni ushirika wa China na Qatar.Nimezifuatilia vema hizi nchi.
Wachina na Qatar pale wamefanya massive investments tena sio mchezo.
-China uchumi wake ni closed economy nikimaanisha sekta nyingi za uchumi zinamilikiwa na serikali.
90% ya viwanda vya China ni government owned ama government subsidies.Mwaka 1992 China inafanya mageuzi ya uchumi ilijenga viwanda takriban elfu 45 vyote ni state owned industries.Ndio maana HAKUNA kitu USA atafanya cha kumuangusha China.Refer trade war ya 2018,hivi unajua malipizo ya US kui ban Google isitumike na Huawei kuliiletea sana madhara USA ya kiuchumi!?
Rare earth metals 80% zinazalishwa China,China alipiga ban zisiingie USA,vipuli na ghafi nyingi za boti na vyuma USA anatoa China kwa cheap price,China alipiga ban visiende USA.Viwanda vingi vilipunguza uzalishaji hapo USA kwa kukosa malighafi kutoka China.
Na USA amewekeza China kwasababu China kuna soko kubwa kulingana na population ya China pia kubwa zaidi China kuna highly skilled labours ambao ni cheap in salary.
USA akijifanya afunge uwekezaji wake China hivyo viwanda na uwekezaji mwingine vyote vitahodhiwa na serikali ya China na kumletea yeye ushindani zaidi.
Mbona hatukuwaona hao Rothschild family kuiokoa USA na Kuikandamiza China!?
Hivi unajua kama China ana deni kwa USA la zaidi ya $3.6 trillions la treasury bill!??
Unajua hiyo ina nguvu gani kiuchumi kwa China na hasara gani kiuchumi kwa USA!!??
Mbona hiyo Rothschild family haikuja na kuiokoa USA dhidi ya hilo deni na kuiacha salama!?

Muda mwingine ndugu zanguni mukae muchunguze mambo kabla hamjamezeshana vichekesho huko vijiweni.
Acha kutupanga na maneno mengi
 
Umeongea kiwepesi sana.
Ingelikua mchina anategemea mzungu basi trade war ingem favor USA ila sio China.
China imeshapanuka kisoko haitegemei mzungu peke yake.
Umetoa mfano hafifu dhaifu sana ambao hauna hata mantiki.
Toa mifano hai.
Kwasababu wateja wa juu wa China sio Westerners tu hata waarabu pia ni wateja wakubwa wa bidhaa za aina zote za China.
Bro mi nafanya biashara china miaka 25 sasa hiv. Na nadeal na viwanda so kwa mtu yeyote anaefanya kazi kama yangu anajua nachosema. Kwanza nenda soko la hisa pale Shanghai uangalie wawekezaji wengi china ni akina nani. Pili fuatilia trade ya biashara ya china kwa mwezi au mwaka uone mauzo yake makubwa anasafirisha kupeleka wapi ndio uje na hizo stor zako. Hiv ninavyoomgea na wewe china Corona iliwaumiza mbaya kabisa so viwanda vingi vimesimama ajira ni ngumu so wachina wameshusha gharama za kupata passport ili watu watoke nje kwenda kujaribu maisha. Kingine mchina anajaribu kuwavutia wawekezaji kwasasa kapunguza mashart kibao ili waliopo wasiondoke maana wamarekani wengi viwanda wanahamishia mexico Vietnam na India maana washanusa harufu ya vita pale Taiwan soon. Kwa yeyote anaefanya biashara akafika Vietnam anajua hili. So ni suala jepes tu nenda Google unaweza kuangalia uwekezaji wa mzungu hapo china. Kimsingi nilikuwa tulikuwa tunazungumzia how Jews run the world. Hapo ulipo ukitaka kununua chochote kutoka nje malipo lazima utumie USD code. Au hata kwenye simu yako. Ndio maana Bric's wanataka kuachana na huo mfumo ingawaje sio rahic kiivyo. Mrusi kajaribu kupiti rubble na RMB trade imeshindikana. Litawezekan huko mbelen ila sio leo na pia ukute mzungu wakat huo nae kalala.
 
