Marekani inafikiria kuizuia China kutumia mfumo wa Dollar kwenye malipo yoyote yanayohusu Dollar ya Marekani

Marekani inafikiria kuizuia China kutumia mfumo wa Dollar kwenye malipo yoyote yanayohusu Dollar ya Marekani

Kiranga think beyond borders.
Next move itakua war! Ambapo USA hatakua front bali atauza silaha.
China atakua upande wake against USA proxies.

Uchina itatepeta na kunyong'onyea mbaya.
That is a totally separate extrapolation.

I was thinking beyond borders, in fact beyond the space time continuum the borders are in.

Wewe ndiye bado uko restricted kwenye thinking ya kwamba US bado ina na itaendelea kuwa na monopoly ya kuuza silaha, hata baada ya US dollar kuanguka kwa sababu ichumi wa dunia utaacha kuitegemea sana kama fedha ya kutumika katika biashara ya kimataifa.

Bado hujaelewa kwamba kitu kinachoifanya Marekani iwe na nguvu ni US dillar kutumika katika biashara za kimataifa? Hujaelewa kwamba hayo mambo mengine yote ya kuuza silaha ni secondary, kitu primary ni US dollar kutumika katika biashara za kimataifa?
 
Uhasimu wa U.S.A na China ni mpana sana zaidi ya hizi kelele tunazosikia kila siku.

Trump haamui mwenyewe, kuna vikao na majopo hukaa vikao kuzungumza haya tunayofanya soga humu.

Wengi hawakubaliani na maamuzi ya Trump mara kadhaa wa kadha LAKINI wawekezaji wakubwa(ulaya na Marekani) wana "interests" sawa sawa na Trump.

Mwathirika mkubwa wa hii vita ni China wala si Marekani. Wadau wengi humu tutabishana dollar na yuan ipi itatawala miaka 5 au 10 ijayo mathalani hatujui siri ya hizi vita.

Haijalishi sarafu ipi itamiliki mifumo ya kibiashara duniani bali wakina nani wataimiliki (ama wanamiliki). Hata leo wangesema MaxMalipo ndio itumiwe waamuzi wakuu ni wawekezaji na washirika wao.

Kuna "individuals" na "organisations", wana coalitions zao; wanao uwezo wa kubadilisha upepo wa uchumi duniani kwa maamuzi machache tu.
Huu ndio ukwel mkuu
 
Thamani ya dollar ya US, kwa sehemu kubwa, inatokana na ukweli kwamba dollar inatumika sana katika biashara ya kimataifa.

Siku watu wa dunia yote wakiacha kutumia US dollar, wakaweka treasury reserves zao kwa Chinese Yuan kwa mfano, na Mchina akanunua mafuta ya MSaudi kwa Yuan, US dillar itaanguka thamani vibaya sana.

Trump, kwa ukaidi au ujinga, anaiharakisha siku hii ya US dollar kuanguka.
Saudi ni mshirika wa....
 
Hiiv jaman ni kwamba sisi ambao tuko Tanzania na si ajab wengi hapa hata Amsterdam tuu hamja cross ndio tunajua zaid ya hawa wamarekan? Kwamba wao wakati wanaamua haya hawajafikiria hilo?

Kwa hio all major banks pale kuanzia BA, JP, Chase bank, Lehman Brothers, Citi Bank, including Federal reserve hawa woote hawajaona haya ni sisi tu tunaona hii impact.....narudia tena msemo wake "we have gat all options on the table" kwa hio mchina yeye baada ya hilo achague njia yake then ndio tutaanza kuona zile options sasa pale mezan
MKUU usitake kujitoa ufahamu maamuzi yaserikali yanawakilisha taifa na wanataifa(wananchi) ila wanaowawakilisha wananchi kama wananchi niwachache namaamuzi yao hayaangaliwi kama mmeyapenda ama laa ila yakiamuliwa ndio yanapitishwa kama yalivyo

US wakiluma waliandamana kwa punde tu baada ya US Kuiekea vikwazo UCHINA yakwamba wasinunue vitu toka kwa wakulima wa US ama kama wananunua basi wawe tayari UCHINA kulipia fedha zaidi WACHINA walipogoma kununua WAKULIMA wa US walilia lia ila kulia kwao kuliwasaidia nini ?!

