Marekani imetuma Wanajeshi 4,000 nchini Israel

Marekani imetuma Wanajeshi 4,000 nchini Israel

Hizi kauli za Rostchild family ni STUPID CONSPIRACY ambazo kijana asiyeweza kufikiria out of box ndio anaweza akaziamini.
😂😂😂😂Vijana wa siku hizi AISEE kwa kumezeshwa ujinga.
Huwez kujua maana we uko dunia ya tatu. Fanya tafit Hollywood CNN au mavyuo makubwa yote utakuja kugundua hawa jamaa walizama kwenye project kubwa miaka mingi kuanzia elimu burudan sanaa michezo siasa nknk. Kuna ulimwengu mwingine tunaishi nao wewe huwez kuuona. Ndio maana ya wenye nchi na wananchi. Jiulize mbona kila penye mafuta dhahabu au gesi usipokubaliana nao kuna vita. Unafikiri hao waarabu hapo Middle East wanaipenda Israel. Watafanyaje sasa jamaa kashikilia mshipa mkubwa wa moyo. Jews run the world bro. Na ndio vita yao na Iran hataki kukubaliana nao. Iraki ilikuwa ishakalishwa baada ya kumuondoa mzee Hussein.
 
Huwez kujua maana we uko dunia ya tatu. Fanya tafit Hollywood CNN au mavyuo makubwa yote utakuja kugundua hawa jamaa walizama kwenye project kubwa miaka mingi kuanzia elimu burudan sanaa michezo siasa nknk. Kuna ulimwengu mwingine tunaishi nao wewe huwez kuuona. Ndio maana ya wenye nchi na wananchi. Jiulize mbona kila penye mafuta dhahabu au gesi usipokubaliana nao kuna vita. Unafikiri hao waarabu hapo Middle East wanaipenda Israel. Watafanyaje sasa jamaa kashikilia mshipa mkubwa wa moyo. Jews run the world bro. Na ndio vita yao na Iran hataki kukubaliana nao. Iraki ilikuwa ishakalishwa baada ya kumuondoa mzee Hussein.
Hizo unazozisemea wewe zote nilisoma hakuna jipya hapo zaidi ya CONSPIRACY.
-Qatar haijakubaliana na USA mbona haijapatwa na kitu!?
-Malaysia mbona haijakubaliana na USA na inaendelea!?
-Indonesia mbona haijakubaliana na USA na inaendelea!?
-Nchi za ASIA PACIFIC zina utajiri mkubwa wa gesi na mbona ziliamua kuchagua upande wa China na hazijaharibiwa popote!?

Suala la middle east lina uwanda mpana,kwasababu pale sio tu USA hata Western powers pia walipatikia macho toka miaka ya nyuma.
Ila suala la Israel kuwepo pale ni kwasababu pale ni nyumbani kwake.
Myahudi kazaliwa middle east we ulitaka aende wapi!??
Ilaa mzayuni ndio amefanya myahudi aonekane mbaya.
Iran inapambana sio tu na American influence bali Western influence kiujumla.
 
Aaaagh wapi.
Hao wanajeshi buku nne sawa na bei ya kunywea supu ya kuku hawatatisha lolote.
Ile dozi ya makombora 300 itaongezeka,pia kule kaskazini Galilaya Wazayuni hamisheni hadi kuku na Bata maana Hizbollah ikishaanua matanga ya msiba kazi mnayo.
Haya maneno tulianza ongea kitambo sana. Wao naona wanagonga tu
 
Iran na makundi yake ya kigaidi - his days are numbered.
 
Haya maneno tulianza ongea kitambo sana. Wao naona wanagonga tu
Iran sio Syria au Palestina.
Uliza USA na Iraq 1980-1988 walipoivamia with full out force na wakashindwa vita.
Unadhani Iran ni wepesi wepesi!?
Miaka 45 mpaka sasa USA kaishindwa hiyo nchi.
Kaa jidanganye.
 
Burundi impige Israel? Matumizi mabaya ya bando lako.
Usishangae bwana kwani hayo ndio madhara ya kugonga kichwa chini mara kwa mara kwa muda mrefu lazima utapata mental derangement syndrome.
 
Kama hujui 70% ya wamarekani ni wayahidi...
tunachojua mmarekan ndiye anayemsaidia israel kama wanajiweza hao 70% wangerudi kwao kutetea nchi yao kule marekani wanafanya nini!!!
 
kabisa,nadhani mpk kesho germany,UK na NATO kiujumla watakuwa washatuma na wao ni muunganiko wa kupigana na Iran
Hivi nyie hamueleweki si mnasemaga iran anamuweza marekani sa wasiwasi uko wapi si ndo iran akawabonde wote Israel marekani na nato wake wote au vp...
 
Daah anaenda kupiga harafu anategemea ulinzi kutoka USA hii hata Tanzania wanaweza kutisha..
 
kabisa,nadhani mpk kesho germany,UK na NATO kiujumla watakuwa washatuma na wao ni muunganiko wa kupigana na Iran
We kuku, elewa ķupigana na myahidi ni sawa na kupigana na Dunia- maana wamesambaa kote hata hapa Africa wapo kibao.
 
Iran sio Syria au Palestina.
Uliza USA na Iraq 1980-1988 walipoivamia with full out force na wakashindwa vita.
Unadhani Iran ni wepesi wepesi!?
Miaka 45 mpaka sasa USA kaishindwa hiyo nchi.
Kaa jidanganye.
Haya maneno tumeanza yaongea muda sana jamaa wanajigongea tu. Walimuua mpaka msaidizi wa hayatollah hawa manyang'au.
 
Haya wakapigwe sasa iran naye si ana urusi, hezbolla, hamas, iraq kaz kwao sasa
hutakuja sikia kitu kama hicho waarabu washaamua ubaya ubwela,unganeni mashoga wote duniani ila lazma mchezeshewe dyudyu
 
Back
Top Bottom