Bro mi nafanya biashara china miaka 25 sasa hiv. Na nadeal na viwanda so kwa mtu yeyote anaefanya kazi kama yangu anajua nachosema. Kwanza nenda soko la hisa pale Shanghai uangalie wawekezaji wengi china ni akina nani. Pili fuatilia trade ya biashara ya china kwa mwezi au mwaka uone mauzo yake makubwa anasafirisha kupeleka wapi ndio uje na hizo stor zako. Hiv ninavyoomgea na wewe china Corona iliwaumiza mbaya kabisa so viwanda vingi vimesimama ajira ni ngumu so wachina wameshusha gharama za kupata passport ili watu watoke nje kwenda kujaribu maisha. Kingine mchina anajaribu kuwavutia wawekezaji kwasasa kapunguza mashart kibao ili waliopo wasiondoke maana wamarekani wengi viwanda wanahamishia mexico Vietnam na India maana washanusa harufu ya vita pale Taiwan soon. Kwa yeyote anaefanya biashara akafika Vietnam anajua hili. So ni suala jepes tu nenda Google unaweza kuangalia uwekezaji wa mzungu hapo china. Kimsingi nilikuwa tulikuwa tunazungumzia how Jews run the world. Hapo ulipo ukitaka kununua chochote kutoka nje malipo lazima utumie USD code. Au hata kwenye simu yako. Ndio maana Bric's wanataka kuachana na huo mfumo ingawaje sio rahic kiivyo. Mrusi kajaribu kupiti rubble na RMB trade imeshindikana. Litawezekan huko mbelen ila sio leo na pia ukute mzungu wakat huo nae kalala.
Kuhusu biashara hilo nitalifuatilia japo kiuhalisia kuna win win situation litapotokea jambo.
Ila kusema kuhusu hiyo Rothschild family ni CONSPIRACY still nitastick palepale.
Suala la dollarization halihusiani na Rothschild family.
Ingekuwa ndio hivyo basi matatizo yanayoikumba USA hiyo familia ingeiokoa USA isiangukie katika mikono ya mahasimu wake China.
 
Kuhusu biashara hilo nitalifuatilia japo kiuhalisia kuna win win situation litapotokea jambo.
Ila kusema kuhusu hiyo Rothschild family ni CONSPIRACY still nitastick palepale.
Suala la dollarization halihusiani na Rothschild family.
Ingekuwa ndio hivyo basi matatizo yanayoikumba USA hiyo familia ingeiokoa USA isiangukie katika mikono ya mahasimu wake China.
Google muda huu. Viwanda vyote vya kiume wazungu wamewekeza china. Kwanza wanafuata cheap Labor na idadi ya watu kisoko,
 
Google muda huu. Viwanda vyote vya kiume wazungu wamewekeza china. Kwanza wanafuata cheap Labor na idadi ya watu kisoko,
Hilo nalifahamu sababu ya viwanda vya Westerners na USA kuwekeza China.
Ila China asilimia vikubwa ya viwanda vyake ni government subsidies Mathalan Huawei,Oppo,BYD n.k n.k
China ina idadi kubwa sana ya viwanda ambavyo ni government owned/subsidies kuliko viwanda vya wawekezaji.
Point yangu ipo hapo.
China sio kama sisi wafanyabiashara wakisusa tunakufua na njaa.
 
Hilo nalifahamu sababu ya viwanda vya Westerners na USA kuwekeza China.
Ila China asilimia vikubwa ya viwanda vyake ni government subsidies Mathalan Huawei,Oppo,BYD n.k n.k
China ina idadi kubwa sana ya viwanda ambavyo ni government owned/subsidies kuliko viwanda vya wawekezaji.
Point yangu ipo hapo.
China sio kama sisi wafanyabiashara wakisusa tunakufua na njaa.
Hakuna raia wengi tu wana viwanda mzee serikali inamiliki njia kuu za uchumi tu kama sera, reli, miundombinu nk, lakini viwanda vingi tu vinamilikiwa na raia wa kawaida. Sema mfumo wa utawala wa china ni tofauti na wa kibepari china wanaongozwa na sheria za china. Mi nina washikaji wengi tu wanamiliki viwanda ninakonunua mizigo. Kingine ni kuwa hata kwa nchi kama marekani Japan Korea nk. Mtu binafs ukianzisha kiwanda kikishakuwa maarufu dunian na kutoa ajira nyingi au kuleta fedha nyingi za kigen kuna namna serikali zinachukua kama assets ya taifa japo unaimiliki wewe. Ukienda China leo ni tofauti sana. Hata ukienda mmbongo unaweza kuanzisha kiwanda ni wewe tu sema utatakiwa uishi sheria za china. Hata kama hela ni yako kwanza inatakiwa ijue sheria zao.
 
Hakuna raia wengi tu wana viwanda mzee serikali inamiliki njia kuu za uchumi tu kama sera, reli, miundombinu nk, lakini viwanda vingi tu vinamilikiwa na raia wa kawaida. Sema mfumo wa utawala wa china ni tofauti na wa kibepari china wanaongozwa na sheria za china. Mi nina washikaji wengi tu wanamiliki viwanda ninakonunua mizigo. Kingine ni kuwa hata kwa nchi kama marekani Japan Korea nk. Mtu binafs ukianzisha kiwanda kikishakuwa maarufu dunian na kutoa ajira nyingi au kuleta fedha nyingi za kigen kuna namna serikali zinachukua kama assets ya taifa japo unaimiliki wewe. Ukienda China leo ni tofauti sana. Hata ukienda mmbongo unaweza kuanzisha kiwanda ni wewe tu sema utatakiwa uishi sheria za china. Hata kama hela ni yako kwanza inatakiwa ijue sheria zao.
Basi ndiyo hivyo mkuu.
 
Back
Top Bottom