Marekani imetuma Wanajeshi 4,000 nchini Israel

Marekani imetuma Wanajeshi 4,000 nchini Israel

We kuku, elewa ķupigana na myahidi ni sawa na kupigana na Dunia- maana wamesambaa kote hata hapa Africa wapo kibao.
nguruwe wewe ndo unajua hivyo lkn iran na hamas wao wanachojua hao ni machoko yanatakiwa yapigwe yapotee duniani
 
Haya maneno tumeanza yaongea muda sana jamaa wanajigongea tu. Walimuua mpaka msaidizi wa hayatollah hawa manyang'au.
Nakwambia hivi kaulize USA na Iraq 1980-1988 kwanini walishindwa vita walipovamia Iran!?
Nasubiri jibu.
 
Hivi nyie hamueleweki si mnasemaga iran anamuweza marekani sa wasiwasi uko wapi si ndo iran akawabonde wote Israel marekani na nato wake wote au vp...
nani kakwambia ana wasi wasi?iran washasema wazi wazi kisasi cha ki historia kitalipwa na waungane hao mashoga
 
Inategemeana Israel asilimia kubwa wapo mareken na wanafanya kazi sekta nyeti sana na mungu amewapa uwezo sana hasa upande wa kutengeneza silaya na maabar
 
Bila shaka umeshapiga supu yako ya buku 4 hapo.
Believe it mkuu sawa nimeshiba supu ila malaria haijapanda kichwani kama mzee wa CHADEMA😂😂.
Mufti wa Oman alisema ni haramu kwa muislam kumuona muislam mwenzake anauawa pasi na yeye kufanya kitu.
Akilizungumzia hili baada ya Israel kushambulia Hodeidah Yemeni.
Embu chukuliwa picha viongozi wa dini wakishikilia hili na kulipazia sauti.
 
Muda huu Marekani imetuma Wanajeshi 4,000 nchini Israel

BREAKING: The U.S. has sent 12 warships, including the USS Theodore Roosevelt, with over 4,000 Marines and sailors to the Middle East!

A senior Pentagon official confirms.

Huyo Rais wa Iran akicheza anamfata mwenzake sasa hivi wale wa yahudi wanapiganiwa na Mungu
 
Hiki ndio namaanisha na huenda pentagon na TEL Aviv walishakuwa na hii plan wakatafuta namna ya kumzuia Russia asiingie kama alivyoingia Syria
True. Na ndio maana mmarekani kampelekea Ukraine leo ndege alizoahidiwa baada ya muda mrefu wa kusubiri.
 
Kama vita ikitokea Israel itaumia zaidi.
Maana itakua ni religious war kitu ambacho USA hatoweza kuingilia.
Vita ilishatokea mara nyingi na haikuwahi kuwa religious war.Na kama itakuwa religious war basi waarabu watamgeuka Mshia kwa kigezo cha u sunni
 
Acha kudanganya Watu,historically IRISHMEN ndio wamejenga USA kuwa pale ilipo.
Hao wayahudi wako walikuja kunufaika kwa kuunda biashara ambazo zimekua kwa MISINGI NA MIFUMO BORA iliyojengwa na IRISHMEN.
Fuatilieni mambo msidanganye Watu.
Irish Men au watu wa Irish Ancentry wapo Carlifornia kwa asilimia 70% na New Hampshire wapo kwa 20%

Namba ya Jews Ancentry waliopo U.S.A ni kubwa sana na wanamiliki Uchumi mkubwa wa Marekani hasa katika Technology Field kwa karne nyingi

Hawa waliwatangulia watu kutoka visiwa vya British Isles ambao ni pamoja na Irish na Scotish Men

Unachotaka kubisha ni kipi?
 
Believe it mkuu sawa nimeshiba supu ila malaria haijapanda kichwani kama mzee wa CHADEMA😂😂.
Mufti wa Oman alisema ni haramu kwa muislam kumuona muislam mwenzake anauawa pasi na yeye kufanya kitu.
Akilizungumzia hili baada ya Israel kushambulia Hodeidah Yemeni.
Embu chukuliwa picha viongozi wa dini wakishikilia hili na kulipazia sauti.
Viongozi wa dini? 😅😅
Serikali ndio inamiliki jeshi, na nchi nyingi za kiarabu serikali zao zimekuwa vibaraka wa Israel thru USA
 
Back
Top Bottom