KAKA YULE
JF-Expert Member
- May 2, 2024
- 275
- 478
Tunazipata hapa duniani. Ukibisha ni kobaz tuHizi kauli huwa mnazipata wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunazipata hapa duniani. Ukibisha ni kobaz tuHizi kauli huwa mnazipata wapi?
Tunazipata hapa duniani. Ukibisha ni kobaz tu
Sasa umejibu nn nje ya kile nimewasilisha. .?Acha kudanganya Watu,historically IRISHMEN ndio wamejenga USA kuwa pale ilipo.
Hao wayahudi wako walikuja kunufaika kwa kuunda biashara ambazo zimekua kwa MISINGI NA MIFUMO BORA iliyojengwa na IRISHMEN.
Fuatilieni mambo msidanganye Watu.
Tunazipata hapa duniani. Ukibisha ni kobaz tu
Rejelea ulichoandika mkuu.Sasa umejibu nn nje ya kile nimewasilisha. .?
Hakuna haja ya kurejea. Ukishikilia uchumi/biashara kubwa za kitechnolojia kipi kitasalia hapo..?Rejelea ulichoandika mkuu.
Unaamini uchumi wa USA unaegemea hivyo tu??Hakuna haja ya kurejea. Ukishikilia uchumi/biashara kubwa za kitechnolojia kipi kitasalia hapo..?
Wanataman..? Tuongee waliopoUnaamini uchumi wa USA unaegemea hivyo tu??
Hivi unajua kama China wanatamani watie mikono katika sekta nyingi za kiuchumi hapo USA!?
Nendeni shule siyo kuangalia movie huyo israel alifanikiwa kitu gani kwenye dunia cha kuonyesha yeye ana nguvu? Au kuhangaika na mgambo kwa zaidi ya miaka 40 pamoja na kuishi kwa kutegemea misaada kutoka kwa magharibiBila myahudi hakuna taifa kubwa na lenye power kijeshi
Hahaha siku zote mbona wapo nawanaliwa na Missiles na Risasi, labda wale alio pekeka mwanzo walisha malizwa.Muda huu Marekani imetuma Wanajeshi 4,000 nchini Israel
BREAKING: The U.S. has sent 12 warships, including the USS Theodore Roosevelt, with over 4,000 Marines and sailors to the Middle East!
A senior Pentagon official confirms.
Kumbe naongea na kilaza. Ushawah kuona soko la hisa la Malay au Indonesia au hata uwekezaji mwingi unatoka wap. China kwenyewe na jeur yao wawekezaji wakubwa ni hao wamarekan. Hawa jamaa mifumo yote ya uchumi wameshikilia. Dollar inaendesha kila kitu code zao. Ukitaka kulipia mzigo china kupitia benki leo zinapita kwenye mifumo yao utawakwepea wapi weweHizo unazozisemea wewe zote nilisoma hakuna jipya hapo zaidi ya CONSPIRACY.
-Qatar haijakubaliana na USA mbona haijapatwa na kitu!?
-Malaysia mbona haijakubaliana na USA na inaendelea!?
-Indonesia mbona haijakubaliana na USA na inaendelea!?
-Nchi za ASIA PACIFIC zina utajiri mkubwa wa gesi na mbona ziliamua kuchagua upande wa China na hazijaharibiwa popote!?
Suala la middle east lina uwanda mpana,kwasababu pale sio tu USA hata Western powers pia walipatikia macho toka miaka ya nyuma.
Ila suala la Israel kuwepo pale ni kwasababu pale ni nyumbani kwake.
Myahudi kazaliwa middle east we ulitaka aende wapi!??
Ilaa mzayuni ndio amefanya myahudi aonekane mbaya.
Iran inapambana sio tu na American influence bali Western influence kiujumla.
mmarekan na mrusi wapo kwaajili kuchek balance of power , mrusi kapeleka makombora iran mmarekan kapeleka mimanowari na makomando 4000 api ni moscow vs washington huku hisbollah na idf wakiendelea kunyeshana makaliBila Marekani myahudi ni mwepesi sana
Washambulie sasa ...Naona mkwara wa Ayatolah umejibiwa.
Bila Marekani myahudi ni mwepesi sana
Hofu yangu ni wale bikira 72 kwa kila shahidi watatosha!!!! Au baadhi ya maiti za revolutionary guards zitakosaNaona mkwara wa Ayatolah umejibiwa.
Hao waliopo mkuu hawana pa kutamba zaidi ya hapo USA.Wanataman..? Tuongee waliopo
Ndio maana nasema NAONGEA NA TUTUSA WA STORI ZA VIJIWENI.Kumbe naongea na kilaza. Ushawah kuona soko la hisa la Malay au Indonesia au hata uwekezaji mwingi unatoka wap. China kwenyewe na jeur yao wawekezaji wakubwa ni hao wamarekan. Hawa jamaa mifumo yote ya uchumi wameshikilia. Dollar inaendesha kila kitu code zao. Ukitaka kulipia mzigo china kupitia benki leo zinapita kwenye mifumo yao utawakwepea wapi wewe
Ushapata pakupiga maokoto utoke uende wapi..? Na wanatoka coz kaz zao tuna tumia bidhaa zao.Hao waliopo mkuu hawana pa kutamba zaidi ya hapo USA.
Na pia wana good government support ndio maana wanainuka.
Sasa watoke hapo kama wajanja uone kama wataendelea kama walivyoendelea hapo USA.