(Maamuzi yaserikali bila yashaka yanawawakilisha wananchi ila sio kama wananchi wote ama wengi wanakua pamoja na hayo yalosemwa ila kwasababu serikali ina wawakilisha wananchi ndio hakuna namna)
... bila kusahau wale mabilionea wanaokutana pale Breton Woods kujadili uchumi wa dunia eti nao hawajawaza hilo na badala yake wamewaachia wauza kuku wa Tandale wadadavue mambo hayo kwa niaba yao! Ajabu sana Mkuu.
Hao mabilionea ndio serikali !?

Wao wanaweza wakawa wanaumia ila serikali ikishakuamua wao wanakua hawana maana yeyote zaidi yakutii amri yaserikali...
 
Rome was not built in a day, hutakiwi kutegemea mfumo mbadala ukue na ku replace hizo establishwd systems in 10 years.

Ila, Trump anaharakisha mifumo hii kupata kasi.

Kumzuia Mchina kutumia dollar settlement kwenye kitu kama Mastercard, Visa na SWIFT ni kama kumuambia "tunakufungia mifumo yetu, unalazimika kutengeneza mifumo yako".

Na Mchina ni mfanyabiashara mkubwa sana duniani. Unategemea ataacha kufanya biashara kwa sababu Mmarekani kamfungia kutumia Visa, Mastercard na SWIFT?

Atatunga mifumo yake na kuendelea kufanya kazi na Watanzania, WaSaudi, Wa Brazil etc, akim bypass Mmarekani.

Matokeo yake.

1. Benki na mifumo ya fedha ya Kimarekani itakisa share if these deals.

2. Mchina anaweza kushawishi nchi ziache kutumia US dollar kama reserves za treasury. Tayari Nigeria wameshaanza kuondoa sehemu ya treasury reserves zao kutoka US dollar kwenda Chinese Yuan tangu miaka kadhaa iliyopita. Hapa maana yake, Mchina akitaka kununua mafuta ya Nigeria anaweza sio tu kutumia mifumo ya kibenki ya Kichina na KiNigeria, bali pia, hata fedha anazotumia anaweza kutumia Chinese Yuan badala ya US dollar.

Ona hii article Nigeria ilianza kuweka treasury reserves kwenye Yuan tangu mwaka 2011.

West Africa Rising: Nigeria shifting currency reserves from dollars to Chinese yuan

Trump ana encourage Marekani iwe isolated zaidi. That is not good for business.
Nadharia yako iko sahihi kinadharia, ila uhalisia kutokea hili sio rahisi. Kwenye information technology bado teknolojia nyingi ni za US au washirika wake. Kutengeneza hizo chip like EMV or So unahitaji teknolojia ambazo kwa kiasi kikubwa ni za Marekani. So theoretically that can happen but practically... doubtful!
 
Unadhani hawakufikiria hilo? Ukiona Eais wa nchi yeyote katoa maamuzi kama hayo, ujue hakuamka tu akaenda kwenye mic. Kuna strategy na strategist!
Hata wakati wanaingia katika ya VIETNAM walikua na strategy na strategist ila mwisho wasiku walisema vita ile haikua nafaida kwao nandio ikawa sababu yawao kuikacha VIETNAM nakurejelea makwao
 
MKUU usitake kujitoa ufahamu maamuzi yaserikali yanawakilisha taifa na wanataifa(wananchi) ila wanaowawakilisha wananchi kama wananchi niwachache namaamuzi yao hayaangaliwi kama mmeyapenda ama laa ila yakiamuliwa ndio yanapitishwa kama yalivyo

US wakiluma waliandamana kwa punde tu baada ya US Kuiekea vikwazo UCHINA yakwamba wasinunue vitu toka kwa wakulima wa US ama kama wananunua basi wawe tayari UCHINA kulipia fedha zaidi WACHINA walipogoma kununua WAKULIMA wa US walilia lia ila kulia kwao kuliwasaidia nini ?!

