Marekani: Iran imehusika kuangusha ndege ya Ukraine

Alafu leo waruhusiwe kurutubisha vinu vya nyuklia watengeneze silaha,kama wameshindwa kutofautisha ndege ya abiria itakuwaje wakiwa na silaha za nyuklia sitakuwa kila wakilosea watasema ''human error''.
 
Alafu leo waruhusiwe kurutubisha vinu vya nyuklia watengeneze silaha,kama wameshindwa kutofautisha ndege ya abiria itakuwaje wakiwa na silaha za nyuklia sitakuwa kila wakilosea watasema ''human error''.
Ilikuaje US wakashindwa kutofautisha ndege ya kiraia na kijeshi?

dodge
 
.... mbona mwanzo Iran hao hao walisema ndege ilikuwa na mechanical fault na ili-delay kuruka kwa masaa kadhaa kabla ya tatizo kurekebishwa? Waajemi kweli ni washenzi! Kwa uongo nimewakubali!
Kuliko washenzi waki US walotangaza kama IRAQ Kunasilaha Zamaangamizi ?!


US WAUAJIII....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…