Huwez kujua maana we uko dunia ya tatu. Fanya tafit Hollywood CNN au mavyuo makubwa yote utakuja kugundua hawa jamaa walizama kwenye project kubwa miaka mingi kuanzia elimu burudan sanaa michezo siasa nknk. Kuna ulimwengu mwingine tunaishi nao wewe huwez kuuona. Ndio maana ya wenye nchi na wananchi. Jiulize mbona kila penye mafuta dhahabu au gesi usipokubaliana nao kuna vita. Unafikiri hao waarabu hapo Middle East wanaipenda Israel. Watafanyaje sasa jamaa kashikilia mshipa mkubwa wa moyo. Jews run the world bro. Na ndio vita yao na Iran hataki kukubaliana nao. Iraki ilikuwa ishakalishwa baada ya kumuondoa mzee Hussein.