(Maamuzi yaserikali bila yashaka yanawawakilisha wananchi ila sio kama wananchi wote ama wengi wanakua pamoja na hayo yalosemwa ila kwasababu serikali ina wawakilisha wananchi ndio hakuna namna) Hao mabilionea ndio serikali !?

Wao wanaweza wakawa wanaumia ila serikali ikishakuamua wao wanakua hawana maana yeyote zaidi yakutii amri yaserikali...
Baada ya wakulima kuandamana kuna kilichositishwa?
 
Saudi ni mshirika wa....
MKUU hata GERMAN nimshirika wa US ilalilipokuja suala zima la bomba lagesi la NORD STREAM kutokea RUSSIA kwenda GERMAN washirika wenzake wakubwa kabisa ambao ni US walijaribu kumshinikiza jamaa GERMAN kwamba watampelekea wao gesi aachane na NORS STREAM ila walichemka nahatimae UJENZI ukawa unaendelea kama kawaida

Kuna wakati watu wanaamua kuweka maslahi yao kwanza kuliko kitu chochote.
 
Baada ya wakulima kuandamana kuna kilichositishwa?
Lengo langu hapa sio kukuoneshwa kama jambo lilisitishwa ama laah

Lengo langu hapa lilikua nikama Kiranga kukuonesha yakwamba kuna baadhi ya maamuzi yanaweza yakachukuliwa na serikali yakawa yanawaumiza raia nakunufaisha serikali ila haina maana kama ndio matakwa yaraia


(Hakuna kilichosutishwa MKUU)
 
MKUU usitake kujitoa ufahamu maamuzi yaserikali yanawakilisha taifa na wanataifa(wananchi) ila wanaowawakilisha wananchi kama wananchi niwachache namaamuzi yao hayaangaliwi kama mmeyapenda ama laa ila yakiamuliwa ndio yanapitishwa kama yalivyo

US wakiluma waliandamana kwa punde tu baada ya US Kuiekea vikwazo UCHINA yakwamba wasinunue vitu toka kwa wakulima wa US ama kama wananunua basi wawe tayari UCHINA kulipia fedha zaidi WACHINA walipogoma kununua WAKULIMA wa US walilia lia ila kulia kwao kuliwasaidia nini ?!

(Maamuzi yaserikali bila yashaka yanawawakilisha wananchi ila sio kama wananchi wote ama wengi wanakua pamoja na hayo yalosemwa ila kwasababu serikali ina wawakilisha wananchi ndio hakuna namna) Hao mabilionea ndio serikali !?

Wao wanaweza wakawa wanaumia ila serikali ikishakuamua wao wanakua hawana maana yeyote zaidi yakutii amri yaserikali...
Wewe ndio huelew kitu ukisikia neno ma bilionair sio kama akina Bahresa hapa ni watu ambao wana mpaka security clearance level 3 kule sijui unaelewa, ni watu wanaomilika federal reserve, ni watu kama akina lehman brothers, ni watu wanaopanga nan awe rais ajae na akae muda gan na agenda yake iwe ipi akiwa madarakan, sasa rais wa namna huyo anampinga nani? Kasome kwa makin sana the soo called deep states nahis utaelewa naongelea nn
 
Nadharia yako iko sahihi kinadharia, ila uhalisia kutokea hili sio rahisi. Kwenye information technology bado teknolojia nyingi ni za US au washirika wake. Kutengeneza hizo chip like EMV or So unahitaji teknolojia ambazo kwa kiasi kikubwa ni za Marekani. So theoretically that can happen but practically... doubtful!
Hahaha MKUU kama umeona kinadharia inaweza ikawezekanika kwanini kiuhalisia ishindikane sasa ?!

