Marekani: Iran imehusika kuangusha ndege ya Ukraine

Marekani: Iran imehusika kuangusha ndege ya Ukraine

Hawa ni devil incarnates, waliitungua kimakosa, wakaanza kusingizia vitu vya uongo, mara ngede ilikuwa na shida, mara black box imeharibika. Wakati huo Mmarekani kasema kwa ushahidi wa Salelite ndege ilipigwa makombora mawili, pressure ilivyozidi muajemi hakuna namna basi kakubali lakini akijijitetea hii ilitokana na tension iliyosababishwa na USA. Hii inatoa picha kuwa kama Tehran ambapo ndio centre ya intelligence na vifaa vya kijeshi , hawawezi kutofautisha kati ya ndege ya kivita na ndege ya abiria iliyotokea hapo hapo Tehran basi kuna shida kubwa ipo somewhere.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu leo waruhusiwe kurutubisha vinu vya nyuklia watengeneze silaha,kama wameshindwa kutofautisha ndege ya abiria itakuwaje wakiwa na silaha za nyuklia sitakuwa kila wakilosea watasema ''human error''.
 
Alafu leo waruhusiwe kurutubisha vinu vya nyuklia watengeneze silaha,kama wameshindwa kutofautisha ndege ya abiria itakuwaje wakiwa na silaha za nyuklia sitakuwa kila wakilosea watasema ''human error''.
Ilikuaje US wakashindwa kutofautisha ndege ya kiraia na kijeshi?
Screenshot_2020-01-11-07-14-10-1.jpeg


dodge
 
.... mbona mwanzo Iran hao hao walisema ndege ilikuwa na mechanical fault na ili-delay kuruka kwa masaa kadhaa kabla ya tatizo kurekebishwa? Waajemi kweli ni washenzi! Kwa uongo nimewakubali!
Kuliko washenzi waki US walotangaza kama IRAQ Kunasilaha Zamaangamizi ?!


US WAUAJIII....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom