Marekani inazuia wenye VIZA kutoka Tanzania kuingia

Kati ya Marekani na Tanzania ni wapi palipoathirika zaidi na korona, kuna jambo linatafutwa hapa....kuna shirika moja la ndege limeshatoa sharti la kuchanjwa covid-19 ndo uweze kupanda ndege zao, ngoja tuone....
 
Marekani ilifunga mipaka yake kwa nchi karibia zote Ulimwenguni na sio Tanzania tuu, wanaruhusu Raia wao tuu kuingia na kutoka
 
Hakuna maombi yaliyoondoa corona.
Corona ipo kwenye kupima.
Usipopima huoni corona.
 
Nadhani kwetu raia wa kawaida wenye VISA, tusipoteze hela zebu kwa kujaribisha. Tusubirie hadi hali ile sawa maana gharama kwenda Marekani siyo kidogo matokeo yake turudishwe Eapoti
Unachotakiwa kufanya ni kuwa na health certificate inayoonesha kuwa huna covid. Mbona wamarekani wenyewe kibongobongo hata mask hawavai!
 
Tulieni kwenu,mnafuata nini huko?
 
Wasitutishe hao mabeberu, sisi tutakuwa donor country siku zijazo.
Kwa pesa ipi? Wakati pesa zote za walipa kodi inatumika kuidhoofisha chadema kuua upinzani kudidimiza demokrasia badala ya maendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…