Kila kitu ni mchakato tuu namaandalizi baas nakwakua UCHINA walishategemea kama baadae kitatokea kituko kama hiki tayar walishajiandaa kuikwepa dola wameuziana mafuta na IRAN kwanjia mbadala isiokua dollar IRAN waliuzianag mafuta na VENEZUELA kwaisiokua DOLLAR


Suala nimaandalizi tu juu yakila jambo MKUU
 
Watu gani wataiacha?
That is a hypothetical scenario.

Russia is already cutting ties with Mastercard and Visa.

Nimeweka link ya article Nigeria ilianza kuondoa treasury reserves za US dollar na kubadili some kwenda Chinese Yuan.

Granted, it could be nothing.

People have talked about the fall of the US dollar for like forever.

Ellen White predicted this in the 1800s. Peter Tosh sang about this in the 1970s, Fareed Zakariah wrote about some of this in the 2000s, the Euro was supposed to be the next big thing. And yet the dollar dtill reigns supreme, the US is a hegemon to reckon with, even if its position as a superpower is curbed and perturbed.

But, the larger point is, a president messing with the delicate balance of power that puts hus country at the top, like some ridiculous sanctions that are actually going to undermine the US dollar and American financial system aling with its standing internationally, is ageer madness.

If China says today, we are stopping using the US dollar and US based financial institutions for all of our business deals with a good number if countries that will be willingbto trade with us using the Chinese Yuan and using Chinese institutiins, a lot of countries will say yes. We are not joined at the hip with tye US, all we care about is trade.

The influence if the US will be reduced in these deals. Its institutiins will not be used. The US dollar will not be used. The US stands to be isolated in trade by a lot of countries that will not allow it to dictate how to trade.
 
Wewe ndio huelew kitu ukisikia neno ma bilionair sio kama akina Bahresa hapa ni watu ambao wana mpaka security clearance level 3 kule sijui unaelewa, ni watu wanaomilika federal reserve, ni watu kama akina lehman brothers, ni watu wanaopanga nan awe rais ajae na akae muda gan na agenda yake iwe ipi akiwa madarakan, sasa rais wa namna huyo anampinga nani? Kasome kwa makin sana the soo called deep states nahis utaelewa naongelea nn
Hahah ss MKUU unapotaka kuleta masuala ya deep state ambayo nayajua kwakuyasoma utakua unatoka nje yagmada

Tuiongelee serikali kama serikali ambayo inajulikana na jamii yakimataifa

Hio deep state inajulikana nanani kama sio kuyaendesha mambo yao wakiwa wamejificha huko hatakama kweli tufanye wapo nawanafanya mambo yao kama inavyoaminika

Tuiongelee serikali kama serikali ambayo ndio ICON yataifa kama taifa achana na deep state sababu wengine wanasema nihabari zakufikirika ambazo hazina uhalisia...
 
Lengo langu hapa sio kukuoneshwa kama jambo lilisitishwa ama laah

Lengo langu hapa lilikua nikama Kiranga kukuonesha yakwamba kuna baadhi ya maamuzi yanaweza yakachukuliwa na serikali yakawa yanawaumiza raia nakunufaisha serikali ila haina maana kama ndio matakwa yaraia


(Hakuna kilichosutishwa MKUU)
Unajua ndugu yangu kuna kitu kinaitwa strategis ethics, yaan kwenye kufikia malengo yaliowekwa serikal haingalii sana ni waathirika wangap watakuwepo wanaangalia linalofanyika lina maslah? Mfano hapa kwetu wakat nyumba za kimara mbez zinavunjwa hata mahakam walitoa stop order lakin kwan serikal ilisimama? Ni kwamba wanajua patakua na mlolongo, bomoa wachache watalia lakin ni kwa manufaa ya baadae na vizazi vijavyo
 
Lengo langu hapa sio kukuoneshwa kama jambo lilisitishwa ama laah

Lengo langu hapa lilikua nikama Kiranga kukuonesha yakwamba kuna baadhi ya maamuzi yanaweza yakachukuliwa na serikali yakawa yanawaumiza raia nakunufaisha serikali ila haina maana kama ndio matakwa yaraia


(Hakuna kilichosutishwa MKUU)
Unajua ndugu yangu kuna kitu kinaitwa strategis ethics, yaan kwenye kufikia malengo yaliowekwa serikal haingalii sana ni waathirika wangap watakuwepo wanaangalia linalofanyika lina maslah? Mfano hapa kwetu wakat nyumba za kimara mbez zinavunjwa hata mahakam walitoa stop order lakin kwan serikal ilisimama? Ni kwamba wanajua patakua na mlolongo, bomoa wachache watalia lakin ni kwa manufaa ya baadae na vizazi vijavyo.
 
