Marekani imetuma Wanajeshi 4,000 nchini Israel

Marekani imetuma Wanajeshi 4,000 nchini Israel

Basi ugomvi wangu mimi na huyo ni kudai kuwa USA imesimamishwa na wayahudi kiuchumi na pia asilimia 70 ya raia wa Marekani ni wayahudi.
Hizo ndizo nilizozikataa mimi.
Misingi ya kukua USA haikujengwa na myahudi.Japo ukuaji wa kibiashara na technology myahudi kahusika ila foundation is not him.
Fact.

Misingi ya USA ilianzia kwa Wafaransa wa Paris. Unaweza kusema kama sio Mfaransa kumdhoofisha Muingereza basi Mmarekani asingepata Uhuru in mid 1770's

Labda angekuja kupata uhuru miaka tuliopata sisi Waafrika na India tena kwa jasho na damu
 
Fact.

Misingi ya USA ilianzia kwa Wafaransa wa Paris. Unaweza kusema kama sio Mfaransa kumdhoofisha Muingereza basi Mmarekani asingepata Uhuru in mid 1770's

Labda angekuja kupata uhuru miaka tuliopata sisi Waafrika na India kwa jasho na damu
Hapo sawa ila hili la France mkuu ndio jipya nalisikia.
 
Fact.

Misingi ya USA ilianzia kwa Wafaransa wa Paris. Unaweza kusema kama sio Mfaransa kumdhoofisha Muingereza basi Mmarekani asingepata Uhuru in mid 1770's

Labda angekuja kupata uhuru miaka tuliopata sisi Waafrika na India tena kwa jasho na damu
native americans wakaja kuwekewa zengwe miaka ipi mkuu?
 
Bila Marekani myahudi ni mwepesi sana
Kinacho matter ni mtu kuomba poo. Haijalishi allies ni kina nani. Game likiisha ndo watajadiliana. Lakini kwa sasa tulia zichapwe kwanza.
 
Full combat, full scale war, battle field, ballistic missiles, war tanks, bullets, drones, hizi ndio baadhi ya lugha itayoanza kusikika huko mashariki ya kati
Ni dhahiri kabisa. Kwa wale vijana wabongo hiyo sasa ndo fursa babu kubwa waache kulialia na Ajira za Polisi, JW na Magereza. Wajiandae tu hakuna cha kujaza Ajira portal cjui nini nini.
 
Aaaagh wapi.
Hao wanajeshi buku nne sawa na bei ya kunywea supu ya kuku hawatatisha lolote.
Ile dozi ya makombora 300 itaongezeka,pia kule kaskazini Galilaya Wazayuni hamisheni hadi kuku na bata maana Hizbollah ikishaanua matanga ya msiba kazi mnayo.
Hawa waarabu wakae kimya tu wasikilize wakubwa wanataka nini alafu wajadiliane kwenye meza ya mazungumzo lakini Kwa itikadi ya jino Kwa jino vinginevyo watakuwa wanapiga hatua kimaendeleo alafu wanarudi hatua kumi nyuma.
 
Hawa waarabu wakae kimya tu wasikilize wakubwa wanataka nini alafu wajadiliane kwenye meza ya mazungumzo lakini Kwa itikadi ya jino Kwa jino vinginevyo watakuwa wanapiga hatua kimaendeleo alafu wanarudi hatua kumi nyuma.
Hujakosea mkuu ila majadiliano yameonekana kutokufanya kazi.
 
Aaaagh wapi.
Hao wanajeshi buku nne sawa na bei ya kunywea supu ya kuku hawatatisha lolote.
Ile dozi ya makombora 300 itaongezeka,pia kule kaskazini Galilaya Wazayuni hamisheni hadi kuku na bata maana Hizbollah ikishaanua matanga ya msiba kazi mnayo.
Mwarabu wa Tinde umenena
 
Hujakosea mkuu ila majadiliano yameonekana kutokufanya kazi.
Kanuni ni moja ya mfalme wa Amani alisema hivi "akupigaye shavu la kushoto mgeuzie na lakulia" hii principal ambayo kama ingetumiwa na haya mataifa ya hapo middle east mangetulia tuli kama maji ya mtungi sasa problem NI kwamba kila moja hataki aonekane mnyonge jino Kwa jino upanga Kwa upanga na sababu hii migogoro ina mizizi ya kidini Karne na karne hivyo ndio maana Israel anajua hata siku moja hawataweza kukaa pamoja na negotiate kwa jambo lolote kwa maana wamesha mlebo yeye kama adui wao namba moja ,so under this situation what are you expecting for Israel to do is to kueliminate yeyote anaye taka kumchezea sharubu.
 
Israhell imepigana namataifa yote ya kiarabu kwa siku sita ila mwaka sasa wanashindwa kupoa mateka
Naona mungu wao kaacha kuwalinda kawaajiri wamarekani wamlinde
Israhell yakwenye media inamaguvu sana kuliko hii ya asili
 
Kanuni ni moja ya mfalme wa Amani alisema hivi "akupigaye shavu la kushoto mgeuzie na lakulia" hii principal ambayo kama ingetumiwa na haya mataifa ya hapo middle east mangetulia tuli kama maji ya mtungi sasa problem NI kwamba kila moja hataki aonekane mnyonge jino Kwa jino upanga Kwa upanga na sababu hii migogoro ina mizizi ya kidini Karne na karne hivyo ndio maana Israel anajua hata siku moja hawataweza kukaa pamoja na negotiate kwa jambo lolote kwa maana wamesha mlebo yeye kama adui wao namba moja ,so under this situation what are you expecting for Israel to do is to kueliminate yeyote anaye taka kumchezea sharubu.
Tokea 1948 waarabu walienda UN na Washington wakiomba negotiations ila hawakuwahi kusikilizwa mkuu hata siku moja.
Mwisho mwaka jana vilikalika vikao vingi ila hakuna anayetaka kuwasikiliza.
It means wenyewe Israel wanaendekeza uadui na wao waarabu hawana namna isipokua kumlipa kwa kila ubaya atakaowafanyia.
Ndio maana kamwe Israel nayo haitakaa ikawa na amani.
 
Tokea 1948 waarabu walienda UN na Washington wakiomba negotiations ila hawakuwahi kusikilizwa mkuu hata siku moja.
Mwisho mwaka jana vilikalika vikao vingi ila hakuna anayetaka kuwasikiliza.
It means wenyewe Israel wanaendekeza uadui na wao waarabu hawana namna isipokua kumlipa kwa kila ubaya atakaowafanyia.
Ndio maana kamwe Israel nayo haitakaa ikawa na amani.
Israhell haielewi meza yamazungumzo daima dawamu mpaka ipigwe
Njia pekee yakudeal na wazayuni wavamizi ni bakora tuuu
 
Israhell imepigana namataifa yote ya kiarabu kwa siku sita ila mwaka sasa wanashindwa kupoa mateka
Naona mungu wao kaacha kuwalinda kawaajiri wamarekani wamlinde
Israhell yakwenye media inamaguvu sana kuliko hii ya asili
Sawa mzikeni huyo Gaidi wenu afu mje mrushe barudi kama kawaida yenu,ila moto ukiwawakia msikililie kusema anaua watoto na akina mama
 
Back
Top Bottom