Unajua ndugu yangu kuna kitu kinaitwa strategis ethics, yaan kwenye kufikia malengo yaliowekwa serikal haingalii sana ni waathirika wangap watakuwepo wanaangalia linalofanyika lina maslah? Mfano hapa kwetu wakat nyumba za kimara mbez zinavunjwa hata mahakam walitoa stop order lakin kwan serikal ilisimama? Ni kwamba wanajua patakua na mlolongo, bomoa wachache watalia lakin ni kwa manufaa ya baadae na vizazi vijavyo
MKUU tuachane namambo yahuko kwenu sababu tutatoka nje ya mada kwasababu MAHAKAMA nimuhimili mmoja unaoheshimika sana unaelewa kama MAHAKAMA ikisema kitu kisifanyike kisheria inatakiwa kisifanyike ama hujui hili ?!


Pia serikali yeyeote kama ipo tayar kuwaumiza RAIA wake bila huruma ili wafanikishe jambo fulani inakua inakengeuka misingi imara na thabiti namaana halisi yaserikali sababu serikali yataifa lolote ipo kwaajili yakulinda kutetea nakuyahakikishia mazingira salama na amani yataifa husika(ikumbukwe taifa linaundwa nawatu) saaa kama watu unawatilia ngumu inakuaje hii


Turudi kwenye mada.
 
Mmarekani uchumi wake upo hivi due to dollarization,naona Trump alijui hili mkuu!! Iwapo mfano Asia,Africa yote na ulaya wakawa wananunua na kuuza bidhaa with China in Yuan ,bila SWIFT kuwepo katikati .......asubuthuuu....
Tusichanganye mambo jamani. SWIFT ni mfumo tu wa mawasiliano ya kibenki na makao makuu yake yako Belgium sio USA. Hivyo transfers zinazohitaji clearing ya US Dollar ndiyo zitapitia USA. Lakini ziko clearing za currencies nyingine kama vile Euro na Stg Pounds. Na sasa Yuan inayo clearing system yake. Kumbukeni tu kuwa Yuan sasa hivi ni moja ya currency kubwa za dunia na kwenye composites ya Special Drawing Rights (SDR) Yuan ina occupy more than 10% ya weight ya SDR. Kama USA ataamua kuizuia China kutumia currency yake huo ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa USD duniani. Hesabu ndogo tu ni kwamba ili currency iwe na nguvu factors za uwezo wa kiuchumi wa nchi husika na mahitaji ya hiyo currency katika kufanya settlements ndio nguzo muhimu. China anazo sifa hizo. Mataifa mengi yanafanya biashara na China hivyo watu watahitaji tu Yuan kupata bidhaa kutoka China. Inatakiwa akili kubwa kuelewa consequences ya China kuacha kutumia USD.
 
Lazima watumie akili ya ziada,kuiadhibu China kwa mtindo huo kutaumiza uchumi wa dunia nzima,kwani China inategemewa na nchi nying sana kiuchumi,hata wenyewe Marekani itayumba kwa huo uamuzi...
Wewe mtalaam wa uchumi wa Tandale kwa Tumbo eti ndio unaelewa lkn wale wa hukohuko Washington wasielewe.

Umeshindwa kusaidia uchumi wa nchi yako ambao sasa kwa mujibu wa WB unakuwa kwa asilimia 2 tu usiporomoke ndio eti utabiri kuanguka kwa uchumi wa Marekani. You're a big joker.
 
Back
Top Bottom